tearless
Member
- May 17, 2017
- 75
- 322
elezea km hutojali![]()
![]()
![]()
kulala kuna tafsiri pana, hata walio kaburini wamelala, na kuna watembeao lakini wamelala.... Kulala kuna tafsiri pana
![]()
![]()
![]()
elezea km hutojali![]()
![]()
![]()
kulala kuna tafsiri pana, hata walio kaburini wamelala, na kuna watembeao lakini wamelala.... Kulala kuna tafsiri pana
![]()
![]()
![]()
Wao wako sawa ila ni mtazamo wa kibinadamu huwaona hivyo na kujenga taswira za namma hiyo
Yawezekana manbo haya ni kweli..Bibi aliwahi kunihadisia kuwa Kuna mtoto wa mama yake alimtuhumu kuwa Bibi anamroga Sasa yule dada akaketa mganga ili aje kummaliza Bibi kichawi...Bibi akasema yule mganga alikuja akaanza kumwangalia Bibi machoni kwa kumkazia badae akasema ..mbona huyu ni mjinga mjinga tu hajui lolote Kisha akaondoka....pengine Kuna mahusiano ya uchawi na kutazamana machoniSio kila jicho lina nuru na nguvu ya kupeleka vibrations za brain intuition kwenye jicho la tatu.. Kuna macho mfu sawa tu na ngozi mfu ambayo haina hisia ama ulimi mfu ambao hauna ladha... Macho yako yamezimwa nuru, hayana uwezo ninaozungumzia hapa na ndio maana huwezi ona effect yoyote, kimsingi una macho mfu .. BTW hiki ni kitu cha kiasili na si cha kutengeneza... Wale wanaokuwa trained, huendelezwa tu
Yaani mm tokea nmeanza kulala chali sikuwahi tena kuota majinamizi.Ukilala chali mnapata wote shida wewe na yeye, utapatwa na ndoto za majinamizi na kukabwa lakini si hilo tu kulala chali ni sawa na kuungalia mzizi wa dunia central axis hivyo kuna nguvu ya uvutano hapo
Hili Jicho ni la uchawi kabisa , tena ni ule wa Lebanon, Lebanon ndio kuna uchawi wote.
Mida ya watakatifu
Mida ya ukamilifu, akili iko fresh kabisa
Mida ya maji safi yaliyotakaswa
Mida ya ibada
Mida ya nyota njema (huonekana alfajiri)
Muda wa vizazi na vifo
Muda wa morning glory![]()
![]()
![]()
![]()
Kwa experience yangu ya kulala:-Mshazari, usiiangalie dunia/mbingu wala usiipe kisogo
Mshazari, usiiangalie dunia/mbingu wala usiipe kisogo
Hiki nini sasa! We jamaa bhanaMshazari, usiiangalie dunia/mbingu wala usiipe kisogo
Energy can neither be created nor destroyed.. God is super energyXThe answer is ..who do you think? There are many theories which are advocating the origin of the univese more specifically GOD as the creater ..the question is who created him(GOD)
Yawezekana manbo haya ni kweli..Bibi aliwahi kunihadisia kuwa Kuna mtoto wa mama yake alimtuhumu kuwa Bibi anamroga Sasa yule dada akaketa mganga ili aje kummaliza Bibi kichawi...Bibi akasema yule mganga alikuja akaanza kumwangalia Bibi machoni kwa kumkazia badae akasema ..mbona huyu ni mjinga mjinga tu hajui lolote Kisha akaondoka....pengine Kuna mahusiano ya uchawi na kutazamana machoni
mashuleni huko hasa waliosoma boys walimu hukataza wanafunzi wao wa kiume wasilale kifudifudi ili kuepusha mawazo ya ngono,hivyo wanahamasisha walale chali au msharazi (japo kulala upande ni rahisi zaidi kujikuta upo kifudi fudi unwillingly) !!!!. Lakini pia kwenye dini yangu ( ) tunashauriwa ukitaka kulala muombe Mungu kisha lala chali hutapata jinamizi ( na ni kweli nimeexperience ila lazima usali kabla ya kulala). Mwisho, asante mleta mada unatupa elimu bila mipaka.
