Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,414
- 176,346
Aisee!! Na ni mganga kweli?Lile jina la kutafutia pesa mjini
Jina lake halisi analo.
Afu bado kijana tu
Aisee!! Na ni mganga kweli?Lile jina la kutafutia pesa mjini
Jina lake halisi analo.
Afu bado kijana tu
Kwani Honey Faith nae mwalimu?Hebu niacheni. Nishasema walimu mmenishinda sasa hivi natafuta Daktari.
Huyo alikuwa mchepuko sio main chick.Kwani Honey Faith nae mwalimu?
We ndio scorpion wangu.Kuna siku aliangusha mizigo yake nikamuokotea ndio akaanza kunipenda
sijui alikuwahi kwa babu maana sisikii kwake
Aibu naona mimikwa kweli tukazane tu tena kutwa mara tatu
maana hakuna namna

Kwa hiyo ndio unanioneshea ama?Unafikiria nini tena CC?
Yananoga acha kabisa!Mapenzi ya pesa ni matamu sana aisee, sijui kwanini
Kwa jinsi nilivyokuwa mvivu kusoma nilijitahidi nikaishia la nne D baada ya kufeli mara tatu ule mtihani wa taifa basi nikaamua tu kuacha shuleKwani Honey Faith nae mwalimu?
hilo nalijua nataka nikutoe macho usiyaone ya wambea pia nikutoboe masikio usisie ya wanafkiWe ndio scorpion wangu.
Sikuwahi kujua kama unajua kusomaAibu naona mimi![]()
Kwenye liviktoria hawaendagi usiku, maana usiku kule kwao ndio muda wa manyau nyau, so hayo ni mashikoro mageni kwake.Hivi hujawahi ona watu usiku beach?
Yaani sijui wanafanyaga nini usiku ule.
Mwisho waliwa na nyangumi
Hahahaaaa!! Hapa kazi tu.kwa kweli tukazane tu tena kutwa mara tatu
maana hakuna namna
Sasa mchepuko unakuchanganya namna ile, main chick si ndio tutakuzika!!Huyo alikuwa mchepuko sio main chick.
Mvivu kusoma au ki.la.za!!Kwa jinsi nilivyokuwa mvivu kusoma nilijitahidi nikaishia la nne D baada ya kufeli mara tatu ule mtihani wa taifa basi nikaamua tu kuacha shule
imeandikwa samehe saba mara sabini kwa sikuEti umesemaje?
Eeeeh baba wangu nipe uvumilivu mie mtoto wa watu....Huyo alikuwa mchepuko sio main chick.
