Ndo kusema kitu kama hiki mkuu....Penzi huanza kwa tabasamu... Hukua kwa busu... Huisha kwa chozi.
Ndo kusema kitu kama hiki mkuu....Penzi huanza kwa tabasamu... Hukua kwa busu... Huisha kwa chozi.
Pole mkuu [emoji2]Daah, wewe haufai aisee. Ushaniwangia hata wale niliokuwa nawavizia wataingia mitini sasa; umemwaga mboga bana! [emoji28][emoji28]
Your opinion is not the reality mkuu.Ukiachwa uje utoe post hapa ya kukupa ushauri
[emoji23][emoji23][emoji23] daahNdo kusema kitu kama hiki mkuu....View attachment 1487244
[emoji23][emoji23][emoji23]Haya sasa mwengine huyu limbwata limekolezwa!.. Hawa ndo wakiwaga hata marais wanahonga hata nchi!!
Inshallah [emoji120] [emoji4]Kila la kheri mkuu.
Na ikawe kheri mkuu. Nikuhakikishie tu kwamba niko makini zaidi ya sana.Chochea moto wa mapenzi mkuu ila tumia na akili zaidi usiuendekeze moyo sana nikutakie kila la kheri mkuu
Vingi tu mkuu, havielezeki. Ingawa muda nao utaamua.vipi ana kipi cha ziada kuwazidi x zako?
Na ikawe kheri mkuu. Nikuhakikishie tu kwamba niko makini zaidi ya sana.
Babe umeanza lini tabia ya uchawiNa mtaachana tu
Mark my words
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jf raha San lolEwaaa na hiyo ndo nguvu ya 'Kupiga muwa'na Pesa (Huduma kwa ujumla wake).
Baada ya Kuushinda moyo wake, mpige muwa kisawasawa yaan mpige mpige muwaa mpaka wanaume wengine anawaona mawifi zake., Mpige muwaaaa piga muwaa mpaka akikaaa ajipepe, piga muwaa kiasi kwamba kila akibanwa nyegee, mwanaume pekee anayemwijia kichwan ni wewe, piga muwaaa kiasi kwamba umpe sababu ya nyege kila akikuwazia....
Malizia kumwagia Pesa/Huduma sawasawa na mahitaji yake na uwezo wako.Mjali , sio lazima akuombe, siku nyingine mfanyie kwa kushitukiza, sio lazima umpe wakat anekuletea mzigo, mpe hata kabla hajaja, mpe baada ya kuondoka.
Kiukweli, Pesa pesa hatuwezi kuitenganisha na mwanamke.
Shida nikua, watu wanataka mpaka wawe kama akina Dangote ndo wawahudumie wapenzi wao.
Iyo ndio Limbwata ya Mwanaume kumuelekea mwanamke.....
Utapewa Mzigooo mpaka utakua unalala kiganja kipo juu ya Msusio.
Hii ni general rule, usisahau kwamba to every general rule kuna exception.