Kweli hakuna mwanaume bahili akipenda kweli

Kweli hakuna mwanaume bahili akipenda kweli

Habari zenu wakuu,

Zamani nilikuwa nashangaa sana kuona mwanaume mwenzangu anahonga gari, nyumba, ticket ya flight kumpeleka mwanamke vacation kwenye nchi ya chaguo lake, ila now I know the motive behind. TRUE LOVE.

Iko hivi, ukipenda hakuna kitu mpenzi wako atakwambia usimtendee. Baada ya kuishi miaka takribani 15 ya uzinzi 'mtambuka', nimejikuta nimenasa kwa kabinti kadogo sana ka miaka 22!! Nimekutana nako recently, baada ya kukafanyia thorough assessment nikagundua kana sifa zote za mke

Nimejikuta nakafanyia mambo ambayo sikuwaza nitakuja kumfanyia mwanamke! Love is a beautiful thing. Nafanya hadi vitu ambavyo baada ya kuvifanya najishangaa mwenyewe! Hela natoa bila kuombwa. Juzi nikajikuta naitembelea 'phonebook' yangu na kuanza kufuta namba za wapenzi wangu wa zamani! Msukumo wa ndani ndiyo unanishawishi kuyafanya haya.

Ukiona unatumia nguvu ya ziada kuomba au kufanyiwa kitu na mwanaume wako ujue hapo sio mahali pako, kuna tatizo mahali. Kimbia. Mwanaume anayekupenda ataifanya furaha yako iwe kipaumbele chake.

Guys, I am in love. Simu napiga hadi najishangaa. Text ndiyo usiseme. Nazidi kumuomba Mungu huyu binti asibadilike ili aje kuwa mama wanangu panapo majaliwa. Mniombee pia wakuu (ingawa hatufahamiani).

Msamiati 'uzinzi mtambuka' ni umalaya usio na staha wala mipaka (kwa tafsiri isiyo rasmi sana).

Nawatakia jioni njema. Mapovu ruksa.
Sikukatishi tamaa ila kwa hio age ya huyo binti bado hajafikia stage ya kujua nini hasa anahitaji katika maisha yake na mwanaume anayemtaka. She is still finding herself.

Jiandae kisaikolojia tu maana uwezekano wa kuachwa na simanzi ni 89% especially kama ndio yupo chuo now. Wengi hubadilikaga tabia wakifika 3rd year.

Naliongea hili kama Relationship Enthusiast. Mwanamke wa kumkabidhi moyo ni wa kuanzia age ya 24 and above. Most likely wanakuwa wameshajua ni kitu gani wanachotaka katika maisha.
 
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Wewe mzee unamiliki mtoto wa miaka 22 mnaongea nini?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Bora akuchune tu.
Mwamba ana upofu wa penzi.

Tumuache kidogo ainjoy 😂😂😂!!! ku fall in love na mtoto hamna tofauti na kununua kiwanja cha urithi bila makubaliano na ukoo wa wenye mali.
 
Sikukatishi tamaa ila kwa hio age ya huyo binti bado hajafikia stage ya kujua nini hasa anahitaji katika maisha yake na mwanaume anayemtaka. She is still finding herself.

Jiandae kisaikolojia tu maana uwezekano wa kuachwa na simanzi ni 89% especially kama ndio yupo chuo now. Wengi hubadilikaga tabia wakifika 3rd year.

Naliongea hili kama Relationship Enthusiast. Mwanamke wa kumkabidhi moyo ni wa kuanzia age ya 24 and above. Most likely wanakuwa wameshajua ni kitu gani wanachotaka katika maisha.
Nashukuru kwa ushauri mzuri mkuu, ingawa wakati mwingine 'umri' siyo factor pekee. Inawezekana kabisa binti wa miaka 22 akawa na fikra za binti wa miaka 24+ unayoisema 'and the vice versa is true'. Anyway, muda utaamua.
 
Mwamba ana upofu wa penzi.

Tumuache kidogo ainjoy [emoji23][emoji23][emoji23]!!! ku fall in love na mtoto hamna tofauti na kununua kiwanja cha urithi bila makubaliano na ukoo wa wenye mali.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
  • Thanks
Reactions: amu
Nashukuru kwa ushauri mzuri mkuu, ingawa wakati mwingine 'umri' siyo factor pekee. Inawezekana kabisa binti wa miaka 22 akawa na fikra za binti wa miaka 24+ unayoisema 'and the vice versa is true'. Anyway, muda utaamua.
Mkuu mm nakupa moyo we endelea tu kula raha, ya mbele huko omba Mungu
 
Back
Top Bottom