Joseph lebai
JF-Expert Member
- Jul 19, 2017
- 8,447
- 8,720
Jicho la tatu linaniacha hoi, wewe ni Mwalimu wa waalimu. Nitafanya jaribio la kumwendea kunguru kinyumenyume nione itakuaje . Kumbe ndio maana mchawi anaingia ndani kinyumenyume!
unajua msahana nimekusoma sana kwa miaka sasa! zamani nilikuwa nikilala chali kweli naona maruweruwe na kama majinamizi fulani na purukushani fulani hivi...lHapana ukiwa kwenye mlalo mzuri I mean mshazari ni ngumu sana mwanga kufanya yake... Ni mpaka aidha uwe chali ama kifudifudi... Sana sana atasonya na kuondoka zake
lakini siku hizi huwa nalala chali na hakuna kitu kinatokea na sasa ni mwaka wa pili tokea niamue kuanza kulala chali ....lakini maajabu nikiota ndoto huwa asubuhi yake sizikumbuku au inachukua siku kadhaa au wiki kukumbuka nniliota niniunajua msahana nimekusoma sana kwa miaka sasa! zamani nilikuwa nikilala chali kweli naona maruweruwe na kama majinamizi fulani na purukushani fulani hivi...l
Ufao ni mwili uharibukao, roho haifi.. Tunaposimuliwa habari za reincarnation na ufufuo siku ya mwisho, hizi ni habari za kiroho sio za kimwili.... Kuna watu wanafanya kazi huku wamelala mwili uko kwenye automation mode.. Anatenda kwa mazoea lakini mwili na akili vimechoka kabisaelezea km hutojali
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji120] [emoji120] [emoji123] [emoji106] [emoji115] [emoji123]Jicho la tatu linaniacha hoi, wewe ni Mwalimu wa waalimu. Nitafanya jaribio la kumwendea kunguru kinyumenyume nione itakuaje . Kumbe ndio maana mchawi anaingia ndani kinyumenyume!
Ndoto tuotazo ziko za aina tatulakini siku hizi huwa nalala chali na hakuna kitu kinatokea na sasa ni mwaka wa pili tokea niamue kuanza kulala chali ....lakini maajabu nikiota ndoto huwa asubuhi yake sizikumbuku au inachukua siku kadhaa au wiki kukumbuka nniliota nini
i just wanted to know about thisA bit different
Mark huo muda saa tisa.. Hiyo ni adhuhuri kuna saa 12 na saa 6 Zinaitwa nyakati za dunia ya roho... Umelala chali ukiangalia juu, vya kiroho vilikuwa vinapita busy ya yao uliutesa mno mwili wakoMkuu, wanasayansi wanasema mtu akilala chali mfumo wa kuvuta hewa (breathing system) yake mara nyingi inakuwa blocked; Hii humfanya akiwa huko huko usingizini kupata shida kubwa mno wakati wa kuvuta hewa ili system ya mwili ifanye kazi kama kawadia - Kwa hali hiyo ya usingizini ndiyo anaota anakabwa na jini, amekandamizwa kwenye matope na jitu kubwa nk.
Siku moja nilishafanya jaribio, niliamua kulala mchana chali kwenye kochi - chali ; ndoto hizo zikanijia zile zile tunazoita za jinamizi - nikawa napata shinda sana, huku nikisikia sauti za familia zikiwa hapo sebureni pamoja na sauti a TV lakini sikuwa na uwezo wa kuwashtua ili wanisaidie kuniokoa. Nilivyoshituka niliwasimulia wakasema wao walikuwa wananiona nageuka geuka tu, wakaona waniache niendelee kupumzika.
Sasa sidhani kwamba muda huo wa mchana wa saa tisa, mchawi aliingia ndani kwangu na akaanza kunisurubu wakati wana familia pia wakiwa hapo hapo wakicheki TV.
Nitapenda kupata ufafanuzi pia kwenye hili.
naq mimi niunganisheTakutag
Tayari telekinesisnaq mimi niunganishe
Ipi hiyo mkuu, naomba unitag unitag nikaisome kama hutojaliMmh vingine ni experience binafsi na mkao ama uelekeo wa chumba, kuna ile mada kama ulibahatika kuisoma, kuna uelekeo wa kitanda chumbani huleta majinamizi na ndoto mbaya