Kwanini zaidi ya 75% ya mawakili hawajakwenda Arusha kupiga kura TLS? Kwanini vijana wamepungua? Nini nafasi ya Teknolojia kupiga kura?

Kwa sababu its a total waste of time

Ushaona wapi duniani taasisi inachagua head guy kila mwaka??? Deplorably ridiculous.
Absolutely right!

Why yearly & not every 2-3years at the max!?

Usanii umechosha wengi, TLS sasa anamfanana Sana CWT!
Wanafanya kama Tawi la chama, soon Chenge atagombea!
Awali walionekana ni wa level nyingine!
 
Kwa sababu its a total waste of time

Ushaona wapi duniani taasisi inachagua head guy kila mwaka??? Deplorably ridiculous.
Rais wa Baraza kuu la Umoja wa mataifa huchaguliwa kila mwaka; hujui hilo?
 
Sio kama hawana nauli bali TLS imepoteza mvuto mbele ya wanasheria vijana haswa uchaguzi huu wakumbeba waziwazi Hosea.
 
TLS ina wanachama zaidi ya elfu Tano hai, waliopiga kura ni takribani elfu Moja Jambo ambalo linaakisi zaidi ya asilimia 75 hawakujitokeza kwenda kuchagua rais wao.

Lakini pia kati ya waliojitokeza Kwa tuliopo Arusha, mawakili wenye umri zaidi ya miaka 45 wanaonekana wamejaa AICC kuliko vijana ambao kipindi Cha nyuma walikuwa wengi.

Je, ni kweli kwamba mawakili wengi wamekosa uwezo wa kiuchumi? Kama asilimia 75 Wana ukwasi finyu taaluma hii inakwepaje makanjanja?

Kwa umaskini huu si wakati wa kuwaza kutumia Teknolojia kupiga kura kuwapa haki mawakili wasio na fedha za nauli?
UCHAGUZI WA TLS HUSIMAMIWA NA TUME YA UCHAGUZI TUME TUME AMBAYO WOTE TUNAJUA HAIKO HURU WALA HAITENDI HAKI SIKU ZOTE

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Lissu tunduka na Msando
Lissu alipochaguliwa tu kuwa rais wa TLS akatangaza yeye ni rais, kajiona tayari ni rais wa JMT.
Kaanza kupingana na mamlaka hajui yeye ni rais wa TLS sio JMT.
Msando ye alipima oil papa nguru kwa gigy money live.
Ni mdau wa karibu tls watu wakapoteza imani na tls.
Na sijui kama alitokea safari hii
Rais wa wanasheria hayuko chini ya rais wako na hapokei maagizo yoyote toka kwa rais wako na ndicho kilichomuudhi mwendazake na kuweka kusudio la kutaka kuifuta TLS, Lissu alipata asilimia 88 ya kura zote.
 
Mawakili wengi hasa vijana maisha yamewapiga!! Wamekuwa wengi mno na wanagombania kupiga mihuri vyeti vya waomba ajira!! Wanashinmdana kushusha bei ya muhuri!!
 
Chama kisichokuwa na mchango kwa jamii na kuishia kuwa genge la mapuppets ya ccm ni heri tu mmesusia uchaguzi wao.

Endeleeni kuwa kama condom, ccm wakiisha watumia vya kutosha watawatupia kt shimo la choo na kuwaflashu
Kwani TLS huwa inapita majimboni kuja kuipigia CCM kampeni?

Nini hasa jukumu la TLS katika utendaji wake wa kila siku?

TLS Ina mchango gani chanya kwa jamii?

TLS inacho hata kitengo cha kusaidia wananchi mambo ya ushauri wa kisheria bure.
Kwa wale ambao huwa hawana uwezo wa kuweka mawakili binafsi?

Hiki ni chombo cha umoja wa kitaaluma kwa mawakili kukutana na kutambuana na labda kubadilishana uzoefu katika fani yao.
Pamoja na kusimamiana kimaadili ya kazi na wajibu wao katika utendaji wa shughuli na majukumu yao ya kila siku.

Sawa tu na kilivyo Chama Cha Walimu Tanzania na vinginevyo kama Madaktari nk.

Kutaka kukitumia kisiasa kwa lengo binafsi ilikuwa kosa kubwa kwa Tundu Lissu na Fatuma Karume.
 
Wapunguze ada ya uanachama! yawezekana wengi wameshindwa hata kulipia ada ya uanachama hivyo kukosa sifa ya kupiga kura.
 
Lissu tunduka na Msando
Lissu alipochaguliwa tu kuwa rais wa TLS akatangaza yeye ni rais, kajiona tayari ni rais wa JMT.
Kaanza kupingana na mamlaka hajui yeye ni rais wa TLS sio JMT.
Msando ye alipima oil papa nguru kwa gigy money live.
Ni mdau wa karibu tls watu wakapoteza imani na tls.
Na sijui kama alitokea safari hii
Jikite kwenye taaluma yako. Eti Msando ni mdau muhimu TLS!!!
 
Wawe wanatafuta wadhamini wa kufadhili gharama zote za mawakili kuhudhuria mkutano mkuu kuanzia safari malazi na chakula!! Vinginevyo watabakia wazee tu ambao wanaelekea kuchoka kuchoka!
 
Rais wa wanasheria hayuko chini ya rais wako na hapokei maagizo yoyote toka kwa rais wako na ndicho kilichomuudhi mwendazake na kuweka kusudio la kutaka kuifuta TLS, Lissu alipata asilimia 88 ya kura zote.
Rais wako rais wetu we bwege nini.
Ndio aanze kujiona rais wa JMT.
sijawai kuona mnyaturu mshamba kama yule.
Mbona wenzie wanashika hicho cheo muda ukifika wanaachia bila mikwaruzo yoyote.
 
Back
Top Bottom