Malafyale
Platinum Member
- Aug 11, 2008
- 13,897
- 11,292
Wewe unasema BR out wenzako wanasema in BR we trust........job true true!!!
Hiyo ndege kaikodi mwenyewe kwa hela zake,hamna shabiki wa Liverpool anamuhitaji BR chizi
Wewe unasema BR out wenzako wanasema in BR we trust........job true true!!!
Kuna kipind nlikuwa najiuliza why Arda turan anakuwa linked kila summer na LFC??, kukawa na rumuors kuwa he's LFC fan, BUT today ndo nmeprove kuwa Arda Turan ni shabiki mkubwa na wa kutupwa wa LFC..
Tabu ni kwamba anaumia kama sisi na Rodgers..LOL
#ThanxStevie
Imagine LIVERPOOL FC without SG..!!!
Leo nipo na SG tu, hiyo part ya kupoteza dhidi ya CPC ntaanza kuMoan kesho, didn't even watch the game, just watched stevie's farewell on youtube..
But nadhan BR has lost the dressing room..players wants him gone. IMO..(WBA, Hull and Qpr ni mfano)
it seems so, BR is not trustworthy, and hata baada ya mechi i didnt see him walking to the pitch or walking SG out of the field
I wish and pray that BR leaves Liverpool hata kesho
Nimehuzunika mbele ya TV
Binti yangu akaja kunishika mkono akanivuta kitini akaniondoa kunirudisha chumbani
SG anaondoka LVFC kwa hila za kocha ambaye HAJAIFANYIA lolote la maana team yetu!SG anaondoshwa kwa aibu kuu sababu tu BR anamhofia mkongwe huyu kuja kumpokonya kazi yake
SG:The Great
SG wanted to leave LFC baada ya msimu wa 2016/2017, but Ayre and Rodgers wamefanikisha aondoke msimu huu, can't blame FSG kuhusu SG's departure..
Makosa makubwa ya FSG kama owners ni kuto-kuact kulingana na wakati, Ayre hatakiwi tena kuwepo LFC na Rodgers alitakiwa apigwe chini tangu December..but kwa kuwa Ayre anailetea LFC deals nono basi jamaa wanaona sawa kuwa nae, wakat anaicost sana team kwenye transfers deals na kwenye mikataba ya wachezaji,
FSG sacked king Kenny bila kumpa hata nafasi, but this nobody Rodgers tunae mpaka leo hii, na imefikia hatua mpaka anafungwa bao 3 na CPC siku muhimu kama ya jana kwa club, kina GH, KD, JE, RB hata Roy asingeruhusu kufungwa jana..players washamchoka jamaa, na tutapoteza wachezaji wengi sana tukiendelea kuwa nae kwenye team..
SG wanted to leave LFC baada ya msimu wa 2016/2017, but Ayre and Rodgers wamefanikisha aondoke msimu huu, can't blame FSG kuhusu SG's departure..
Makosa makubwa ya FSG kama owners ni kuto-kuact kulingana na wakati, Ayre hatakiwi tena kuwepo LFC na Rodgers alitakiwa apigwe chini tangu December..but kwa kuwa Ayre anailetea LFC deals nono basi jamaa wanaona sawa kuwa nae, wakat anaicost sana team kwenye transfers deals na kwenye mikataba ya wachezaji,
FSG sacked king Kenny bila kumpa hata nafasi, but this nobody Rodgers tunae mpaka leo hii, na imefikia hatua mpaka anafungwa bao 3 na CPC siku muhimu kama ya jana kwa club, kina GH, KD, JE, RB hata Roy asingeruhusu kufungwa jana..players washamchoka jamaa, na tutapoteza wachezaji wengi sana tukiendelea kuwa nae kwenye team..
Jamani tusali na kufunga ili game ya mwisho tufungwe tukose hata Europe
SG wanted to leave LFC baada ya msimu wa 2016/2017, but Ayre and Rodgers wamefanikisha aondoke msimu huu, can't blame FSG kuhusu SG's departure..
Makosa makubwa ya FSG kama owners ni kuto-kuact kulingana na wakati, Ayre hatakiwi tena kuwepo LFC na Rodgers alitakiwa apigwe chini tangu December..but kwa kuwa Ayre anailetea LFC deals nono basi jamaa wanaona sawa kuwa nae, wakat anaicost sana team kwenye transfers deals na kwenye mikataba ya wachezaji,
FSG sacked king Kenny bila kumpa hata nafasi, but this nobody Rodgers tunae mpaka leo hii, na imefikia hatua mpaka anafungwa bao 3 na CPC siku muhimu kama ya jana kwa club, kina GH, KD, JE, RB hata Roy asingeruhusu kufungwa jana..players washamchoka jamaa, na tutapoteza wachezaji wengi sana tukiendelea kuwa nae kwenye team..
it seems so, BR is not trustworthy, and hata baada ya mechi i didnt see him walking to the pitch or walking SG out of the field
I wish and pray that BR leaves Liverpool hata kesho
Kila napomuona BR nakumbuka hapo red aisee, yani mara kumi tungebaki na King Kenny na kumpa muda am sure mbeleni changes zilikua zinakuja, ila kwa uyu dah, he's a novice!! labda kama apate 10yrs ya kukaa LFC