Mzee wa Torano
JF-Expert Member
- Feb 17, 2014
- 519
- 700
...mipango mipango co Ltd ?Lile jina la kutafutia pesa mjini
Jina lake halisi analo.
Afu bado kijana tu
...mipango mipango co Ltd ?Lile jina la kutafutia pesa mjini
Jina lake halisi analo.
Afu bado kijana tu
Thubutu.Mimi haniwezii
Unajua kwa nini mahusiano yetu yanalega lega ?
Mchezo pesa.Sijui na mimi nijaribu kupata wa kupiga nae sogo humu jf??? naona nina miaka 10 yakusoma humu na tisa tangu nijiunge, labda itakuwa game nzuri nikijaribu.
Nafikiria mmmmmmmh
Mie uganga wangu professional yani nimtakae kwa huo mda ndio nampata....lolUmenikumbusha kitu.
Mwalimu mwenzangu alienda kwa mganga kutaka dawa ili aolewe.
Wiki iliyopita kaniletea kadi ya mchango, kuangalia...kumbe anaolewa na mtoto wa yule mganga aliyeenda kwake kuomba dawa.
Nikajisemea kimoyomoyo, 'ashachezewa shere'
Mjini ukiwa na akili za nyongeza, unateleza tu....mipango mipango co Ltd ?
Kwa sababu kuna atotoThubutu.
Mwenzio Arusha One na Chilli walisemaga hivihivi.
Hebu nipashe nipashike mie.
Kwanini yanalegalega? (hapa jibu lake nitakimbia)
Siku zote nilikuwa natafuta gear ya kupiga soga wewe..Sijui na mimi nijaribu kupata wa kupiga nae sogo humu jf??? naona nina miaka 10 yakusoma humu na tisa tangu nijiunge, labda itakuwa game nzuri nikijaribu.
Nafikiria mmmmmmmh
Aisee.Mie uganga wangu professional yani nimtakae kwa huo mda ndio nampata....lol
Akisema nampeleka hakuna shidaMpeleke mwenzio kwa manyau nyau akasafishe nyota.
Hiyo gundu yako hata manyau nyau haiwezi yani unapigwa kibuti kabla hata yakutongozwa....Nataka ndoa wapi sasa na nishaachika, hadi RRONDO akadai kanimwaga, yaani ye alinimwaga hata kabla ya kuwa kapo, mtoto mbaya huyu!!

Ndo ujue ya Mungu si ya Mzungu hivooHiyo gundu yako hata manyau nyau haiwezi yani unapigwa kibuti kabla hata yakutongozwa....![]()
![]()
Kwa hiyo kumbe ulikuwa unacheat na hao walimu wako kipindi tupo wote?Hebu niacheni. Nishasema walimu mmenishinda sasa hivi natafuta Daktari.
Kwanza atoto sijui hata mmekutania wapi.
Ngoja kwanza....
Kuna siku aliangusha mizigo yake nikamuokotea ndio akaanza kunipendaKwanza atoto sijui hata mmekutania wapi.
Ngoja kwanza....
sijui alikuwahi kwa babu maana sisikii kwake
Wivu wa nini wakati mimi nilikuwa mchepuko wako?!Kwa hiyo kumbe ulikuwa unacheat na hao walimu wako kipindi tupo wote?