wax
JF-Expert Member
- Jun 14, 2015
- 5,940
- 5,746
si ule mchezo wakuwa without?
Mmmh mashaka haya sasa
si ule mchezo wakuwa without?
Mambo vipi mpenzi?
Hayo mambo ya kifamilia mume wangu.Poa dear kukatana ndo nn mpenzi
Hayo mambo ya kifamilia mume wangu.
Ngoja nifanye uchunguzi nisije pata pressure bure
siyo kidogo bado wa PM hao ndiyo barabara unaweza kuwapanga kuanzia mianzini mpaka kona ya Nairobi.
Ukiipata ujue umeitafuta mwenyewe.
Baby mbona unanza kujiwekea defence mechanism aise
Walaaaaa we kazana tu! Gnt baby.
Mkuu nlikuona jana pale kimandolu kwa shaban ulikuwa na shansarie vp huyo ndo mamsapu
duh..ingekuwa mimi mbona nshabwaga manyanga hapa?
ha ha ha ha.... atoto ufamily wenu umebeba mengi!!
duh..ingekuwa mimi mbona nshabwaga manyanga hapa?
Sanaaaaa, and thats how family is.
Hii ndoa ikivunjika utaniwowa nakwambia, we kazana tu.
Mmh umekula dau wapi? Mbona unakazana sana?
Looooh!!.. Allahu Akbar! Mungu mkubwa, yanaanza kukupata!!...Mkuu kiwatengu endelea kupambana kwani huyu mchepukaji anamuaibisha sana kaka yetu,anamchafua sana na ana nia ya kumharibu!
yes! i'm looking harder and ver ver carefully