Wanaume unawaupdate hapo kila kukicha!Wapi nimebadili gia we mwanamke?
Uache kusingizia wenzako hebu
Wacha we!! Ili autumbukize wavuni.Haha, mie simo huu mpira namrushia BAK..🙂
Jamani jamani!Wanaume unawaupdate hapo kila kukicha!
![]()
Nadhani mimi na wewe ndo hatuna wapenzi humu....ndo ukuje mama tuanze safari



Huyo ulomtaja hapo sasa ndio tunatishana au!! Kwani uongo? Mwanzo alikuwa nani hapo?Jamani jamani!
Unajua Mungu anakuona lakini? Yani umeamua kunigeuzia kibao kabisa
Hebu nambie bae wako wa sasa ni yupi?Huyo ulomtaja hapo sasa ndio tunatishana au!! Kwani uongo? Mwanzo alikuwa nani hapo?
Haha, mie simo huu mpira namrushia BAK..🙂
Mimi hapa.Hebu nambie bae wako wa sasa ni yupi?
Wacha we!! Ili autumbukize wavuni.
Mie sijui kucheza mpira Kui usinirushie lol! Na kapo ndiyo kitu gani!?



Hebu kwanza... Yule mume wa Honey Faith umemtelekezea wapi sikuhizi?Mimi hapa.
Yupi? Maana anao mia kidogo.Hebu kwanza... Yule mume wa Honey Faith umemtelekezea wapi sikuhizi?
Muulize huyo huyo wifi yako, mara ya mwisho niliona wana miadi.
Nyooo... Wakutulia utakua weweMuulize huyo huyo wifi yako, mara ya mwisho niliona wana miadi.
Hawezi kuwa kama mimi kwakweli, mtoto wa watu nimetuliaaaa!!
Hongera nyingi kwako mkuunimepata mwanamke wa mfano aisee i wil love her forever
Ahsante sana mkuu...nashukuru kunitakia moyoo...ngoja niende frontMkuu za siku nyingi bana...
Kuna ongezeko la watu lukuki..
Find one of ur type bana
Wewe tayari umepata nn kiongozzz???We utakuwa na kasoro isee