Naomba Kikosi kijacho cha Taifa Stars kiteuliwe kwa Kuangalia Uzalendo, Uchungu na Upambaji wa Beki Ibrahim Baka

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,638
108,996
Laiti Wachezaji wote wa Taifa Stars iliyoyaaga Usiku huu Mashindano ya AFCON huko nchini Ivory Coast wangekuwa na Spirit ya Beki Ibrahim Bska nina uhakika Tanzania tusingetolewa mapema hivi.

Kwangu Mimi huyu Beki Ibrahim Baka ndiyo ambaye Watanzania tunatakiwa tumpokee kwa Heshima zote wakirejea kwani ndiyo ameonyesha kweli kuwa amekamilika Kiuzalendo na alienda kweli kuipambania Bendera ya Taifa huko Mashindanoni.

Yanga SC najua nyie ni Watani zangu nikiwa kama mwana Simba SC tukuka Ila hongereni kwa kumuoa huyu Mchezaji tokea akiwa Kwao Kisiwani Zanzibar, Kumlea na Kumtengeneza kupitia Makocha wenu mahiri na hakika Beki Ibrahim Bska ataendelea kuwa Alama bora ya Uzalendo na Upambaji wa Taifa katika Timu ya Taifa ( Taifa Stars ) na GENTAMYCINE mapendekezo kama si sasa basi baadae apewe rasmi Usinga / Unahodha wa Kikosi cha Taifa Stara na Kitamfaa sana na atakitendea Haki kuliko Mafaza na Mabrazameni wengi walioko Kukosini Taifa Stars.

Hongera beki mahiri Ibrahim Baka.
 
Laiti Wachezaji wote wa Taifa Stars iliyoyaaga Usiku huu Mashindano ya AFCON huko nchini Ivory Coast wangekuwa na Spirit ya Beki Ibrahim Bska nina uhakika Tanzania tusingetolewa mapema hivi.

Kwangu Mimi huyu Beki Ibrahim Baka ndiyo ambaye Watanzania tunatakiwa tumpokee kwa Heshima zote wakirejea kwani ndiyo ameonyesha kweli kuwa amekamilika Kiuzalendo na alienda kweli kuipambania Bendera ya Taifa huko Mashindanoni.

Yanga SC najua nyie ni Watani zangu nikiwa kama mwana Simba SC tukuka Ila hongereni kwa kumuoa huyu Mchezaji tokea akiwa Kwao Kisiwani Zanzibar, Kumlea na Kumtengeneza kupitia Makocha wenu mahiri na hakika Beki Ibrahim Bska ataendelea kuwa Alama bora ya Uzalendo na Upambaji wa Taifa katika Timu ya Taifa ( Taifa Stars ) na GENTAMYCINE mapendekezo kama si sasa basi baadae apewe rasmi Usinga / Unahodha wa Kikosi cha Taifa Stara na Kitamfaa sana na atakitendea Haki kuliko Mafaza na Mabrazameni wengi walioko Kukosini Taifa Stars.

Hongera beki mahiri Ibrahim Baka.

Vipi kuhusu Tshabalala
 
Kwahiyo mnaunga Mkono kauli ya Mzilankende kwamba Timu ya Taifa itokane na Wanajeshi!
Bacca ni zao la Jeshi, Yule Mpemba anajituma sana akiirithi vyema Mikoba ya Canavaro pale Uto!
Simba tuliwahi kuwa naye Mpemba mwingine SOUD ABDI na CHOLLO ilikuwa ni VITA NI VITA MURA. They always apply JIHAD
 
Kwahiyo mnaunga Mkono kauli ya Mzilankende kwamba Timu ya Taifa itokane na Wanajeshi!
Bacca ni zao la Jeshi, Yule Mpemba anajituma sana akiirithi vyema Mikoba ya Canavaro pale Uto!
Simba tuliwahi kuwa naye Mpemba mwingine SOUD ABDI na CHOLLO ilikuwa ni VITA NI VITA MURA. They always apply JIHAD
Acha usinikumbushe Cannavaro, binafsi yule ndio mchezaji wangu bora wa muda wote Yanga.
Sijawahi kumuona mchezaji aliyeipenda Yanga kama yeye! Akifuatiwa na Nsajigwa.
 
Laiti Wachezaji wote wa Taifa Stars iliyoyaaga Usiku huu Mashindano ya AFCON huko nchini Ivory Coast wangekuwa na Spirit ya Beki Ibrahim Bska nina uhakika Tanzania tusingetolewa mapema hivi.

Kwangu Mimi huyu Beki Ibrahim Baka ndiyo ambaye Watanzania tunatakiwa tumpokee kwa Heshima zote wakirejea kwani ndiyo ameonyesha kweli kuwa amekamilika Kiuzalendo na alienda kweli kuipambania Bendera ya Taifa huko Mashindanoni.

Yanga SC najua nyie ni Watani zangu nikiwa kama mwana Simba SC tukuka Ila hongereni kwa kumuoa huyu Mchezaji tokea akiwa Kwao Kisiwani Zanzibar, Kumlea na Kumtengeneza kupitia Makocha wenu mahiri na hakika Beki Ibrahim Bska ataendelea kuwa Alama bora ya Uzalendo na Upambaji wa Taifa katika Timu ya Taifa ( Taifa Stars ) na GENTAMYCINE mapendekezo kama si sasa basi baadae apewe rasmi Usinga / Unahodha wa Kikosi cha Taifa Stara na Kitamfaa sana na atakitendea Haki kuliko Mafaza na Mabrazameni wengi walioko Kukosini Taifa Stars.

Hongera beki mahiri Ibrahim Baka.
Naunga mkono jicho ulilotumia kumuona Bacca.
 
Back
Top Bottom