Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Wenye hata Million 25 watupatie , 5 tutawapa QPR au 4 sababu Agent wake Ananjaa sana tutampa million 1 ili apate pesa za kwenda Holiday na Mama wa Raheem na wasiwasi na Huyo Agent anavamia kazi za watu kwa Fujo, Jarmaine Pennant wote tunajua wapi alipoishia sasa subiri tuone Dogo zile Kesi zake kama atakuja kushinda tena anapoenda ..... Na aende tu sitaki kumuona LFC, LIVERPOOLFC haina haja tena kumbembeleza aende tu ni Muda wa Liverpoolfc kuwacha kuumiza kichwa Fukuza Brendan Rogers na Ayre , wamlete Perry Kuwa Katibu mkuu na Manager wamaana wafikirie nani wakuja na nani wakuondoka sio Kuumiza kichwa kwa mtoto ambaye akikaa bench bado timu inashinda hapotezi kitu kwenye timu ingekuwa Little Magician Coutinho sawa , Leteni watu ambao wa kazi sio wanaokatwa na kulilia maziwa walete majembe sasa.
 
I'd happy to see him finishing his two years remained in his current contract and then move as a free agent,

But during all these two years,he should always warm the bench..

Jordon Ibe should take a starting spot ahead of him
 
vichezaj vikorof kama hivi vkina sterling kwanza hamna kuongeza mshahara wala mkataba;: aekwe tu bench nusu msimu af kapangwe baada ya hapo katakua kamepata adabu;: nmemchukia sana huyu sterling
 
vichezaj vikorof kama hivi vkina sterling kwanza hamna kuongeza mshahara wala mkataba;: aekwe tu bench nusu msimu af kapangwe baada ya hapo katakua kamepata adabu;: nmemchukia sana huyu sterling

tunakomalia kubaki na sterling halafu tunauza Lucas

BR akili ziko ma@tak0ni
 
RS hana lolote huyu mtoto nashangaa kick hii sijui anaipata wapi

Shida mpira wa uingereza ni sawa na simba na yanga, mana wanapenda sana kuwapandisha chati wachezaji wao hata wakiwa si lolote, hyo ndo kick aliyoipata kuwekwa kwny magazeti kumempa bichwa, mi nataka auzwe Madrid akakae benchi vizuri
 
tunakomalia kubaki na sterling halafu tunauza Lucas

BR akili ziko ma@tak0ni

Mkuu yaan huyu kocha anaeza akafanya hivo ili abak na Allen wake amtumie ka DM;: yaan kuanzia lambert,borini,sterling,allen,johnson,waaon na wengineo waondoke;: ila mkuu huyu BR haaminik af hayuko stable unaeza shangaa mwakan liver ikafanya vizur
 
Shida mpira wa uingereza ni sawa na simba na yanga, mana wanapenda sana kuwapandisha chati wachezaji wao hata wakiwa si lolote, hyo ndo kick aliyoipata kuwekwa kwny magazeti kumempa bichwa, mi nataka auzwe Madrid akakae benchi vizuri

huyu RS sitak kumuona ligi ya uingereza kabisa nataka kapelekwe hata Russia huko kakapotelee huko,, ila kaekwe bench kwanza maana naona kamesahau kalipotoka
 
Mkuu yaan huyu kocha anaeza akafanya hivo ili abak na Allen wake amtumie ka DM;: yaan kuanzia lambert,borini,sterling,allen,johnson,waaon na wengineo waondoke;: ila mkuu huyu BR haaminik af hayuko stable unaeza shangaa mwakan liver ikafanya vizur

Not this time buddy, not this time

2013-14 alikua na a better Gerrard, Agger, Suarez, fit Sturridge, hubmle sterling, stable Skertel, everbright Coutinho, Vigorous Flanagan etc. Hata Glen Johnson was better and Lucas had good contribution

Sioni tukisajili mtu wa maana given Sterling drama, sioni tukireplace Suarez, Gerrard, Sturridge, Sterling na sasa tunauza Lucas and possibly Skertel

We need to reboot our team and remove the manager first, tuinstall a new window, BR is an older version
 
Not this time buddy, not this time

2013-14 alikua na a better Gerrard, Agger, Suarez, fit Sturridge, hubmle sterling, stable Skertel, everbright Coutinho, Vigorous Flanagan etc. Hata Glen Johnson was better and Lucas had good contribution

Sioni tukisajili mtu wa maana given Sterling drama, sioni tukireplace Suarez, Gerrard, Sturridge, Sterling na sasa tunauza Lucas and possibly Skertel

We need to reboot our team and remove the manager first, tuinstall a new window, BR is an older version

hahahahaaa, baada ya hapo mnapiga driver pack ku install important drivers & programmes,
poleni sana watani
 
Namimi niliona hili kalisema G.Neville juu ya mgt ya kusajiri Liverpool
 

Attachments

  • 1432327266272.jpg
    1432327266272.jpg
    61.1 KB · Views: 124
hahahahaaa, baada ya hapo mnapiga driver pack ku install important drivers & programmes,
poleni sana watani

we acha tu, nimekumbuka jinsi Moyes alivyowatesa watani, machungu yetu nadhani yamepitiliza
 
[h=1]Rodgers: I'm 150% sure I'll be Liverpool FC boss next season[/h]By James Pearce

[h=2]Manager insists end of season review won't result in his departure[/h]
Brendan Rodgers insists he's "150%" sure he will keep his job this summer as theLiverpool boss played down the significance of the club's end of season review.
The Northern Irishman will sit down with Fenway Sports Group (FSG) president Mike Gordon next week to look back over an underwhelming campaign at Anfield.
The owners want to establish why Liverpool failed to achieve their target of Champions League qualification and put plans in place to ensure there is no repeat next season.
However, Rodgers, who is just 12 months into a four-year contract, has no concerns that the review could lead to his departure.
"I'm 150% sure I'll be here next season," Rodgers said.
"There is probably a lot more made of the review than what it actually is. I'm constantly reviewing with the owners. There is nothing different.
"People want to write about a review, there have been a number of reviews and throughout the season I've had great communication with the owners.

"I'll speak with them at the end of the season like I did last year, like I did at the end of my first year, and like I've done intermittently throughout the season. There is no great big review."
After a spirited mid-season revival, the Reds' form has nosedived over the past two months and they could finish as low as seventh if they don't win their final game at Stoke City on Sunday.
From the loss of Luis Suarez, to Daniel Sturridge's injury woes and the failure of so many new signings to live up to their price tags, it's been a campaign to forget, but Rodgers says lessons have been learned.
[h=3]I repeat, I will be a better manager[/h]"I think you evolve as a manager," he said.
"Every year when you assess it and you review your own performance as a manager you hope the following year you can be better again. Certainly the experiences of this year will make me better. "We have been clear with the identity of how we want to play since I've been here. Obviously it hasn't quite worked out this season as well as I would have liked.
"But going forward I repeat I will be a better manager for the experiences and hopefully go on next year to be more consistent and we can win more games than we have.
"The planning for the summer has been ongoing, but of course the real detail of that will take place after the Stoke game and of course I will have greater thinking time after the weekend."

The end of season review will examine the work of Liverpool's transfer committee but Rodgers doesn't expect a major shift in either the club's structure or buying policy.
"It is very clear in terms of the model of how it works here. That doesn't change," he said.
"There are constant questions asked of me in terms of strategy and the model, you have to remember the owners have had great success in terms of working how they want to work.
"Everyone here is aligned to that and has that belief in what they've brought to the club.
"For us it is really about analysing this year in terms of all the plans, all the changes that took place last year, reviewing that, and how can we be better equipped to move forward again and challenge. That will be the review."
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom