Hili swali ni too personal mkuu [emoji2]
Hahaa nimependa hii. Kwa hakika sitakuangusha mkuu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kutubu tena lolSio kwa bongo, hio ina apply msemo ulipotokea tu! Wengine wanadai keki za besdei kama pumzi hapa hapa jukwaani [emoji23][emoji23][emoji23]!!! Bongo mapenzi ni hela yako tu...vinginevyo utaishia kutubu tu!
Toka uliponitenga na kuniacha mwenyeweBabe umeanza lini tabia ya uchawi
Toka uliponitenga na kuniacha mwenyewe
Rudi nyumbani mapema kabla sijawa mwangaOoh jamani am sorry dear, narudi tuwe pamoja
Umesema ukweli umri wa kuolewa ni miaka hiyo.
At least msichana anakuwa ameshajua maisha ya kitaa.
Anajua nyama robo ikiongezewa na mchicha fungu moja inatosha kula familia nzima.
Umewasema wake zetu mdogo wangu, kweli ukubwa dawa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Kwani kaka hujawahi kuona hiyo? Nyama kuongezewa kabichi ili iwe nyingi.
Hakika tumenaswa jamaa angu...nlikua km wewe ama zaidi...nimepata kabinti. .nafunguka isivyo kawaida...kila mtu ana mjanja wake.Habari zenu wakuu,
Zamani nilikuwa nashangaa sana kuona mwanaume mwenzangu anahonga gari, nyumba, ticket ya flight kumpeleka mwanamke vacation kwenye nchi ya chaguo lake, ila now I know the motive behind. TRUE LOVE.
Iko hivi, ukipenda hakuna kitu mpenzi wako atakwambia usimtendee. Baada ya kuishi miaka takribani 15 ya uzinzi 'mtambuka', nimejikuta nimenasa kwa kabinti kadogo sana ka miaka 22!! Nimekutana nako recently, baada ya kukafanyia thorough assessment nikagundua kana sifa zote za mke
Nimejikuta nakafanyia mambo ambayo sikuwaza nitakuja kumfanyia mwanamke! Love is a beautiful thing. Nafanya hadi vitu ambavyo baada ya kuvifanya najishangaa mwenyewe! Hela natoa bila kuombwa. Juzi nikajikuta naitembelea 'phonebook' yangu na kuanza kufuta namba za wapenzi wangu wa zamani! Msukumo wa ndani ndiyo unanishawishi kuyafanya haya.
Ukiona unatumia nguvu ya ziada kuomba au kufanyiwa kitu na mwanaume wako ujue hapo sio mahali pako, kuna tatizo mahali. Kimbia. Mwanaume anayekupenda ataifanya furaha yako iwe kipaumbele chake.
Guys, I am in love. Simu napiga hadi najishangaa. Text ndiyo usiseme. Nazidi kumuomba Mungu huyu binti asibadilike ili aje kuwa mama wanangu panapo majaliwa. Mniombee pia wakuu (ingawa hatufahamiani).
Msamiati 'uzinzi mtambuka' ni umalaya usio na staha wala mipaka (kwa tafsiri isiyo rasmi sana).
Nawatakia jioni njema. Mapovu ruksa.
Naunga mkono hoja ya bandiko lako.
Nikutakie kila la kheri katika mahusiano yako na uzidi kubaki na furaha.
Inapendeza ukipendwa unapopenda
Rudi nyumbani mapema kabla sijawa mwanga
[emoji8][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji8]
Nashukuru mkuu [emoji120]Mkuu mm nakupa moyo we endelea tu kula raha, ya mbele huko omba Mungu