Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima

Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima

Mbona nae alinieleza kutangaza ilikuwa geresha ili utulie na kuendelea kumriwaza wakati anatafuta wa kufunga nae ndoa. Anakudanganya huyo gutuka. Usiseme kwamba nimekwambia mimi.

Teh teh teh! wax wangu kamwe hawezi tamka hicho kitu, kila aniambiacho hutoka uvunguni mwa mtima wake, so try another tactic hiyo imefail.
 
Last edited by a moderator:
jamani atoto usinifanyie hivyo mwenzako natamani uwe fisadi wa moyo wangu kwa kuiba jina langu la mwisho

My plate is full my dear, cant help you, endelea kutafuta huwezi kosa, wamejaa humu, au jaribu kwa cute b yule michepuko ni ruksa tu.
 
Last edited by a moderator:
Teh teh teh! wax wangu kamwe hawezi tamka hicho kitu, kila aniambiacho hutoka uvunguni mwa mtima wake, so try another tactic hiyo imefail.

Japo basi huwa lina seat 65, bado huwa kuna nafasi za kusimama kwa atakaekosa seat. Please naomba nipatie japi nafasi ya kusimama katika mutima wako.
 
Last edited by a moderator:
Mweeeh! Pole sana mkuu mie niko occupied kwa husband wa dunia wax, yaani pale ndio kigoma mwisho wa reli, sifurukuti tena, na mlinzi kiwatengu hayupo mbali, so kilalakheri ktk kusaka.

Baby nashukuru kwa ujumbe mzur kwa huyo jamaa
 
Last edited by a moderator:
eeeeeeh tena naona shabaa yangu imedaka maana wewe ndo ulikua chagu la kwanza maana inaonyesha una utamu flani hivi na lazima nichukue mzinga najua nyuki ni wengi ila sijali

sasa sijui tufanye hapa hapa au inbobo! !?

Mkuu tafadhali atoto ni mke wangu
 
Last edited by a moderator:
Mbona nae alinieleza kutangaza ilikuwa geresha ili utulie na kuendelea kumriwaza wakati anatafuta wa kufunga nae ndoa. Anakudanganya huyo gutuka. Usiseme kwamba nimekwambia mimi.

Mkuu acha uongo nipo on line plz hii ndoa haivunjiki ng'ooo
 
Japo basi huwa lina seat 65, bado huwa kuna nafasi za kusimama kwa atakaekosa seat. Please naomba nipatie japi nafasi ya kusimama katika mutima wako.

Hilo unaloongelea ni basi ila mie sio basi, moyo wangu una nafasi ya mtu mmoja tu!!! Na kamwe hawezi ruhusiwa mwingine hata kuunyemelea japo kwa bahati mbaya.
 
Mkuu acha uongo nipo on line plz hii ndoa haivunjiki ng'ooo

Twende tukalale mume wangu, ni muda wa kunipa kitu roho inapenda, si unajua wewe ndio usingizi wangu?!!
 
Baby haujalala tu? Haya twende tukalale mume wangu.



Wory not honey, acha ajisumbue, si unajua tena kwako sifurukuti.

Ucjal baby tupo pamoja bado cjalala my dear
 
Mkuu usiwe hivyo, kizuri kula na nduguyo. Mimi na wewe tumetoka mbali unajua.....!?

Mkuu Imeandikwa usimtaman mke wa jiran yako tafadhali kabsaa atoto ni mke wangu
 
Last edited by a moderator:
Twende tukalale mume wangu, ni muda wa kunipa kitu roho inapenda, si unajua wewe ndio usingizi wangu?!!

Twende zetu mpenzi wangu!!!! Hivi dear unajua ninavyo kupenda lkn yaan huwa napata furaha sana
 
Hilo unaloongelea ni basi ila mie sio basi, moyo wangu una nafasi ya mtu mmoja tu!!! Na kamwe hawezi ruhusiwa mwingine hata kuunyemelea japo kwa bahati mbaya.

Saf sana baby ndo maana nakupenda unamsimamo wa kweli watu kama ww wanaheshimika ktk jamii I LOVE YOU SO MUCH
 
Shemeji lini nilisema naruhusu michepuko? Lile lilikuwa biti tu ili mume wangu mtarajiwa wax atangaze ndoa, si uliona alivyopagawa? Mision accomplished now nafsi yangu burudaniiiii.

Nimevurugwa hata siwezi kusoma ulichoandika shem kwani mtima wangu, my pretty preta ameingia tena mitini!!
 
Last edited by a moderator:
My plate is full my dear, cant help you, endelea kutafuta huwezi kosa, wamejaa humu, au jaribu kwa cute b yule michepuko ni ruksa tu.

sasa atoto hauwezi jua kama anakutosha kama u never get someone to compare with try me u won't regret to know me
 
Last edited by a moderator:
Twende zetu mpenzi wangu!!!! Hivi dear unajua ninavyo kupenda lkn yaan huwa napata furaha sana

I know, and i love you more than the word itself.

Saf sana baby ndo maana nakupenda unamsimamo wa kweli watu kama ww wanaheshimika ktk jamii I LOVE YOU SO MUCH

Ooooh, come baby lets go, fanya haraka si unajua tena!
 
cute b am looking for you nimetoka mlimani nimeonyeshwa mke wangu ni wewe
 
Last edited by a moderator:
Nimevurugwa hata siwezi kusoma ulichoandika shem kwani mtima wangu, my pretty preta ameingia tena mitini!!

Yaani sijui nikuonee huruma au?? Umetafuniwa ukashindwa kumeza!!?? Basi tena we endelea kulia tu.
 
Back
Top Bottom