Janjaweed
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 13,157
- 10,655
Mbunge Leticia Nyerere amesema waTanzania wengi wamepoteza uzalendo kwa Taifa lao.
Amesema uzalendo maana yake ni kuipenda bendera ya nchi yako na kuheshimu waasisi au viongozi wa taifa lako, anasema anashangaa siku hizi utaona kwenye daladala mtoto mdogo au kijana amekaa kwenye kiti huku mtu mzima au mzee amesimama na hakuna anayekemea hilo.
Hayo ameyasema leo bungeni wakati akichangia taarifa ya kamati ya mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa.
Yeye mwenyewe si mzalendo