Kweli hakuna mwanaume bahili akipenda kweli

Kweli hakuna mwanaume bahili akipenda kweli

Ewaaa na hiyo ndo nguvu ya 'Kupiga muwa'na Pesa (Huduma kwa ujumla wake).


Baada ya Kuushinda moyo wake, mpige muwa kisawasawa yaan mpige mpige muwaa mpaka wanaume wengine anawaona mawifi zake., Mpige muwaaaa piga muwaa mpaka akikaaa ajipepe, piga muwaa kiasi kwamba kila akibanwa nyegee, mwanaume pekee anayemwijia kichwan ni wewe, piga muwaaa kiasi kwamba umpe sababu ya nyege kila akikuwazia....

Malizia kumwagia Pesa/Huduma sawasawa na mahitaji yake na uwezo wako.Mjali , sio lazima akuombe, siku nyingine mfanyie kwa kushitukiza, sio lazima umpe wakat anekuletea mzigo, mpe hata kabla hajaja, mpe baada ya kuondoka.
Kiukweli, Pesa pesa hatuwezi kuitenganisha na mwanamke.
Shida nikua, watu wanataka mpaka wawe kama akina Dangote ndo wawahudumie wapenzi wao.


Iyo ndio Limbwata ya Mwanaume kumuelekea mwanamke.....

Utapewa Mzigooo mpaka utakua unalala kiganja kipo juu ya Msusio.
Hahahaa we Carlos wewe eti wanaume wengine anawaona wifi zake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ewaaa na hiyo ndo nguvu ya 'Kupiga muwa'na Pesa (Huduma kwa ujumla wake).


Baada ya Kuushinda moyo wake, mpige muwa kisawasawa yaan mpige mpige muwaa mpaka wanaume wengine anawaona mawifi zake., Mpige muwaaaa piga muwaa mpaka akikaaa ajipepe, piga muwaa kiasi kwamba kila akibanwa nyegee, mwanaume pekee anayemwijia kichwan ni wewe, piga muwaaa kiasi kwamba umpe sababu ya nyege kila akikuwazia....

Malizia kumwagia Pesa/Huduma sawasawa na mahitaji yake na uwezo wako.Mjali , sio lazima akuombe, siku nyingine mfanyie kwa kushitukiza, sio lazima umpe wakat anekuletea mzigo, mpe hata kabla hajaja, mpe baada ya kuondoka.
Kiukweli, Pesa pesa hatuwezi kuitenganisha na mwanamke.
Shida nikua, watu wanataka mpaka wawe kama akina Dangote ndo wawahudumie wapenzi wao.


Iyo ndio Limbwata ya Mwanaume kumuelekea mwanamke.....

Utapewa Mzigooo mpaka utakua unalala kiganja kipo juu ya Msusio.
nakazia mkuu.
 
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Wewe mzee unamiliki mtoto wa miaka 22 mnaongea nini?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Bora akuchune tu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
  • Thanks
Reactions: amu
Back
Top Bottom