Warren.T
JF-Expert Member
- May 3, 2015
- 900
- 318
Mid night nikitokea wapi? Aiii hebu tuwache tulale.
Dear naomba nichague niwe bodyguard wako kwa kipindi hiki,yaani nitakulinda vizuri sana halafu hata hela sitaki!
Mid night nikitokea wapi? Aiii hebu tuwache tulale.
Dear naomba nichague niwe bodyguard wako kwa kipindi hiki,yaani nitakulinda vizuri sana halafu hata hela sitaki!
Mie nina bodigadi wa kimataifa wax mwenyewe, ananitoshaaaaa.
Huyo mda mwingine hadi wiki inapita hayupo na wewe,mimi nipo na wewe saa zote,ki ukweli nafaa sana, halafu sasa hata mshahara sitaki dear,yaani mimi nakulinda tu bure fulani hivi!!!
Mkuu naona mnatikisa mzinga wa nyuki Mchana
Huyo mda mwingine hadi wiki inapita hayupo na wewe,mimi nipo na wewe saa zote,ki ukweli nafaa sana, halafu sasa hata mshahara sitaki dear,yaani mimi nakulinda tu bure fulani hivi!!!
Dogo utashikishwa ukuta!! Shaurilo.
Nionee huruma mkuu kwani natafuta ajira!(Bodyguard)
Nionee huruma mkuu kwani natafuta ajira!(Bodyguard)
shtukaa...
mkuu!!
Umepewa rushwa nini! Ngabu wangu buana he hee ustake nikaloga mtu
Naomba ajira ya kuwa bodyguard wako mwaya,nitakulinda vizuri halafu hata hela (mshahara) yako sitaki!
Hahahaaaa! Oooh poor @warret. t
Wewe nicheke tu ila kuna siku mungu atanipenda!