DOKEZO PreGE2025 Lissu aondolewa Keko. Anapelekwa wapi?

DOKEZO PreGE2025 Lissu aondolewa Keko. Anapelekwa wapi?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Madai ya mh rais kuchafuliwa na swala hili hayana msingi wowote.
Lisu ni mmoja wa maelfu ya watuhumiwa wa uhalifu walioko huko magerezani ambao uwepo wao magerezani hauna athari ya aina yoyote kwa heshima ya mheshimiwa rais.
Lisu sio mtuhumiwa pekee ambaye yupo gerezani.
Huko gerezani yupo na wenzake wengi tu kwahiyo mwacheni apambane na hali yake hadi siku ya kutoka atakuwa ana adabu kidogo kama ilivyokuwa kwa freeman Mbowe alivyokaa gerezani miezi kadhaa akatoka akiwa na adabu kiasi.
Traaash
 
jitahidi kutofautisha ujinga na upumbafu
Umemuona JK jana akiwa anapeana tano na Captain Ibrahim Traore? Mama hayuko peke yake kwa muda ambao mh Kikwete yupo hai hakuna baya litakalo tokea nchi hii kwasababu mama anao watu wa kumsaidia na kumshauri endapo kuna mahala hapako sawa. NCHI YETU NI SALAMA NA ITAENDELEA KUWA SALAMA.
 
Umemuona JK jana akiwa anapeana tano na Captain Ibrahim Traore? Mama hayuko peke yake kwa muda ambao mh Kikwete yupo hai hakuna baya litakalo tokea nchi hii kwasababu mama anao watu wa kumsaidia na kumshauri endapo kuna mahala hapako sawa. NCHI YETU NI SALAMA NA ITAENDELEA KUWA SALAMA.
Salama kutuibia in CAG voice
 
Aisee, kwahiyo kumbe inafaa kupelekwa ibadani na kurudishwa..!
 
Dah hii inasikitisha sana
 

Attachments

  • Screenshot_20250417_125951_Opera Mini.jpg
    Screenshot_20250417_125951_Opera Mini.jpg
    169.4 KB · Views: 12
Inaonekana hujui how politics is na namna Nchi zinavyoendeshwa.

Nenda kasome Ushauri aliopewa Mwl Nyerere kabla hajang'atuka madarakani Mwaka 1985 na Benki ya Dunia na Jamii ya Kimataifa

Kama unadhani huko gerezani wapo wengi wanaostahili kuwa detained kwanini anayeimbwa ni huyo Lissu

Kuna watu tangu Nchi yetu ianze mfumo wa Vyama vingi wapo huko Upinzani kwaajili ya Check and balance ndiyo hao akina Mbowe na Lissu
Enzi za Mwalimu na enzi hizi za Samia ni enzi mbili tafauti.
Hao mabeberu unaowaita benki ya Dunia , IMF na mabeberu wengine kuna maslahi wanayatafuta katika mataifa yanayoendelea sasa ukishajua wanataka nini na ukawapatia wanachokitaka hazo habari za demokrasia wanakuachua wewe mwenyewe umalizane na watu wako.
Tunavyozungumza hivi Lisu sio mpinzani pekee anayeshikiliwa na vyombo vya usalama barani Afrika.
Nchini Rwanda na Uganda kuna wapinzani kadhaa wanashikiliwa na vyombo vya usalama na nchini Sudani kusini makamu wa rais ambaye anatoka chama Cha upinzani yupo ndani HAO BENKI YA DUNIA WAMEFANYA NINI KUMSAIDIA?!
 
Yeah hili niliwaza pia,
Hakuna Rais atapenda achafuke kwenye Jumuiya ya Kimataifa hasa Kwa Nchi zetu hizo ambazo tunaendesha Serikali Kwa kukopa na misaada.

By the way Rais anaweza kuwa amefanyiwa dirty na wasaidizi wake ili kumchafua

Si unajua kabla ya Kifo cha JPM Kuna watu walikuwa na ndoto za kuwa Rais Mwaka huu

Kwahiyo huyu aliyepo ni kama ameingilia katikati ya Mipango ya watu

Ndiyo maana walimtuma mwakilishi mmoja kuwasemea kuhusu utaratibu uliotumika Dodoma Mwezi January

Siasa ni Sayansi
 
Back
Top Bottom