Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,437
- 176,383
HahahahHoney Faith ndio bingwa wa waganga.
Usiponisema siku yako haiwi nzuri eeeh!Honey Faith ndio bingwa wa waganga.
Umenikumbusha kitu.Usiponisema siku yako haiwi nzuri eeeh!
By the way niliaga kijijini kwetu ndio maana full kudondokewa......lol
Mpeleke mwenzio kwa manyau nyau akasafishe nyota.Usiponisema siku yako haiwi nzuri eeeh!
By the way niliaga kijijini kwetu ndio maana full kudondokewa......lol
Manyaunyau ana coaster 3 zinaenda BagamoyoMpeleke mwenzio kwa manyau nyau akasafishe nyota.
umroge nani ?Hahahah
Akikuja mwambie anipeleke kutafuta limbwata.
Hivi haya mambo kumbe kweli, yaani unajibeba kabisaaa mguu mosi mguu pili hadi kwa mganga kutaka mume!!Umenikumbusha kitu.
Mwalimu mwenzangu alienda kwa mganga kutaka dawa ili aolewe.
Wiki iliyopita kaniletea kadi ya mchango, kuangalia...kumbe anaolewa na mtoto wa yule mganga aliyeenda kwake kuomba dawa.
Nikajisemea kimoyomoyo, 'ashachezewa shere'
Hivi manyau nyau ni jina la mtu kabisa!!Manyaunyau ana coaster 3 zinaenda Bagamoyo
Na hiace 2 za machimbo.
Yule mganga au mpiga ramli?
AiseeeNataka ndoa wapi sasa na nishaachika, hadi RRONDO akadai kanimwaga, yaani ye alinimwaga hata kabla ya kuwa kapo, mtoto mbaya huyu!!
Eti akuroge wewe mpenzi.umroge nani ?
Namroga kapo wangu aliyezuzuka na vya dunia.umroge nani ?
Wenzio wanaostuka kumekucha wanaenda.Hivi haya mambo kumbe kweli, yaani unajibeba kabisaaa mguu mosi mguu pili hadi kwa mganga kutaka mume!!
God forbid.
Lile jina la kutafutia pesa mjiniHivi manyau nyau ni jina la mtu kabisa!!
Mimi haniweziiEti akuroge wewe mpenzi.
Unajua kwa nini mahusiano yetu yanalega lega ?Namroga kapo wangu aliyezuzuka na vya dunia.
Anajijua...naona ana wasiwasi.
Kapo haitusui tangu enzi za Mkapa!