Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

The guy is a novice, from the day we gave him our team binafsi nilijua 5yrs won't be enough for him. Now sijui hata nisemeje but with this man we need more than 10yrs aisee.
 
Enna nkikoro!Ndaga fijo no bwotolwe
Team yako mpya Juventus game yao na Inter imeishaje dada?

Juve kashinda 2-1, kaka naona umekataa kunielewa mimi sijahama timu bana nawakubali Juve.........karibu kesho Old Trafford unishangilie Dada yako nikifanya mambo .
 
Ila amebeba ucl ambalo kuna mameneja kama Wenger, wachezaji na mashabiki wake hawajui uzito wake
Nafikiri Wenger asingetajwa au usingetaja jina sababu Wenger ni katika watu nawapa heshima kama Manager ila pia inaweza Kuwa Mfano Mzuri kwa Players na Manager ambaye ni mkali ambao kuna kitu hajashinda ndomana Wenger kuachiaa Arsenal sio rahisi sasa hivi ni Loyal wa Arsenal kama Steven Gerrad Kuwa Player kwa LFC , ni vitu vya kawaida sio ma Manager wakali wote wameshinda Vyote , si Players wakali wote kutokea kushinda vyote hasa ukitegemea kachezea timu anayoipenda kwenye damu yake na kwa muda mrefu sikuhizi wachezaji wengi wanakata tamaaa hawakai hata 3yrs , kumbuka hata Ronaldo Lima hakushinda kwenye club Champion Leagur na kama South American players katika kombe Wanapenda ni CL ila hakubahatika ndio Steven na EPL na Cantona na CL haiwabadilishi Kuwa ma Legend au Tony Adam na CL haibadilishi Kuwa ni Legend wa Arsenal na moja Ya best Players EPL tuwacha Kuwa na wivu mbovu, Respect kwa Wenger anakaa kwa kutaka ashinde vitu kama Hivyo pia tatizo vijana aliokuwa nao kama LFc na EPl tatizo haina Players wengi wajuzi au Manager mjuzi, Vijana wa siku hizi Kalikiti za nywele na ma Tatoo na kujiona washakuwa Legend msimu Mmoja tu usitegemee timu itashinda kombe kubwa na vijana mabitozi ukiwa na Weak Manager kama Brendan Rogers, Man United sio mjinga kumleta LVG pale sababu Ya Players wa siku hizi so Wenger ni Manager Mzuri tatizo vijana wale tabia zile wangekuwa nazo kina Henry na Pires inafikiria wangeshinda EPL? No. players wasikuhizi Tabu kama Manager Soft wanajali pesa na kukaa misimu 4 sahau, LFC tujipange sana bado hatuna group ambalo unasema hawa ni group la wa angalau 7 kwenye 11 ni wakali na kiakili wamekuwa hakuna labda wawili tu kwenye timu. Brendan Rogers Out.
 
Juve kashinda 2-1, kaka naona umekataa kunielewa mimi sijahama timu bana nawakubali Juve.........karibu kesho Old Trafford unishangilie Dada yako nikifanya mambo .

Game without pressure hiyo dada!Ligi iliisha siku Chelsea katwaa ubingwa na Liverpool kafungwa na Hull City
 
Nafikiri Wenger asingetajwa au usingetaja jina sababu Wenger ni katika watu nawapa heshima kama Manager ila pia inaweza Kuwa Mfano Mzuri kwa Players na Manager ambaye ni mkali ambao kuna kitu hajashinda ndomana Wenger kuachiaa Arsenal sio rahisi sasa hivi ni Loyal wa Arsenal kama Steven Gerrad Kuwa Player kwa LFC , ni vitu vya kawaida sio ma Manager wakali wote wameshinda Vyote , si Players wakali wote kutokea kushinda vyote hasa ukitegemea kachezea timu anayoipenda kwenye damu yake na kwa muda mrefu sikuhizi wachezaji wengi wanakata tamaaa hawakai hata 3yrs , kumbuka hata Ronaldo Lima hakushinda kwenye club Champion Leagur na kama South American players katika kombe Wanapenda ni CL ila hakubahatika ndio Steven na EPL na Cantona na CL haiwabadilishi Kuwa ma Legend au Tony Adam na CL haibadilishi Kuwa ni Legend wa Arsenal na moja Ya best Players EPL tuwacha Kuwa na wivu mbovu, Respect kwa Wenger anakaa kwa kutaka ashinde vitu kama Hivyo pia tatizo vijana aliokuwa nao kama LFc na EPl tatizo haina Players wengi wajuzi au Manager mjuzi, Vijana wa siku hizi Kalikiti za nywele na ma Tatoo na kujiona washakuwa Legend msimu Mmoja tu usitegemee timu itashinda kombe kubwa na vijana mabitozi ukiwa na Weak Manager kama Brendan Rogers, Man United sio mjinga kumleta LVG pale sababu Ya Players wa siku hizi so Wenger ni Manager Mzuri tatizo vijana wale tabia zile wangekuwa nazo kina Henry na Pires inafikiria wangeshinda EPL? No. players wasikuhizi Tabu kama Manager Soft wanajali pesa na kukaa misimu 4 sahau, LFC tujipange sana bado hatuna group ambalo unasema hawa ni group la wa angalau 7 kwenye 11 ni wakali na kiakili wamekuwa hakuna labda wawili tu kwenye timu. Brendan Rogers Out.

You nailed it perfectly
BR has to go now
 
11053237_858438200883662_5599806846405038356_n.jpg
 
Thank you, legend for all you made me live in Anfield and for all the joy you have given to the football world... Thank you my friend for everything. You are truly one of the greatest!!!------Luis Suarez on his facebook account
 
Just because I never witnessed the success Liverpool had in years gone bye doesn't mean I don't realise what the club stands for and as the great man Bill Shankly once said, "you feel like your part of one big family". There is no football club like it and no stadium in sport as magical as Anfield on special occasions.
I can always say I grew up watching Steven Gerrard, the best there is, the best there was, the best there ever will be. I have never seen a more complete football player in all my life, a complete machine who had everything and carried a mediocre Liverpool team for over 15 years. Not one single weakness in his game, a very rare thing to find, almost impossible and there will never in a million years be another like him. I have never seen a player "obsessed" over by other fans as much as Gerrard. To me he will always be remembered for that inspirational night in Istanbul and it won't be long before a statue will be outside Anfield! An emotional farewell to the greatest. #ThanksStevie #ELcapitano #YoullNeverWalkAlone #LFC ★★★★★
 
ALL THE PLAYERS AND THE FOOTBALL FANS AROUND THE WORLD ARE PAYING TRIBUTES TO THE KING STEVEN GERRARD..

YOU JUST CAN'T NEVER HATE STEVIE, NEVER..

AND THE AMAZING PART IS, HE'S NOT EVEN RETIRING..That's the power of one of the greatest football Legend to ever bless the Anfield stadium.

Attention aliyoipata SG8 leo, kutoka kwa bigger/average/shitty players, managers, coaches, chairmen, directors, football clubs owners, medias, na football fans across the world sijawahi KUIONA tangu nianze kushabikia mpira wa miguu..


#ThanxStevie
 
Kuna kipind nlikuwa najiuliza why Arda turan anakuwa linked kila summer na LFC??, kukawa na rumuors kuwa he's LFC fan, BUT today ndo nmeprove kuwa Arda Turan ni shabiki mkubwa na wa kutupwa wa LFC..

Tabu ni kwamba anaumia kama sisi na Rodgers..LOL


#ThanxStevie
 
ALL THE PLAYERS AND THE FOOTBALL FANS AROUND THE WORLD ARE PAYING TRIBUTES TO THE KING STEVEN GERRARD..

YOU JUST CAN'T NEVER HATE STEVIE, NEVER..

AND THE AMAZING PART IS, HE'S NOT EVEN RETIRING..That's the power of one of the greatest football Legend to ever bless the Anfield stadium.

Attention aliyoipata SG8 leo, kutoka kwa bigger/average/shitty players, managers, coaches, chairmen, directors, football clubs owners, medias, na football fans across the world sijawahi KUIONA tangu nianze kushabikia mpira wa miguu..


#ThanxStevie

Yes Mos def, but the worst thing ni kwamba his players didnt show him any respect on the pitch... the performance was awful... They didnt even try to win the game to glorify his farewell
 
Hizi tributes anazopewa SG na bigger players wenzake wa EPL, Serie A, LA LIGA, BundesLiga, League 1 etc, zinaonyesha ni jinsi gani player/proffesionals wenzake walivyokuwa/wanavyomchukulia SG na heshima zao kwake..

Love you Stevie, umeifanyia mengi sana LFC..sidhani kama atakuja kutokea SG mwingine.
 
Yes Mos def, but the worst thing ni kwamba his players didnt show him any respect on the pitch... the performance was awful... They didnt even try to win the game to glorify his farewell

Leo nipo na SG tu, hiyo part ya kupoteza dhidi ya CPC ntaanza kuMoan kesho, didn't even watch the game, just watched stevie's farewell on youtube..

But nadhan BR has lost the dressing room..players wants him gone. IMO..(WBA, Hull and Qpr ni mfano)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom