Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima

Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima

mimi naona kama kila mtu ana mingle yake humu au hata kuporana inaruhusiwa nianze voko
 
Tulia hapo hapo nilete maboya........hakikizami kitu chini ya captain Preta.......

Mimi shida yangu ni mahaba niue nizikwe na mapenzi na nipumzike kwa amani chini ya my pretty Preta my dear! Preta
 
Last edited by a moderator:
yero wewe si unampenda Mungu eeh? Basi mpende na jirani yako, alafu msema kweli mpenzi wa Mungu kiukweli nimemuhamu Amanda Lynn ni bora kusema ukweli kuliko kukaa na kitu moyoni

..Mungu pia amesema usimtamani mke wa jirani yako..na ndio unachokifanya hapa..
 
Last edited by a moderator:
Unaruhusiwa only km kisu chako kikali.

eeeeeeh tena naona shabaa yangu imedaka maana wewe ndo ulikua chagu la kwanza maana inaonyesha una utamu flani hivi na lazima nichukue mzinga najua nyuki ni wengi ila sijali

sasa sijui tufanye hapa hapa au inbobo! !?
 
Nimekuelewa mkuu. Ngoja nifanye window shopping tu. Lakini kuna huyu anaeitwa atoto, nitajitoa mhanga kwa ajiri yake.

Atoto ni shemeji yangu mkuu ila huwa anakaribisha michepuko,kama vip tupia ndoano kaka!!
 
eeeeeeh tena naona shabaa yangu imedaka maana wewe ndo ulikua chagu la kwanza maana inaonyesha una utamu flani hivi na lazima nichukue mzinga najua nyuki ni wengi ila sijali

sasa sijui tufanye hapa hapa au inbobo! !?

Heeeeeh!! Mazito haya, mie niko nyang'anyang'aaaa kwa kipenzi cha roho yangu wax
 
Last edited by a moderator:
Atoto ni shemeji yangu mkuu ila huwa anakaribisha michepuko,kama vip tupia ndoano kaka!!

Shemeji lini nilisema naruhusu michepuko? Lile lilikuwa biti tu ili mume wangu mtarajiwa wax atangaze ndoa, si uliona alivyopagawa? Mision accomplished now nafsi yangu burudaniiiii.
 
Last edited by a moderator:
Nimekuelewa mkuu. Ngoja nifanye window shopping tu. Lakini kuna huyu anaeitwa atoto, nitajitoa mhanga kwa ajiri yake.

Mweeeh! Pole sana mkuu mie niko occupied kwa husband wa dunia wax, yaani pale ndio kigoma mwisho wa reli, sifurukuti tena, na mlinzi kiwatengu hayupo mbali, so kilalakheri ktk kusaka.
 
Last edited by a moderator:
Shemeji lini nilisema naruhusu michepuko? Lile lilikuwa biti tu ili mume wangu mtarajiwa wax atangaze ndoa, si uliona alivyopagawa? Mision accomplished now nafsi yangu burudaniiiii.

Mbona nae alinieleza kutangaza ilikuwa geresha ili utulie na kuendelea kumriwaza wakati anatafuta wa kufunga nae ndoa. Anakudanganya huyo gutuka. Usiseme kwamba nimekwambia mimi.
 
Last edited by a moderator:
Heeeeeh!! Mazito haya, mie niko nyang'anyang'aaaa kwa kipenzi cha roho yangu wax

jamani atoto usinifanyie hivyo mwenzako natamani uwe fisadi wa moyo wangu kwa kuiba jina langu la mwisho
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom