Mkuu Masatu
Heshima yako mkuu . Hujaona niiyo yasema hapo juu mapema leo ? Hapa sasa kinacho endelea wanajua wana CCM wenyewe . Ila John Cheyo kasema maneno mazito sana nalo kubwa kuliko yote aliyo yasema ni kwamba Tanzania ni yetu sote na makelele yanayo endelea sasa yanahatarisha usalama wa Nchi na umoja wa Kitaifa kwa kuwa Watanzania wanalilia mali zao na hasa madini.Akamtaka JK awe serious ku uproot corruption kuanzia ndani ya Chama na hata nje akiwa na maana ya kwenye Serikali pia . Akasema yasiwe ni maneno tu bali vitendo na akawaomba waende kwenye TCD waseme huko .
Mkuu Masatu
Heshima yako mkuu . Hujaona niiyo yasema hapo juu mapema leo ? Hapa sasa kinacho endelea wanajua wana CCM wenyewe . Ila John Cheyo kasema maneno mazito sana nalo kubwa kuliko yote aliyo yasema ni kwamba Tanzania ni yetu sote na makelele yanayo endelea sasa yanahatarisha usalama wa Nchi na umoja wa Kitaifa kwa kuwa Watanzania wanalilia mali zao na hasa madini.Akamtaka JK awe serious ku uproot corruption kuanzia ndani ya Chama na hata nje akiwa na maana ya kwenye Serikali pia . Akasema yasiwe ni maneno tu bali vitendo na akawaomba waende kwenye TCD waseme huko .
makamba nje,nafasi yake kukabidhiwa kwa mtu mwingine...stay tuned
makamba nje,nafasi yake kukabidhiwa kwa mtu mwingine...stay tuned
makamba nje,nafasi yake kukabidhiwa kwa mtu mwingine...stay tuned
makamba nje,nafasi yake kukabidhiwa kwa mtu mwingine...stay tuned
masatu,
mie nimo ndani..
Taarifa sahihi ni kuwa wa break wanarudi muda mfupi ujao kuchagua wajumbe wa NEC viti 20 (kundi la kifo) sasa hizo habari za katibu mkuu mpya ni mazingaombwe tu...