Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 11,303
- 25,783
Utakielewa lakin? Kizaramo kachole kacholile.. unakijua?Nitongoze kilugha ndo nitaelewa mimi
Utakielewa lakin? Kizaramo kachole kacholile.. unakijua?Nitongoze kilugha ndo nitaelewa mimi
Nina kamusi usijalUtakielewa lakin? Kizaramo kachole kacholile.. unakijua?
kweli ba tamu kakushika pabaya.!
Ss hivi ubebe mimba umzalie sasa ili ubaki na copy yake.!!




hata kwa kupandikiza, huu mwaka ntaitwa Mama, naye ba tamu ataitwa baba.






Mkorofi wewe muone kwanza
Okay, haya lete verse nakusikiliza




kumekuchaaaaa!!!!Em sema kweliii,wamekudanganya mi wa kawaida, halafu sijawahi kutongozwa na wala sina husiano lolote na watu wa JF.







Uongooooo!!Manywele yako yanahusiana vipi na kutongoza??
Em shusha mistari naweza kukubali mana nimeambiwa mi mgumu sikubali watu wa JF![]()





Kumekuchaaaaaa!!!Kwani if kuna madem? Minajuaga wote hapa wanaume tupo





Kujikubaliiiiii ndo mpangoooooo!!!Acha bhasi
Hii naisikia kwako, shem mi inawezekana ndio pisi mbovu haijawahi kutokea…
Sema najikubali mpk najikubali tena.!!






Bro mambo vipi?Ilaa JF kuna nyuzi zipo kunjegeshesha wajaa,
Nimecheka had mbavu zinaumaa, hizi Comments ni buza kwa mama kibonge kabisaa.
Uswaaziiiii woyeeeeee!!![]()
Poaaa shostieee!!Bro mambo vipi?
Bro unaoa lini?Poaaa shostieee!!
Nshaolewa shoga angu, hapa nilipo mjamzito,Bro unaoa lini?







Usiniite shoga ako mbona unanikosea heshima,?Nshaolewa shoga angu, hapa nilipo mjamzito,
Andaa babee shower mam mkubwaaa!!!
![]()
Shogaaa angu punguza kichumvii.Usiniite shoga ako mbona unanikosea heshima,?





Bro uoe sasa umri umeenda...Shogaaa angu punguza kichumvii.
Andaa babee shower, mam mkubwaa huna jambo dogoo.
Weraaaaaah.
Niolewee mara ngapii shogaa angu? Bwana ninae na natamba nae.Bro uoe sasa umri umeenda...





