Leo ni leo asemaye kesho muongo. Polepole kuongea na Watanzania saa mbili kamili usiku! Usikose!

Leo ni leo asemaye kesho muongo. Polepole kuongea na Watanzania saa mbili kamili usiku! Usikose!

Wanabodi,

Saa hizi ni saa 12 :00 asubuhi, kumekucha na makucha yake!

Siku ya leo, tarehe 21,leo ndio siku ya siku, imebatizwa jina la ”The Twenty First to remember!”, yaani ni ”Ishirini na moja ya kukumbukwa!”。

Saa mbili kamili usiku,yule Mwamba Humphey Polepole anapanda live kupitia mitandao ya kijamii kushusha live nondo za kufa mtu!。

Inasemekana leo Polepole anakuja na nyundo kukomelea msumari wa mwisho kwenye,naniliu ya chama chake,baada ya hapo ndipo safari ya tumpeleke tumpeleke ianze!

Hii ya leo sii ya kukosa!
Usikose!

Paskali。

Rejea za Polepoke
Kuna wengi wanamjua Polepole kijuu juu, mimi nimeisha muanzishia nyuzi tatu humu jf kumhusu
  1. Humprey Polepole: Kinachoendelea BMK is Not Right", Live on Ch.10
  2. Japo anaonekana mtu wa kawaida tu ndani ya CCM, Humphrey Polepole sio mtu wa kawaida!, He is extra ordinary very powerful!
  3. Kuna uwezekano Watanzania tuna tatizo la uelewa? Nikimsikiliza Polepole, namuona Mwl. Nyerere. Nyie msiomuelewa Polepole, je Nyerere mngemuelewa?

View: https://youtu.be/SYJjy4zg7ssMsikilize hapa anavyoongea kama Mwalimu Nyerere

CHAI MAHARAGE NA POLEPOLE 😃😃
NYAKATI ZILE HATA YEYE ALIKUWA UPANDE WA UOVU,MACHO YAKE HAYAKUONA YA KUWA KUNA WATU KWENYE VIROBA!(WAMETUPWA),SHORTLY SI MSAFI,ATUJUZE NANI ALIKUWA AKIFANYA YALE?/ KWA NINI ALIYAKALIYA KIMYA,
#UKITULIZA AKILI UTAGUNDUA WOTE MANTA NYAHIIII
 
Wanabodi,

Saa hizi ni saa 12 :00 asubuhi, kumekucha na makucha yake!

Siku ya leo, tarehe 21,leo ndio siku ya siku, imebatizwa jina la ”The Twenty First to remember!”, yaani ni ”Ishirini na moja ya kukumbukwa!”。

Saa mbili kamili usiku,yule Mwamba Humphey Polepole anapanda live kupitia mitandao ya kijamii kushusha live nondo za kufa mtu!。

Inasemekana leo Polepole anakuja na nyundo kukomelea msumari wa mwisho kwenye,naniliu ya chama chake,baada ya hapo ndipo safari ya tumpeleke tumpeleke ianze!

Hii ya leo sii ya kukosa!
Usikose!

Paskali。

Rejea za Polepoke
Kuna wengi wanamjua Polepole kijuu juu, mimi nimeisha muanzishia nyuzi tatu humu jf kumhusu
  1. Humprey Polepole: Kinachoendelea BMK is Not Right", Live on Ch.10
  2. Japo anaonekana mtu wa kawaida tu ndani ya CCM, Humphrey Polepole sio mtu wa kawaida!, He is extra ordinary very powerful!
  3. Kuna uwezekano Watanzania tuna tatizo la uelewa? Nikimsikiliza Polepole, namuona Mwl. Nyerere. Nyie msiomuelewa Polepole, je Nyerere mngemuelewa?

View: https://youtu.be/SYJjy4zg7ssMsikilize hapa anavyoongea kama Mwalimu Nyerere

Manjaa umekuwa mpiga zumari wa Polepole. Tutamfufua mwendazake akushughulikie tena.
 
Wanabodi,

Saa hizi ni saa 12 :00 asubuhi, kumekucha na makucha yake!

Siku ya leo, tarehe 21,leo ndio siku ya siku, imebatizwa jina la ”The Twenty First to remember!”, yaani ni ”Ishirini na moja ya kukumbukwa!”。

Saa mbili kamili usiku,yule Mwamba Humphey Polepole anapanda live kupitia mitandao ya kijamii kushusha live nondo za kufa mtu!。

Inasemekana leo Polepole anakuja na nyundo kukomelea msumari wa mwisho kwenye,naniliu ya chama chake,baada ya hapo ndipo safari ya tumpeleke tumpeleke ianze!

Hii ya leo sii ya kukosa!
Usikose!

Paskali。

Rejea za Polepoke
Kuna wengi wanamjua Polepole kijuu juu, mimi nimeisha muanzishia nyuzi tatu humu jf kumhusu
  1. Humprey Polepole: Kinachoendelea BMK is Not Right", Live on Ch.10
  2. Japo anaonekana mtu wa kawaida tu ndani ya CCM, Humphrey Polepole sio mtu wa kawaida!, He is extra ordinary very powerful!
  3. Kuna uwezekano Watanzania tuna tatizo la uelewa? Nikimsikiliza Polepole, namuona Mwl. Nyerere. Nyie msiomuelewa Polepole, je Nyerere mngemuelewa?

View: https://youtu.be/SYJjy4zg7ssMsikilize hapa anavyoongea kama Mwalimu Nyerere

Polepole ni kama Mbwa mwenye kichaa huwa anahangaika sana kutafuta mtu wa kumuua
 
Bahati mbaya anaodeal nao Wana department zote zakuendesha mambo yao.

Ndio yule dogo wamempumzisha ili apate muda wa kudeal na ground floor na vita kama hizi, ameshakabidhiwa hicho kitengo mpaka bahari itulie..
Mwakani hapo anarudishwa kwenye game.

ndani ya mitaa ya Benghazi Libya.
 
CHAI MAHARAGE NA POLEPOLE 😃😃
NYAKATI ZILE HATA YEYE ALIKUWA UPANDE WA UOVU,MACHO YAKE HAYAKUONA YA KUWA KUNA WATU KWENYE VIROBA!(WAMETUPWA),SHORTLY SI MSAFI,ATUJUZE NANI ALIKUWA AKIFANYA YALE?/ KWA NINI ALIYAKALIYA KIMYA,
#UKITULIZA AKILI UTAGUNDUA WOTE MANTA NYAHIIII
Kwani Polepole amewahi huwa IGP au DGIS unataka akujulishe habari za viroba.

Watu wa kuwahoji mambo yale ni
1. Rais
2. IGP
3. DCI
4. DGIS
5. waziri mkuu
 
Wanabodi,

Saa hizi ni saa 12 :00 asubuhi, kumekucha na makucha yake!

Siku ya leo, tarehe 21,leo ndio siku ya siku, imebatizwa jina la ”The Twenty First to remember!”, yaani ni ”Ishirini na moja ya kukumbukwa!”。

Saa mbili kamili usiku,yule Mwamba Humphey Polepole anapanda live kupitia mitandao ya kijamii kushusha live nondo za kufa mtu!。

Inasemekana leo Polepole anakuja na nyundo kukomelea msumari wa mwisho kwenye,naniliu ya chama chake,baada ya hapo ndipo safari ya tumpeleke tumpeleke ianze!

Hii ya leo sii ya kukosa!
Usikose!

Paskali。

Rejea za Polepoke
Kuna wengi wanamjua Polepole kijuu juu, mimi nimeisha muanzishia nyuzi tatu humu jf kumhusu
  1. Humprey Polepole: Kinachoendelea BMK is Not Right", Live on Ch.10
  2. Japo anaonekana mtu wa kawaida tu ndani ya CCM, Humphrey Polepole sio mtu wa kawaida!, He is extra ordinary very powerful!
  3. Kuna uwezekano Watanzania tuna tatizo la uelewa? Nikimsikiliza Polepole, namuona Mwl. Nyerere. Nyie msiomuelewa Polepole, je Nyerere mngemuelewa?

View: https://youtu.be/SYJjy4zg7ssMsikilize hapa anavyoongea kama Mwalimu Nyerere


yapigweeeeeeee!

na zile 10 days za Mtumishi wa Mungu Josephat Gwajima, zinaelekea kutamatika.

#KATAA WAHUNI#
 
Alikuwa mtu mzito ndani ya chama pamoja na uchanga wake ndani ya chama.(Yalimuhusu)
Vyombo vya dola haviko chini ya chama. Viko chini ya serikali.

Mwenye dhamana ya kulinda wananchi na mali zao ni serikali na vyombo vya dola.

Uchafu wote unaoendelea kwa sasa ni serikali iliyo madarakani. Chama ni political vehicle tu ya kumpata Rais. Kwa katiba yetu mtu akiwa Rais anakuwa juu ya chama.

Na humfanyi kitu. Akikohoa tu wote mnaingia uvunguni. Akiagiza Crocodiletooth uchinjwe utachinjwa tu.
 
Wanabodi,

Saa hizi ni saa 12 :00 asubuhi, kumekucha na makucha yake!

Siku ya leo, tarehe 21,leo ndio siku ya siku, imebatizwa jina la ”The Twenty First to remember!”, yaani ni ”Ishirini na moja ya kukumbukwa!”。

Saa mbili kamili usiku,yule Mwamba Humphey Polepole anapanda live kupitia mitandao ya kijamii kushusha live nondo za kufa mtu!。

Inasemekana leo Polepole anakuja na nyundo kukomelea msumari wa mwisho kwenye,naniliu ya chama chake,baada ya hapo ndipo safari ya tumpeleke tumpeleke ianze!

Hii ya leo sii ya kukosa!
Usikose!

Paskali。

Rejea za Polepoke
Kuna wengi wanamjua Polepole kijuu juu, mimi nimeisha muanzishia nyuzi tatu humu jf kumhusu
  1. Humprey Polepole: Kinachoendelea BMK is Not Right", Live on Ch.10
  2. Japo anaonekana mtu wa kawaida tu ndani ya CCM, Humphrey Polepole sio mtu wa kawaida!, He is extra ordinary very powerful!
  3. Kuna uwezekano Watanzania tuna tatizo la uelewa? Nikimsikiliza Polepole, namuona Mwl. Nyerere. Nyie msiomuelewa Polepole, je Nyerere mngemuelewa?

View: https://youtu.be/SYJjy4zg7ssMsikilize hapa anavyoongea kama Mwalimu Nyerere

Sote tunasubiri kwa hamu.
Ila kwa sababu tushaonekana waTz ni mazuzu, muda huo mitandao haitapatikana!
 
HP alikuwa mtu mdogo sana kujua classified issues za ndani ya mifumo.
Kikubwa anachojua ni kilekile walio wengi wanakijua mitaani.

Hakufika level ya kuyajua yasiyotakiwa kujulikana, na kama angeyajua hayo sidhani kama angepata hata huo muda ya kuretard.

Wahusika wana akili nyingi kuliko zake, angakuwa ana madhara asingepata hata nafasi ya kwenda Cuba, wangeshamalizana naye, kutupiwa ndoano kwenye umri na uzoefu wake kwenye game ilikuwa rahisi sana.

ndani ya mitaa ya Benghazi Libya.
 
Back
Top Bottom