Kwenu BRT, sababu ya kampuni yenu kushuka viwango ni tabia ya kupakia idadi kubwa ya abiria inayozidi nafasi za viti vya kukalia (seats)

Kwenu BRT, sababu ya kampuni yenu kushuka viwango ni tabia ya kupakia idadi kubwa ya abiria inayozidi nafasi za viti vya kukalia (seats)

Mr Why

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2019
Posts
2,992
Reaction score
5,660
Kwenu BRT, sababu ya kampuni yenu kushuka viwango ni tabia ya kupakia idadi kubwa ya abiria inayozidi nafasi za viti vya kukalia (seats)

Tafadhali BRT rejeleeni muongozo wa waundaji wa basi zenu. Muongozo unasema abiria waketi katika seats na sio kusimama, vile vile eneo la milango na korido lina ilani ya kuwataka abiria kutokusimama eneo hilo

Hakikisheni mnapoanza safari basi abiria wote wawe wameketi katika seat zao na ikiwa abiria ni wengi ongezeni bus na sio kurundika abiria kama nazi kwenye tenga

Vile vile abiria nidhamu ianzie kwenu kwa kuhakikisha kuwa hampandi bus lisilokuwa na viti vilivyowazi

Hivi ndivyo Mataifa makubwa yanavyoishi kwa nidhamu, tuachane na maisha ya kuishi kwa hekaheka
 
Kwa hiyo tayari unataka kujifananisha?😂
Tujifunze kubadilika, wanayofanya BRT ni ujinga kwasababu hawafuati kanuni za waliounda hizi bus, mtu asiyefuata kanuni wakati ameshapewa na zimeandikwa katika documents za manunuzi ni mjinga
 
Kwenu BRT, sababu ya kampuni yenu kushuka viwango ni tabia ya kupakia idadi kubwa ya abiria inayozidi nafasi za viti vya kukalia (seats)

Tafadhali BRT rejeleeni muongozo wa waundaji wa basi zenu. Muongozo unasema abiria waketi katika seats na sio kusimama, vile vile eneo la milango na korido lina ilani ya kuwataka abiria kutokusimama eneo hilo

Hakikisheni mnapoanza safari basi abiria wote wawe wameketi katika seat zao na ikiwa abiria ni wengi ongezeni bus na sio kurundika abiria kama nazi kwenye tenga

Vile vile abiria nidhamu ianzie kwenu kwa kuhakikisha kuwa hampandi bus lisilokuwa na viti vilivyowazi

Hivi ndivyo Mataifa makubwa yanavyoishi kwa nidhamu, tuachane na maisha ya kuishi kama WAJINGA
Kwamba huoni shida ni uwepo wa mabasi machache pamoja na kuondoa ruti ya daladala yanakoenda BRT??
 
Kwamba huoni shida ni uwepo wa mabasi machache pamoja na kuondoa ruti ya daladala yanakoenda BRT??
Shida ni wao kutokutimiza wajibu wao wa kuongeza bus, wana kila sababu ya kunyooshewa vidole
 
Shida ni wao kutokutimiza wajibu wao wa kuongeza bus, wana kila sababu ya kunyooshewa vidole
20250509_162537.jpg
20250509_162534.jpg
20250509_162532.jpg
 
Kwenu BRT, sababu ya kampuni yenu kushuka viwango ni tabia ya kupakia idadi kubwa ya abiria inayozidi nafasi za viti vya kukalia (seats)

Tafadhali BRT rejeleeni muongozo wa waundaji wa basi zenu. Muongozo unasema abiria waketi katika seats na sio kusimama, vile vile eneo la milango na korido lina ilani ya kuwataka abiria kutokusimama eneo hilo

Hakikisheni mnapoanza safari basi abiria wote wawe wameketi katika seat zao na ikiwa abiria ni wengi ongezeni bus na sio kurundika abiria kama nazi kwenye tenga

Vile vile abiria nidhamu ianzie kwenu kwa kuhakikisha kuwa hampandi bus lisilokuwa na viti vilivyowazi

Hivi ndivyo Mataifa makubwa yanavyoishi kwa nidhamu, tuachane na maisha ya kuishi kama WAJINGA
Mkuu kwa TZ hii hiyo ni impossible
 
Back
Top Bottom