Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima

Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima

Habari ninazo teleee, nakusubiri kwanza urudi nyumbani, tukimaliza mambo ya massage na mwili kurelax nitakumwagia habari njema za kutosha.

Poa my dear ndo maana nakupenda
 
we dogo acha mambo yako, kuna vitu huwezi kushindana na wakubwa zako...
usije kulia tu kijana wa kiume!!

Mkuu lait ungejua usinge zungumza hayo maneno tulia tuu tafuta wako utapata usiwe na hasira Mkuu
 
Baby achana naye huyo roho inamuuma tuu!!! Haniwez kabsaa huyo
Kiongozi, samahani bwana..naweza kuwa nimevuka mipaka na utani wangu, my sincere apologies!!
 
Kiongozi, samahani bwana..naweza kuwa nimevuka mipaka na utani wangu, my sincere apologies!!

Usiniambie ulikuwa unatania!! Hahahaaaaa! Mie na wewe utani umeanza lini? Ntuzu kasema wewe house boy wao na everlenk
 
Last edited by a moderator:
Habari ninazo teleee, nakusubiri kwanza urudi nyumbani, tukimaliza mambo ya massage na mwili kurelax nitakumwagia habari njema za kutosha.

Duh!!....wewe ni noma sana shem wangu,kama umeweza kukwepa huu mtego you real deserved to be wife of my brother!!!
 
Kwani ndio umbekimbiwa?

Yaani shem wee acha tu,ndo maana nilipokuja huku nilijitambulisha kuwa mimi ni mgeni na ni domo zege kwa hiyo nikaomba wadada wanionee huruma,yaani nikigusia tu mdada akubali haraka haraka ila cha kushangaza hata huruma yenyewe sioni shem wangu.Nikimgusia tu mtu badala ya kunionea huruma akubali harakaharaka ndo hivyo wanaingia mitini kama unavyoona dear,yaani hapa nilipo hali yangu ni mbaya kabisa!!!....naishia tu kuumia watu mnavyoonyeshana malove ya kufa mtu!!
 
Yaani shem wee acha tu,ndo maana nilipokuja huku nilijitambulisha kuwa mimi ni mgeni na ni domo zege kwa hiyo nikaomba wadada wanionee huruma,yaani nikigusia tu mdada akubali haraka haraka ila cha kushangaza hata huruma yenyewe sioni shem wangu.Nikimgusia tu mtu badala ya kunionea huruma akubali harakaharaka ndo hivyo wanaingia mitini kama unavyoona dear,yaani hapa nilipo hali yangu ni mbaya kabisa!!!....naishia tu kuumia watu mnavyoonyeshana malove ya kufa mtu!!

Hahahaaaaa! Umenifanya nicheke tu kwakweli, pole sana, muite kiwatengu akusaidie
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaaaa!! Unavyotia huruma sasa!! wax baby umelala?? Where r u? Nimekumiss ujue!

Cjalala my dear nachek move hapa nikisubr taarifa ya habar
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom