Arushaone
Platinum Member
- Mar 31, 2012
- 15,237
- 13,566
Mkuu ni kupenda tu huko. Namzimikia kishenzi huyu demu....
Peleka ushenzi wako huko huko ushenzini, achana na mke wangu. Ukiona vyaelea vimeundwa man!
Mkuu ni kupenda tu huko. Namzimikia kishenzi huyu demu....
Tumpotezee tu honey anapoteza muda wake huyu.
Peleka ushenzi wako huko huko ushenzini, achana na mke wangu. Ukiona vyaelea vimeundwa man!
Mkuu huyu Lady doctor hababaiki na hayo mabilioni ya Arushaone. Kuna siku alikuwa ananieleza kuwa ameachana na jamaa yake kwa sababu ya ukicheche, nashukuru kwa kunijulisha kuwa Arushaone ni kicheche
we..we..we.. Ishia hapo hapo nitakutoa baru na hicho kibarua chako!
Acha kupanic bana,ile kitu ni barabara ya lami gari likipita haliachi alama,isitoshe mhusika kasema ngoja asome waraka vizuri halafu wewe unaanza kuchimba mkwara,kha!
MD25 komaa mwanawane ukute ladydoctor kachoka ugali maharage kila siku anatamani biriyani.
afu nshaona nyie nanyi mnapenda kutongozwa eeh!!
kwani tunaomba kutongozwa shem si wenyewe tu mnakuja
leta noma kubwa shem...
kuwa mkali! watakoma..
bad to me ambaye nina mpenzi wa kiukweli kwelii humu!!
Peleka ushenzi wako huko huko ushenzini, achana na mke wangu. Ukiona vyaelea vimeundwa man!