Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 45,668
- 96,523
HahahahaNilikwambia tulia kwangu bebe...achana na matapeli ohooo[emoji23][emoji23][emoji23]
HahahahaNilikwambia tulia kwangu bebe...achana na matapeli ohooo[emoji23][emoji23][emoji23]
Nmecheka kinoma, ila ndio uhalisia wa penzi ulivyo.Ndo kusema kitu kama hiki mkuu....View attachment 1487244
Sio kwa bongo, hio ina apply msemo ulipotokea tu! Wengine wanadai keki za besdei kama pumzi hapa hapa jukwaani 😂😂😂!!! Bongo mapenzi ni hela yako tu...vinginevyo utaishia kutubu tu!Love doesn't cost a thing.
Nasubiri folen ya kuchukua fomMkuu hulali ?[emoji23]. Au huko uliko ni mchana sasa hivi!!!
Hahahaha, ila mademu wa ki bongo kwa mizinga wako vzrSio kwa bongo, hio ina apply msemo ulipotokea tu! Wengine wanadai keki za besdei kama pumzi hapa hapa jukwaani [emoji23][emoji23][emoji23]
Bongo ili uinjoy penzi lazma uwe na uwezo wa kupangua mizinga ndio utakuwa "mtu wa maana 😂😂😂!!!"Hahahaha, ila mademu wa ki bongo kwa mizinga wako vzr
Hahahaha,hilo ni kweli kabisa Mkuu usemaloBongo ili uinjoy penzi lazma uwe na uwezo wa kupangua mizinga ndio utakuwa "mtu wa maana [emoji23][emoji23][emoji23]!!!"
Ukiskia hata mademu wanamsifia mwenzao kapata "mtu wa maana" ujue ni jamaa ambaye kila akipigwa mzinga unafuatiwa na meseji ya "Imethibitishwa...
Mkuu kwani blue amepata changamoto gani?Unawafahamu
hawa watu
stamina
Zari
gadna
blue
Tapeli lazima amjue tapeli mwenzie. 😅😅😅Nilikwambia tulia kwangu bebe...achana na matapeli ohooo😂😂😂
Hahahaha, nakumbuka niliwahi kumpenda binti mmoja umri km huo nadhani ,asee yule binti binafsi nilimpenda 100% kifupi angekua MkeNenda na tahadhari ndugu yangu.
22 years is still not enough.
Ni ushauri tu. You can take or leave it.
Kwanza umri huo mtu ndio anamaliza chuo, ndio anayaanza maisha; ni vurugu mechi.Hahahaha, nakumbuka niliwahi kumpenda binti mmoja umri km huo nadhani ,asee yule binti binafsi nilimpenda 100% kifupi angekua Mke
Ila bana kumbe mapepa balaa hakumaliza ujana ,wazee walikua wanajipigia tu ,siku hz sijui yuko wapi nadhani huko aliko anapambana na hali yake
Miaka 22 anamalizaje ujana? Miaka 22 ni umri wa kula raha wewe waacheni wenzenu waenjoy maisha wewe ulishamaliza ujana wako ulitaka kumkatisha mwenzako.Hahahaha, nakumbuka niliwahi kumpenda binti mmoja umri km huo nadhani ,asee yule binti binafsi nilimpenda 100% kifupi angekua Mke
Ila bana kumbe mapepa balaa hakumaliza ujana ,wazee walikua wanajipigia tu ,siku hz sijui yuko wapi nadhani huko aliko anapambana na hali yake
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Mimi najua unatuchora tu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Miaka 22 mpaka 27 kwa mwanamke ndio miaka ya 'kuchakatwa'(Zero IQ).Hahahaha, nakumbuka niliwahi kumpenda binti mmoja umri km huo nadhani ,asee yule binti binafsi nilimpenda 100% kifupi angekua Mke
Ila bana kumbe mapepa balaa hakumaliza ujana ,wazee walikua wanajipigia tu ,siku hz sijui yuko wapi nadhani huko aliko anapambana na hali yake
Hahahaha, ndio maana nikakaa pembeni ,sijui mpk sasa anakula bado ujana au ujana umemlaMiaka 22 anamalizaje ujana? Miaka 22 ni umri wa kula raha wewe waacheni wenzenu waenjoy maisha wewe ulishamaliza ujana wako ulitaka kumkatisha mwenzako.
Hahahaha, ni kweli MkuuMiaka 22 mpaka 27 kwa mwanamke ndio miaka ya 'kuchakatwa'(Zero IQ).
At the late 27 and early 28...hapo sasa anakuwa alishachoka na akili zinaanza kurudi.
Watupia nyavu na waoaji sasa ndo huja hapa.
Na muda huo asipoutumia atakuja kuufidia tu ndani ya ndoa.
So mshikaji nae anachakata tu...ni vizuri. Ila anaonekana anapigwa hela kinoma. Wakati kiukweli sio mke wake huyoo.
Hayo ya sasa wewe hayakuhusu.Hahahaha, ndio maana nikakaa pembeni ,sijui mpk sasa anakula bado ujana au ujana umemla
Ila alikua mzuri bana
Anaita kila akipitaKwanza umri huo mtu ndio anamaliza chuo, ndio anayaanza maisha; ni vurugu mechi.