Kwanini ukimwangalia usoni aliyelala huamka?

Kwanini ukimwangalia usoni aliyelala huamka?

kulala kuna tafsiri pana, hata walio kaburini wamelala, na kuna watembeao lakini wamelala.... Kulala kuna tafsiri pana
Vipi kuhusu ile ya kushika kitovu na nyoka anasepa au ile ya kubana kengele na mbwa hakufanyi kitu??
 
Shukrani mkuu japo leo kwa mangi hupiti au ukipita bhasi bili kwakoo ....ulichokisema sikipingi wala kukitilia shaka ila na mm nimejaribu kufikiria nje ya box na mawazo yangu mgando kuhusu baadhi ya concept kama hypnagogia , BMR ( basal metabolic rate) na REM (rapid eye movement ) during sleep ...
 
Wanakua na devils face tena uki focus mwachoni mwao wana instincts za kishetani kabisa
Lakini pia wana instincts za wema ndani yake pengine hata kumshinda binadamu kwakuwa hawaui bila sababu.. Na ndio maana kamwe huwakuti wakila vitoto vichanga bali huvilinda wakati kuna binadamu kibao daily ni kufanya abortion na kutupa watoto.... Sijawahi ona mnyama anafanya hivyo
 
Rejea kwa Dk Shika ukishika kitovu nyoka akufanyi chochote ataishia kugaragara chini tuu,ukikutana na nyoka mtoto wa kiume shika kengere zako mbwa hata awe mkali vipi ata ishia kukuangalia tuu .je mshana jr kuna ukweli juu ya haya mambo?
Baadhi ya mambo yako kiimani zaidi kumbuka ukiwa na imani japo chembe ya haradali unaweza kuhamisha hata milima....
 
Hakuna ukweli wowote. Fix tu.
Jambo kama hili simple sana kuprove. Sijawahi kuangalia mtu usoni akiwa kalala akaamka, wengine hadi nawagusa kabisa bado wamelala.
Kama kawaida conspiracy theorists watajaa hapa na kushangilia kitu kipya bila kushughulisha bongo zao hata kidogo. Story hii haina basis yoyote ile, tungo tu
Wengine wanakuwa wamelala lakini spirit zao zimeshauacha mwili zimesafiri mbali sana.

Kwa akili za ubishi kama hizi huwezi kuelewa kinachoendelea duniani.

Au wewe tangu uzaliwe haujawahi kuota hata siku moja uko nchi za mbali kabisa?
 
Vipi kuhusu ile ya kushika kitovu na nyoka anasepa au ile ya kubana kengele na mbwa hakufanyi kitu??
Hapa ni kiimani zaidi lakini pia unapoamini katika kitu fulani kuna degree zake ambazo zikivuka 50% huzalisha positive energy ya kuweza kufanya jambo husika
 
Sasa ulisema tukilala chali wachawi hupata tabu kufanya ya kwao.

Ila tena ukasema ndo maana hatushauriwi kulala chali

Kipi ni sahii hapo, naomba majibu tafadhali
 
Mshana is back through dr shika...mida ya morning groy ndio point ya muhimu mkuuu
 
Sasa ulisema tukilala chali wachawi hupata tabu kufanya ya kwao.

Ila tena ukasema ndo maana hatushauriwi kulala chali

Kipi ni sahii hapo, naomba majibu tafadhali
Ukilala chali mnapata wote shida wewe na yeye, utapatwa na ndoto za majinamizi na kukabwa lakini si hilo tu kulala chali ni sawa na kuungalia mzizi wa dunia central axis hivyo kuna nguvu ya uvutano hapo
 
Kipind nikiwa Mdg nilikua naota km kuna jitu linanikimbiza msituni.

Baadae nlipomweleza she he mskitini, alinishauri niwe nalala chali nikianza kuhisi ile hali.

Na kwakweli tokea nianze kulala chali hadi leo hii sijawahi kota jambo lolote baya.

Na imekua style niliotokea kuipenda tokea utotoni.

Na mara nyingi kulala chali kumekua kukinisaidia hata kuamka kwa wakati nikihitaji kuamka usiku wa manane kujisomea.

Pia nikilala chali nakua mwepesi kuweza kuhisi kinachotokea nje nikiwa nimelala, yaani hata kishindo Cha mbwa nakua attention mda wote nnapokua nmelala.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom