Kwanini ukimwangalia usoni aliyelala huamka?

Kwanini ukimwangalia usoni aliyelala huamka?

Hapana ukiwa kwenye mlalo mzuri I mean mshazari ni ngumu sana mwanga kufanya yake... Ni mpaka aidha uwe chali ama kifudifudi... Sana sana atasonya na kuondoka zake
Nikilala nimegeukia ukutani mara nyingi naota ndoto hatari hatari hii maana take nini?
 
Lakini nikilala chali ni vizuri tunapambana! Mkuu naona unavuruga mada yako mwenyewe.
Hizi nadharia zako zifanyie utafiti upya labda, ni ushauri tu lakini.
Nimeshafafanua fuatilia mtiririko wa post kaka hakuna nilipojichanganya
 
Nikilala nimegeukia ukutani mara nyingi naota ndoto hatari hatari hii maana take nini?
Mmh vingine ni experience binafsi na mkao ama uelekeo wa chumba, kuna ile mada kama ulibahatika kuisoma, kuna uelekeo wa kitanda chumbani huleta majinamizi na ndoto mbaya
 
Kabla sijaenda mbali sana leo hii naanza mazoezi na wife akiwa amelala,natoka usiku bila ya kumuangalia halafu narudi asubuhi nione kama itafanya kazi...
 
Mimi hata nisipokuwa nimelala hata kama nimeinama chini ila mbele kuna mtu ananiangalia ntajua tu
 
Kabla sijaenda mbali sana leo hii naanza mazoezi na wife akiwa amelala,natoka usiku bila ya kumuangalia halafu narudi asubuhi nione kama itafanya kazi...
[emoji3] [emoji3] [emoji115] [emoji12]
 
Nguvu za maumbile ni nyingi ndio maana ukifumba macho halafu pawe na giza ukipita mwanga mahali hapo mwanga utauona ili hali umefumba macho.jambo moja hapo watu wengi wasilo lijua ni hili hakuna mchawi ambae aliwahi safir kwa ungo juu huu ni uongo tu zinasafiri hisia sio mwili hiyo tecnorojia ya kupanda ungo haikuwahi kuwepo duniani hata ubishe vipi unabishana na ukweli tu.ifahamike kuna nguvu nyingi zisizo onekana na huo ni ukamilifu wa dunia kumbuka dunia nayo inamambo yake,shida kubwa tuliyo nayo kila kitu kwetu ni kushangaa na kujipa presha.
 
Kabla sijaenda mbali sana leo hii naanza mazoezi na wife akiwa amelala,natoka usiku bila ya kumuangalia halafu narudi asubuhi nione kama itafanya kazi...
Unaweza fanikiwa vizuri shida wakati wa kurudi si utarudi kwa hofu huku ukinyata unamwangalia usoni ndipi na yeye atafumbua macho
 
ukipata muda tuambie kuhusu kuhusu macho kuwa ni kwanini mtu akifa macho huelekea juu ingawa sio kwa wote
 
Sio kila jicho lina nuru na nguvu ya kupeleka vibrations za brain intuition kwenye jicho la tatu.. Kuna macho mfu sawa tu na ngozi mfu ambayo haina hisia ama ulimi mfu ambao hauna ladha... Macho yako yamezimwa nuru, hayana uwezo ninaozungumzia hapa na ndio maana huwezi ona effect yoyote, kimsingi una macho mfu .. BTW hiki ni kitu cha kiasili na si cha kutengeneza... Wale wanaokuwa trained, huendelezwa tu
hii kitu mdm ninayo hata nilale vp ukiniangalia hata gizani totoro lazm niamke au hta km natembea njian kuna mtu nyuma ananiangalia lazm nitageuka tu na tutakutanisha
nwezaje kutumiahilo li jicho uliloweka hapo kama avatar na likaendelea kuchezacheza hivyohivyo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom