Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,414
- 176,332
Huko sio kukulaumu, ndio nakusifiaga hivyo!aiseee mbona kunilaum kwako hakuishi
Huko sio kukulaumu, ndio nakusifiaga hivyo!aiseee mbona kunilaum kwako hakuishi
basi sifa za kijingaHuko sio kukulaumu, ndio nakusifiaga hivyo!
Mweeeeh!! Umeanza tena.basi sifa za kijinga
Sio kwako labda kwa wengineMweeeeh!! Umeanza tena.
Kwa wengine kuna nini?Sio kwako labda kwa wengine
sina benefitKwa wengine kuna nini?
Huu uzi nilikuwa sijaona nisingekuwa singo hadi leo sasa ukitaka kutongozwa unatumia mbinu gani?
Nadhani mimi na wewe ndo hatuna wapenzi humu....ndo ukuje mama tuanze safariOoooh kumbe!sina benefit
Hehe huyo jike shupa jamani
Mi kanishinda kwakweli...Hehe huyo jike shupa jamani
Ndo aje aseme hapaMi kanishinda kwakweli...
Hivi karithi kwanani?
Heaven Sent unatafuta laana, kui mama mie na MO11 ni majirani, kwani umemsahau anakaa pale karibu na BAK?
Mbona we na BAK sijaona kapo yenu hapo?
Valentina naona kabadili gia angani.
Mods hizi picha zingine za kutiana nyege tu, khaaaaaa
Heaven Sent unatafuta laana, kui mama mie na MO11 ni majirani, kwani umemsahau anakaa pale karibu na BAK?
Mbona we na BAK sijaona kapo yenu hapo?
Valentina naona kabadili gia angani.
Nilishakwambia mie niko Mfaranyaki, Songea. Simjui mwanachama yeyote anayekaa jirani yangu. Kwani kui anaishi karibu na Mfaranyaki!?