Mfichua siri
Senior Member
- Jun 19, 2012
- 135
- 62
Vick Kamata alipata ubunge kwa kujuana na ..................., Hadi Mjomba wake kampigia debe kapata ukuu wa Mkoa kutokana na.............
Jaza mwenyewe.
K............
Vick Kamata alipata ubunge kwa kujuana na ..................., Hadi Mjomba wake kampigia debe kapata ukuu wa Mkoa kutokana na.............
Jaza mwenyewe.
Hivi kuna kitu huwa anakijua? Anaishi kwenye Tanzania yake tu
FaizaFoxy, Leticia kama ulivyomnukuu, kasema "hajawahi kuona" (hii haina maana kuwa jambo hilo halipo). Tuletee ushahidi kuonesha kuwa Leticia amewahi kuona George Washington akidhihakiwa. Ama umemnukuu vibaya?Jamani, huyu mama anaejiita Leticia Nyerere, ni bado mke wa mtoto wa Nyerere?
Uongo anaousema ni huu, kuwa na kukaa kwake Merekani hajawahi kuona "Baba wa Taifa la Merekani George Washington" akidhihakiwa;
Dah! huo ni uongo wa wazi wazi, machache haya hapa ya kudhihakiwa George Washington:.
Samahani mkuu, mimi na masuala ya vyama ni vitu 2 tofauti kabisa. Kwenye uzi huu inasemwa waTanzania na siyo chama fulani. Naomba unisamehe kwa hilo mkuu.
Faiza,Jamani, huyu mama anaejiita Leticia Nyerere, ni bado mke wa mtoto wa Nyerere?
Uongo anaousema ni huu, kuwa na kukaa kwake Merekani hajawahi kuona "Baba wa Taifa la Merekani George Washington" akidhihakiwa;
Dah! huo ni uongo wa wazi wazi, machache haya hapa ya kudhihakiwa George Washington:
Leticia, kuna tons and tons za dhihaka kwa George Washington. Unalidanganya bunge na Watanzania kwa ujumla kwani tunakuona live, kwa kuwa eti umekaa USA.
Wewe inaonesha ulikuwa unakaa USA lakini huijui USA au unaona Watanzania tu wajinga kiasi cha kutudangaya kijinga namna hiyo?
Inaonesha u mfinyu sana wa mawazo.
Wakwanza wewe unalidhihaki jina la Nyerere kwani umeshaachika na bado unalitumia kama una hati miliki nalo.
Tatizo langu ni kwanini muwe waongo? na kwanini mtetee uongo?
Mnawatuma wabunge wenu kwenda kudangaya pale bungeni? Hamna haya?
Mtu anaweza kusema kwa kukaa kwake Argentina hajawahi kuona Che Guevara akidhihakiwa, kumbe akawa anaongelea Argentina ya Manzese.
Tumuulize anaongelea Marekani gani kwanza? Isije kuwa anaongelea Marekani ya Kariakoo shimoni.
Leticia atakuwa Mkwe wa Mwalimu milele. Aliolewa na Mtoto wa Mwalimu. Hata kama kaachwa, kaachika, kaacha, ule ukwe unabaki palepale. Tuko makabila mengi nchi Faizafoxy!Si ujinga tu. Kuolewa ni utumwa hata ubadili jina la ukoo wako?
Halafu si jina tu, amesema uongo nisome vizuri.
Isitoshe, amesma "mimi Nyerere ni Mkwe wangu" huo pia ni uongo usahihi angesema "mimi Nyerere (alikuwa) Mkwe wangu".
Soma vizuri post yangu. Analidangaya bunge na Watanzania, Kama lengo lake Nyerere asidhihakiwe angesema tu hivyo na si kudanganya eti "mimi nimekaa Merekani na Washington hadhihakiwi huko".
Uongo wa nini nyinyi magwanda?
Wametengana tu na Madaraka,kisheria bado ni mme wake.Kwa hiyo yeye ni wa kwa NyerereSi ujinga tu. Kuolewa ni utumwa hata ubadili jina la ukoo wako?
Halafu si jina tu, amesema uongo nisome vizuri.
Isitoshe, amesma "mimi Nyerere ni Mkwe wangu" huo pia ni uongo usahihi angesema "mimi Nyerere (alikuwa) Mkwe wangu".
Tatizo langu ni kwanini muwe waongo? na kwanini mtetee uongo?
Mnawatuma wabunge wenu kwenda kudangaya pale bungeni? Hamna haya?
Kwa nini Winnie aliachika,ila hadi leo anaitwa Winnie Mandela?