mtoto wa mamongooooo.....atakula beto la mbavuuu arifuuuuuu
.......Au ukute mwenye ID zote ni mmoja! JF kuna mambo mpenzi!
.......Au ukute mwenye ID zote ni mmoja! JF kuna mambo mpenzi!
leta noma kubwa shem...
kuwa mkali! watakoma..
bad to me ambaye nina mpenzi wa kiukweli kwelii humu!!
Yaani Kiongozi muda wote ulikua hujatambua mwenye Id hii ni specific anaitumia kwa issues kama hizi !
Ofcz atakua ni mtu maarufu tu hapa.
Asikupotezee muda.
Nami na shemejio Lady doctor tunafuata ushauri wako.
Ampende wapi... Ninachokiona hapa huyu Arushaone atakuwa ana pass word ya mpenzi wangu Lady doctor kwa hiyo anakuwa anajibu as if yeye Lady doctor ndio anajibu...
atakuwa hakujui huyo.Unamjua baba yake?
There are currently 3 users browsing this thread. (3 members and 0 guests)
Hamjambo?
There are currently 3 users browsing this thread. (3 members and 0 guests)
Hamjambo?