DOKEZO PreGE2025 Lissu aondolewa Keko. Anapelekwa wapi?

DOKEZO PreGE2025 Lissu aondolewa Keko. Anapelekwa wapi?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Enzi za Mwalimu na enzi hizi za Samia ni enzi mbili tafauti.
Hao mabeberu unaowaita benki ya Dunia , IMF na mabeberu wengine kuna maslahi wanayatafuta katika mataifa yanayoendelea sasa ukishajua wanataka nini na ukawapatia wanachokitaka hazo habari za demokrasia wanakuachua wewe mwenyewe umalizane na watu wako.
Tunavyozungumza hivi Lisu sio mpinzani pekee anayeshikiliwa na vyombo vya usalama barani Afrika.
Nchini Rwanda na Uganda kuna wapinzani kadhaa wanashikiliwa na vyombo vya usalama na nchini Sudani kusini makamu wa rais ambaye anatoka chama Cha upinzani yupo ndani HAO BENKI YA DUNIA WAMEFANYA NINI KUMSAIDIA?!
Umesema sahihi Mkuu

Unajua passport ya Tanzania inakufanya uingie Nchi ngapi na kuishi bila kuulizwa Visa?

Unaweza kufananisha nguvu ya Ushawishi tuliyonayo Tanzania Kimataifa na Nchi za Rwanda na Uganda kweli??
 
Tundu Lissu has just been collected by official motorcade from the Keko prison.

Not so sure where exactly is he being taken
HABARI ZA MHE. TUNDU LISSU ALASIRI HII

Ndugu Watanzania!
Tumepata taarifa za kuondolewa kwa Mhe. Tundu Lissu katika Gereza la Keko. Tulipanga na Askofu mwingine takaumuone baadaye leo, tulijulishwa na mtu mmoja ya kuwa utaratibu wa kukuona ulibadilishwa tangu jana.

Kuondolewa kwa Mhe Lissu pale Keko kama ni kweli kunaweza kubeba tafsiri nyingi. Ni tafsiri mchanganyiko. Huenda amehamishwa Gereza, huenda pia anapelekwa Ikulu au anapelekwa Ikungi, inawezekana ni mpango wa kumpeleka Tegeta pia. Mhe. Lissu atakuwa huru na lazima awe huru!

Ikumbukwe kuwa kwa sisi Wakristo, usiku wa kuamkia leo Pontio Pilato alikuwa na mjadala mzito na Wayahudi akitaka kumuachia Yesu Kristo katika kesi yake miaka zaidi ya 2000 iliopita.

Hekima ya Mungu inaendelea kusemezana na wakuu na wanaotawala nchi yetu katika Juma hili la mateso. Nikodemo na wenzake wako pia kazini wameshika zamu yao wakishauriana na Gamalieli.

Tunafuatilia kwa karibu sana juu ya hilo na kwa kina na tutatoa kauli baada ya Ibada ya Ijumaa Kuu leo. Tuendelee kupiga kelele kwani lolote laweza kutokea.

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Dar es Salaam, 18 Aprili 2025; saa 3:15 alasiri
 
1744979944627.png
 
Kuna watu wa G55 na mbowe wameugeuza mradi wa sasa, wanataka kutumia nafasi hii kumdhoofisha kisiasa ili warejeshe mbowe kuwa mwenyekiti tena, Mbowe anafanya hii kesi kuwa ngumu kwa malengo yake
G55 hamna kitu mule - Hoja zao zote zimekataliwa na watanzania siku ya kwanza kabisa.

Mbowe hawezi kujiunga na hao wahuni.
 
HABARI ZA MHE. TUNDU LISSU ALASIRI HII

Ndugu Watanzania!
Tumepata taarifa za kuondolewa kwa Mhe. Tundu Lissu katika Gereza la Keko. Tulipanga na Askofu mwingine takaumuone baadaye leo, tulijulishwa na mtu mmoja ya kuwa utaratibu wa kukuona ulibadilishwa tangu jana.

Kuondolewa kwa Mhe Lissu pale Keko kama ni kweli kunaweza kubeba tafsiri nyingi. Ni tafsiri mchanganyiko. Huenda amehamishwa Gereza, huenda pia anapelekwa Ikulu au anapelekwa Ikungi, inawezekana ni mpango wa kumpeleka Tegeta pia. Mhe. Lissu atakuwa huru na lazima awe huru!

Ikumbukwe kuwa kwa sisi Wakristo, usiku wa kuamkia leo Pontio Pilato alikuwa na mjadala mzito na Wayahudi akitaka kumuachia Yesu Kristo katika kesi yake miaka zaidi ya 2000 iliopita.

Hekima ya Mungu inaendelea kusemezana na wakuu na wanaotawala nchi yetu katika Juma hili la mateso. Nikodemo na wenzake wako pia kazini wameshika zamu yao wakishauriana na Gamalieli.

Tunafuatilia kwa karibu sana juu ya hilo na kwa kina na tutatoa kauli baada ya Ibada ya Ijumaa Kuu leo. Tuendelee kupiga kelele kwani lolote laweza kutokea.

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Dar es Salaam, 18 Aprili 2025; saa 3:15 alasiri
Kama ni hivyo kulingana na maandiko nadhani Tundu Lisu itakuwa amenyongwa leo ijumaa kuu na amekufa mida ya saa tisa alasiri tusubiri afufuke toka wafu jumapili ya pasaka kisha atapaa zake mbinguni atuachie Tanzania yetu kwa maana vita yake na Samia haiwezi bora atangulie zake mbinguni.😃😃😃😃
 
Nafikiri kuna some terms (mazungumzo) watakuwa wanafanya na Ofisi kubwa ili kujaribu kulimaliza hili kabla ya hearing.

Hili jambo linamchafua sana her excellence both internally and externally
Yaani kumkamata mtu ambae anataka tupigane na kuuana limchafue Mh.Rais...kua serious bhana.
 
We mwehu acha ushabiki km zombie, huyo nyau si ni yuleyule wa 2020 aliyekimbilia ubalozi wa Ujerumani akatokomea Ulaya? We hujui maana ya dola, ustaarabu wa Rais ulikuwa unamlinda. Huyo ni nyau mdg sn hakuwahi ht kuwa na kacheo, aliyekuwa Rais wa Zanzibar aliwekwa kizuizini mpk anakufa, huyo nyau ni nani.
Alikufanyaje Lissu? Yeye akifa wewe utabakia milele ili uchati? Roho ya shetani dio hiyo.
 
Back
Top Bottom