Legacy ya Hayati Magufuli haitofutika mbele ya wanyonge ila bado hakuwa malaika, alikosea pia

2019

JF-Expert Member
Dec 31, 2018
2,982
4,458
Moja kati marais ambao wanakumbukwa kwa miradi na kulinda maslahi ya wanyonge wa Tanzania ni hayati John Magufuli, huyu jamaa itachukua muda sana kuja kupata Rais kama huyu mchapa kazi.

Nikiangalia jinsi nchi inavyotafunwa na wachache namkumbuka sana huyu mwamba, kwa sasa uzembe serikali umekuwa ni too much hata zaidi ya utawala wa Kikwete.

Nilichopenda kwake akisimama jukwaani basi hakuna ahadi bali ni maagizo, kama unavyojua huwezi kukubalika na jamii yote. Tanzania wanyonge wengi kuliko wababe, lakini wababe wana nguvu na nguvu yao ilidhibitiwa na Rais huyu.

Kwa sababu ya kuwa juu ya kila kitu akaogopwa, ukimkosoa kesho unapotea. Leo milango ipo wazi kipindi cha utawala wake waliofunga midomo ndio wanafungua sasa.

Kwanini baadhi ya wanyonge hawataki akosolewe kwa makosa yake? Ni Rais gani Tanzania hajakosea? Jibu ni hakuna.

Wanaarakati walimwogopa kipindi kile acheni wafunguke sasa. Kuna watu watasema ooh kumkosoa sasa hakuna faida faida ipo kubwa saba. Na hii watu walisema hata yeye akiwepo miradi mikubwa unapeleka kwenye kijiji chako ukifa itaendelea? Amekufa kweli hanatia taifa hasara pamoja na mazuri yake?

Lazima vitabu viandikwe ili iwe fundisho kwa viongozi wengine wasije jikwaa alipojikwaa yeye.
 
HIvi wanyonge wepi mnaowaongelea hapa?nikikuuliza ni mkulima GANI na WA zao GANI aliyefaidika na uongozi wa magufuli unaweza mtaja hapa?maana kwa mkulima wa mahindi yalikuwa majanga, wa mpunga, korosho, choroko, mbaazi, kahawa, chai,nk. kwa kifupi kumbuka legacy inapande mbili kwa mkulima hatamsahau kutokana na maumivu aliyomsababishia.
Moja kati marais ambao wanakumbukwa kwa miradi na kulinda maslahi ya wanyonge wa Tanzania ni hayati John Magufuli, huyu jamaa itachukua muda sana kuja kupata Rais kama huyu mchapa kazi...
 
Moja kati marais ambao wanakumbukwa kwa miradi na kulinda maslahi ya wanyonge wa Tanzania ni hayati John Magufuli, huyu jamaa itachukua muda sana kuja kupata Rais kama huyu mchapa kazi.

Nikiangalia jinsi nchi inavyotafunwa na wachache namkumbuka sana huyu mwamba, kwa sasa uzembe serikali umekuwa ni too much hata zaidi ya utawala wa Kikwete.

Nilichopenda kwake akisimama jukwaani basi hakuna ahadi bali ni maagizo, kama unavyojua huwezi kukubalika na jamii yote. Tanzania wanyonge wengi kuliko wababe, lakini wababe wana nguvu na nguvu yao ilidhibitiwa na Rais huyu.

Kwa sababu ya kuwa juu ya kila kitu akaogopwa, ukimkosoa kesho unapotea. Leo milango ipo wazi kipindi cha utawala wake waliofunga midomo ndio wanafungua sasa.

Kwanini baadhi ya wanyonge hawataki akosolewe kwa makosa yake? Ni Rais gani Tanzania hajakosea? Jibu ni hakuna.

Wanaarakati walimwogopa kipindi kile acheni wafunguke sasa. Kuna watu watasema ooh kumkosoa sasa hakuna faida faida ipo kubwa saba. Na hii watu walisema hata yeye akiwepo miradi mikubwa unapeleka kwenye kijiji chako ukifa itaendelea? Amekufa kweli hanatia taifa hasara pamoja na mazuri yake?

Lazima vitabu viandikwe ili iwe fundisho kwa viongozi wengine wasije jikwaa alipojikwaa yeye.
Legacy, ipi? Kwa Tanzania Nyererw ndio ana legacy hadi sasa, Wengibe wote hawana, Hivi Magufuri vizazi vijavyo watajifunza au kuona Tangible yake ipi?Marekani imeingozwa ba maraisi 40+ ila wenye legacy pale hata 8 hawafiki, Kujenga Madaraja na reli sio legacy
 
Kimenisaidia kujua kiongozi makini na kiongozi mwenye tamaa
 
Kuna watu walijiapiza kufuta legacy ya Magufuli ndani ya dakika moja lakini sasa ni miaka miwili imewashinda wana hangaika tu. Aibu imeshuka

Serikali imeendelea kuhamia Dodoma vilevile

Wabunge wa viti maalum kutoka Chadema wanaendelea bungeni vilevile.

Bwawa la mwl Nyerere limeendelea kujengwa vilevile.

Uwanja wa ndege Chato umeendelea vilevile na ndege zinatua hadi leo
 
Back
Top Bottom