Lady doctor naomba tuwe wapenzi

Lady doctor naomba tuwe wapenzi

Last edited by a moderator:
Mkuu Lady doctor mweyewe ndio anakuponda... Anasema unakula tambuu sana na mirungi, pia unadai wewe ni mchovu na wabaridi...

Anajua nampenda na yeye ananipenda pia... Pls tuache tupeane raha usituingilie kwenye mapenz yetu mapya... wewe endelea kula mirungi na kuvuta kitu cha Arusha...

Baada ya mwakyembe kuziba njia zote naona umeamua kuubuya mwenyewe. Nani kasema Arushaone ni wa baridi au uliliwa kiboga. Naona unatema povu kutaka sifa humu jf.
 
Last edited by a moderator:
Acha kupanic bana,ile kitu ni barabara ya lami gari likipita haliachi alama,isitoshe mhusika kasema ngoja asome waraka vizuri halafu wewe unaanza kuchimba mkwara,kha!
MD25 komaa mwanawane ukute ladydoctor kachoka ugali maharage kila siku anatamani biriyani.

Bishanga????? Why all these!!!!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom