Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
TLS ina wanachama zaidi ya elfu tano hai, waliopiga kura ni takribani elfu moja jambo ambalo linaakisi zaidi ya asilimia 75 hawakujitokeza kwenda kuchagua rais wao.
Lakini pia kati ya waliojitokeza kwa tuliopo Arusha, mawakili wenye umri zaidi ya miaka 45 wanaonekana wamejaa AICC kuliko vijana ambao kipindi cha nyuma walikuwa wengi.
Je, ni kweli kwamba mawakili wengi wamekosa uwezo wa kiuchumi? Kama asilimia 75 wana ukwasi finyu taaluma hii inakwepaje makanjanja?
Kwa umaskini huu si wakati wa kuwaza kutumia Teknolojia kupiga kura kuwapa haki mawakili wasio na fedha za nauli?
Lakini pia kati ya waliojitokeza kwa tuliopo Arusha, mawakili wenye umri zaidi ya miaka 45 wanaonekana wamejaa AICC kuliko vijana ambao kipindi cha nyuma walikuwa wengi.
Je, ni kweli kwamba mawakili wengi wamekosa uwezo wa kiuchumi? Kama asilimia 75 wana ukwasi finyu taaluma hii inakwepaje makanjanja?
Kwa umaskini huu si wakati wa kuwaza kutumia Teknolojia kupiga kura kuwapa haki mawakili wasio na fedha za nauli?