Jogoo wa Shamba II
JF-Expert Member
- Jan 14, 2013
- 3,393
- 6,562
Mhhh si useme tu umekimbiwa na wote?Sasa hivi am taking time dating me.
Mengine ya pm jamaniMhhh si useme tu umekimbiwa na wote?
Ukakasi upo hilo neno ex la nini? ni sawa na supu kuitia nazi.
Mh nawe huyo! "Umpendaye ni kama jani ulilolichuma kwenye mti ukaacha mengine, ukilitupa unalikumbuka baadaye"
Umeacha au umeachwa ndo maisha yako sasa, hutokaa katu na mwanaume kudumu.
Ila usifanye haraka kabla hujajitathmini mwenye. "Thamani ya penzi ni kama ua moja unalochuma kati ya maua kadhaa kwenye mti"
Mhhh si useme tu umekimbiwa na wote?
Sitongozwi mimi wanatongoza akili zao tu. Tanzania wehu wengi.
Hapa Kazi Tu.
Alah! kumbe kiporo kinaweza kupashwa moto mdogo tu haya fanya yako sasa kumnyanyapaa kote huko mara sijuu Y mara Z kumbe karoho bado kamemdondokea!Hawara hana talaka.
Pamoja sana ila ndio hivyo kama kamkimbiza jamaa sioni tena akitupia neno humu au ndo wameisha yajenga kupitia Waziri mkuu?Hongera sana, umefanya kazi nzuri
Aisee!!Alah! kumbe kiporo kinaweza kupashwa moto mdogo tu haya fanya yako sasa kumnyanyapaa kote huko mara sijuu Y mara Z kumbe karoho bado kamemdondokea!
Tumehamia kwa waziri mkuu.Pamoja sana ila ndio hivyo kama kamkimbiza jamaa sioni tena akitupia neno humu au ndo wameisha yajenga kupitia Waziri mkuu?
Unasemaje wewe mwanamke?Yani atufanyie haraka.....Kwa kweli.....
Mrembo tena!.... HatariiiiMimi sijabahatika kupata mrembo jaman