Kwenye mfungo vyakula vinapanda bei, biashara ya pombe, kitimoto na gesti ngumu. Hii ina tafsiri gani?

mkushite

JF-Expert Member
Sep 2, 2021
628
1,475
Ebu tuelimishane,

Kwanini kwenye mfungo wa Ramadhan vyakula vinapanda bei?

Kwanini bar, gesti na kitimoto biashara inakuwa ngumu kwenye mfungo?

Mimi nilitegemea biashara ya chakula iwe ngumu maana si watu hawali chakula. Na kwa biashara za bar na kitimoto ziendelee kama kawaida maana waliofunga hawatumii hizo ni haramu kwao.
 
Ebu tuelimishane,

kwanini kwenye mfungo wa ramadhan vyakula vinapanda bei?

Kwanini bar, gesti na kitimoto biashara inakuwa ngumu kwenye mfungo?

Mimi nilitegemea biashara ya chakula iwe ngumu maana si watu hawali chakula. Na kwa biashara za bar na kitimoto ziendelee kama kawaida maana waliofunga hawatumii hizo ni haramu kwao.
Huu ni mwezi wa kula kula sana. Yaani kugeuza chakula cha mchana kula usiku. Mwezi huu kiwango cha chakula anachokula mtu kwa muda wa masaa 24 ni kingi kuliko anachokula miezi mingine.
 
Huu ni mwezi wa kula kula sana. Yaani kugeuza chakula cha mchana kula usiku. Mwezi huu kiwango cha chakula anachokula mtu kwa muda wa masaa 24 ni kingi kuliko anachokula miezi mingine.
 
Ebu tuelimishane,

kwanini kwenye mfungo wa ramadhan vyakula vinapanda bei?

Kwanini bar, gesti na kitimoto biashara inakuwa ngumu kwenye mfungo?

Mimi nilitegemea biashara ya chakula iwe ngumu maana si watu hawali chakula. Na kwa biashara za bar na kitimoto ziendelee kama kawaida maana waliofunga hawatumii hizo ni haramu kwao.
Huu mwezi mfungaji anakula chakula kingi kuliko miezi mingine, so economically, demand inakuwa kubwa kuliko supply kwa hiyo soko linajibalance lenyewe kwa bei kupanda. Mm nimetolea mfano kwenye misosi tu, huko kwenye pombe na kitimoto nimewaachie wajuvi wa hizo mambo
 
Back
Top Bottom