Hehehehehe kama Mie ndio ningekuwa mwenye timu basi msimu unaokuja ningejiamini kumpa timu mtu kama Nzi au wewe au Wacha1 kuliko Brendan Rogers Aibu tupu, Brendan Rogers AKIBAKI tutasikia Ana sign wachezaji Hull,QPR na tena Southampton na atataka Loan Chelsea Players dah inaniumiza kumuona tu Naomba hii Room tusiweke Pic za Brendan Rogers, leo nimesikia Raha kumuona Gerrard Hollioure zaidi nilitamani kwa leo tu asimamie game Ya Steven Gerrad kuliko Brendan Rogers aKa DonDonald.Hahahaha In Brendan Rogers we trust Pazi
mapicha meeeeengi ila mwisho wa yote sendoff imemwagiwa -----...
Mkuu Asante Sana...Uyu jamaa nadhani FSG wanamkubali sana kutokana na mipango yao, sidhani kama watamtimua. Nilijisikia Hasira nilipoona ile ndege ikipita na banner kua In Brendan We Trust. Ndio tushakua Underdog aiseeee
mapicha meeeeengi ila mwisho wa yote sendoff imemwagiwa -----...
Inabidi mtu awe na kichwa kama cha mwendawazimu kubaki na matumaini ya Liverpool kuingia kwenye nne bora! Ni rahisi kwa Liverpool kuikosa nafasi ya tano kuliko kupata nafasi ya nne! Mechi ya mwisho Liverpool itacheza na wababe stoke city wakiwa kwao! Nasikitika kwa ajili ya Gerald! Mchezaji mzuri sana lakini hajawahi kuonja taji la premier!
Hiyo ndege itakuwa yy kailipia!Natamani sana mechi ya mwisho tupigwe ili tukose hata Europe Cup
Dah jamaa anatia hasira sana aisee, yani sioni kama tutafika kokote tukiwa naye, 3yrs kwake imetosha
Anaondoka huyu wala tusiwe na wasiwasi!Mbinu zake ninza Swansea and a like
Sija angalia game
Siwezi vumilia nikiona SG ana aga kwa kulazimishwa na kocha mpu u zi kabida!SG alistahili apewe mwaka mmoja zaidi tena akiwa kocha msaidizi huku anzcheza game muhimu tu
BR m s h e n z i sana
Pole sana nkamu gwangu.......