Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima

Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima

Ameweka password na ufunguo anatembea nao

Looooh!!!.......ila mimi ni hacker,i can hack it!!....cha wizi ni kitam mno my dear,mimi nina uwezo wa kufoji password na hizo ufunguo!....kwa hiyo mlango uko wazi kwa mimi kuanza mchakato wa kufoji hizo password dear????
 
Looooh!!!.......ila mimi ni hacker,i can hack it!!....cha wizi ni kitam mno my dear,mimi nina uwezo wa kufoji password na hizo ufunguo!....kwa hiyo mlango uko wazi kwa mimi kuanza mchakato wa kufoji hizo password dear????

Gusa unase... Oohooo utakatwa
 
Gusa unase... Oohooo utakatwa

Looooh!!.....Idd yangu imeharibika sasa,nilikuwa na rahaa kuwa Idd hii nitagegeda ila naona mambo hayaninyokei,hata cha kuiba nimekosa!!.....unaweza kuniunganisha na mpenda michepuko yeyote please????
 
Looooh!!.....Idd yangu imeharibika sasa,nilikuwa na rahaa kuwa Idd hii nitagegeda ila naona mambo hayaninyokei,hata cha kuiba nimekosa!!.....unaweza kuniunganisha na mpenda michepuko yeyote please????

Ha haa tafuta wako acha kuvizia vya wenzio
 
sijui ni kwanini tusio na hela tuna mapenzi ya kweli. ajitokeze kijike wakunipiga sound nipo tayari. sura tutavumiliana
 
Wanawake wanaonizimikia humu wote huu ndo uwanja wenu wa kutoa kilicho mioyoni mwenu,nakaribisha kutongozwa kuanzia sasa.
Vigezo: 18+.Uwe unamiliki mkoko wa maana eg Vogue,Prado,Hummer,etc.Uwe na nyumba nzuri(Ghorofa is added advantage).Account yako isiwe na chini ya milioni 300.Uwe na mzigo(makalio) makubwa kama ya Snura au zaidi.Uwe tayari kunipa papuchi kila napojisikia.

Wahi sasa nafasi ni chache....!!!!!

#Vigezo na masharti kuzingatiwa#

Ha ha ha
 
Ha haa tafuta wako acha kuvizia vya wenzio

Nimepata taarifa kuwa mnaachana,mnaachana lini my dear????.....hiyo imekuwa ni habari njema kwangu na imenifariji sana kwani spare tyre nipo tayari hapa kuendeleza safari kwani nimekaa idle mda mrefu sana bila kazi!!!
 
Nimepata taarifa kuwa mnaachana,mnaachana lini my dear????.....hiyo imekuwa ni habari njema kwangu na imenifariji sana kwani spare tyre nipo tayari hapa kuendeleza safari kwani nimekaa idle mda mrefu sana bila kazi!!!

Ha haa endelea tu kuota wewe
 
Back
Top Bottom