Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 31,835
- 37,444
Kumbe unapenda mizigo....ndio maaaanaaaaKuna siku aliangusha mizigo yake nikamuokotea ndio akaanza kunipenda
sijui alikuwahi kwa babu maana sisikii kwake
Pole sana, usharogwa hivo.
Ushalishwa vingi, njoo tena nikuague