Tanzania kwa mujibu wa sensa ya 2022 ilikuwa na watu ~65m, je waliokuwa wakinung'unika walikuwa wako wangapi kati ya 65m? na je, walikuwa na haki ya kuvuruga uchaguzi ule bila kujitia kwenye hatia?uhamasishaji wa kisiasa ulikuwa ni chachu tu, lakini kiberiti kilikuwa ni mlundikano wa kero za kiuchumi na manung'uniko ya wananchi yaliyopuuzwa na Serikali kwa muda mrefu
Mgogoro na ujinga ulianzia hapa, kwakuwa inafahamika kuwa uchuguzi unafanyika nchi nzima kwa wakati mmoja kwenye vitongoji vyoote nchini na kote huko ilifahamika kuwa kulikuwa na polisi wanalinda vituo vya kura na kura zenyewe. Na waandamaji waliandamana siku hiyohiyo nchi nzima pia huku wakijua polisi wote wako kwenye malindo mbalimbali. DHAMIRA ya maandamano na waandamaji haikuwa nzuri kwakuwa walikuwa wanajua kuwa hakutakuwa na polisi wa kutosha kuwapatia usalama waandamaji na wapiga kura kwa wakati mmoja. FUTA kabisa ubabaishaji wa aina hii.Jeshi la Polisi halitakiwi kusimama na chama tawala wala upinzani—walitakiwa kusimama na Katiba na Sheria kuu za nchi. Jukumu lao lilikuwa ni kulinda usalama wa wale wanaotaka kwenda kupiga kura, huku wakilinda na wale wanaoandamana kwa amani chini ya Ibara ya 20. Polisi walipochagua kutumia nguvu kubwa, mabomu ya machozi, na silaha za moto dhidi ya raia waliokuwa wanaeleza manung'uniko yao, walichagua kusimama na kulinda maslahi ya watawala badala ya kulinda haki za raia.
Mavi ya mamaWatanzania wote wanahitaji maisha bora, lakini maisha bora huwezi kuyaleta kwa kuchoma mali zao zilizopo tayari mikononi mwao. TLS inaunga mkono mali za wananchi ziharibiwe na wenye hazira.
Hebu ona, Sasa hivi serikali inatumia rasilimali watu, fedha, muda na silaha nyingi ili kulinda mali za watanzania 65m zisichomwe moto na kuharibiwa na chadema inayoungwa mkono na TLS. Pesa ambazo zingeweza kutumika kwenye kutoa huduma nyingine kama chanjo za watoto, dawa za HIV, kununua madawa hospitalini, nk. Eti watu wa aina hiyo wanataka kutuaminisha kuwa wao wana uchungu na sisi na wanataka kutuletea maendeleo wakati wanaharibu hata hiki kidogo tulichonacho!!!. Upuuzi mtupu.
Unajua Tanzania Kuna polisi wangapi ukimjumlisha mafwele na wambura?Mgogoro na ujinga ulianzia hapa, kwakuwa inafahamika kuwa uchuguzi unafanyika nchi nzima kwa wakati mmoja kwenye vitongoji vyoote nchini na kote huko ilifahamika kuwa kulikuwa na polisi wanalinda vituo vya kura na kura zenyewe. Na waandamaji waliandamana siku hiyohiyo nchi nzima pia huku wakijua polisi wote wako kwenye malindo mbalimbali. DHAMIRA ya maandamano na waandamaji haikuwa nzuri kwakuwa walikuwa wanajua kuwa hakutakuwa na polisi wa kutosha kuwapatia usalama waandamaji na wapiga kura kwa wakati mmoja. FUTA kabisa ubabaishaji wa aina hii.
exactly!!! Mfano, JPM alikuwa akidhalilisha wanawake hadharani kwasababu tu kwenye familia na kabila lake wanawake hawapewi haki zao. Kuna watu wako pale LHRC ambao wao wenyewe wamenyimwa urithi wa ardhi wa wazazi wao. Kama wewe mwenyewe umeshindwa kujitetea usinyimwe urithi wa wazazi wako utawezaje kutetea haki za wengine? Wanaganga njaa tu hawa lakini hawakerwi na ukosefu wa haki ndani ya jamii.
Afrika tu shida ya kuwa na viongozi ambao wanatoka kwenye familia, koo na makabila ambazo zina ukiukwaji mkuu wa haki za binadamu. Hivyo ni vigumu sana kutoa haki za binadamu wakiwa viongozi wa umma. Ndiyo maana unaona Afrika yote hakuna haki za binadamu za kiwango kikubwa.
Hebu ona Mh. Lissu anatetea wamasai wanaotaka kuhamishwa Ngorongoro lakini hatetei haki ya wanawake wa kabila lake wanaokeketwa bila hiari yao. Mh. Lema anatetea haki ya watanzania wakiwemo wanawake lakini hatetei haki ya wanawake wa kabila lake wanaonyimwa urithi. Na Heche hivyohivyo. Hapa ndio unagundua kuwa issue sio ukosefu haki tz bali njuluku.
Kavulata, 🤡🎪Ni Nani anaerudisha lawama za mzozo kwa utawala na vyombo vya dola? aliyechoma? EU?, chadema, wananchi, TLS au nani?
Wewe huna hoja ni walewale tu. Katiba ni mali ya watanzania wote kaka, hakuna mtu au kikundi chenye kura ya veto kuhusu nini kiwepo na nino kisiwepo kwenye Katiba by when. TLS na chadema wanadhani wanaweza kutuambia watanzania woote pamoja na serikali shoto kulia nyuma geuka mbele tembea kwenye kuandika Katiba.Kavulata, 🤡🎪
Muda wa kupoteza kujibu porojo za 'machawa' wa serikali haupo. Tumekupatia maoni yote ya kisheria, huna hoja!
Umebaki kujigeuza clown (mchekeshaji wa sarakasi / kikaragosi) 🤡 wa hapa JF, ukiruka ruka kufunika ukweli. Show yako ya u-clown imefeli, kila mtu ameshasoma 'script' yenu ya bei rahisi. 👋
Amri ya mwisho: Kazi yako imeisha.
Nenda haraka kwa waliokutuma ukachukue hiyo bahasha ya malipo 💰✉️, maana umejitahidi sana kukariri miongozo yao. Hoja za kisheria hazijibiwi kwa njaa za kisiasa.
Kachukue chako usepe, hoja zimeshafungwa! 🎬🤡
Hata sijui wazungu wanawapa hela ngapi hata mjipige upofu kwa kiasi hiki. Eti watu waliotaka kupindua serikali ndio wanatuambia sisi nani alikosea na nani alipatia, nani alikuwa sawa na nani hakuwa sawa. NYASHUKavulata, 🤡🎪
Muda wa kupoteza kujibu porojo za 'machawa' wa serikali haupo. Tumekupatia maoni yote ya kisheria, huna hoja!
Umebaki kujigeuza clown (mchekeshaji wa sarakasi / kikaragosi) 🤡 wa hapa JF, ukiruka ruka kufunika ukweli. Show yako ya u-clown imefeli, kila mtu ameshasoma 'script' yenu ya bei rahisi. 👋
Amri ya mwisho: Kazi yako imeisha.
Nenda haraka kwa waliokutuma ukachukue hiyo bahasha ya malipo 💰✉️, maana umejitahidi sana kukariri miongozo yao. Hoja za kisheria hazijibiwi kwa njaa za kisiasa.
Kachukue chako usepe, hoja zimeshafungwa! 🎬🤡
Nadhani polisi iliua wale tu waliokaidi kutii amri halali ya kuacha vurugu na kuchoma kila kitu, wengine waliouliwa kiholela na majumbani waliuliwa na waliopanga vurugu ili kupata idadi ya vifo inayotakiwa na ICC na bunge la Jumuiya ya ulaya na wafadhili wengine ili ku justify kuchukua hatua dhidi ya serikali ya Tanzania. Uvamizi wa vituo vya polisi ili kupata silaha na sare za polisi ilikuwa sehemu ya mpango. Yaani ukiwa na bunduki na sare za polisi basi kila kitu itakuwa ni polisi (Mafwele). Ushahidi wa hili ni pale wapanga maandamano kuongeza saaaaana idadi ya vifo ili wakubwa wao wapandishe macho yao juu na kuchukua hatua mara moja ya kuiadhibu Tz, lakini mbinu hii imegonga mwamba, maana wazungu wana akili nyingi huwezi kuwadanganya kiboyaboya, wameikataa idadi ya vifo waliyowakilisha. Hebu fikiria kuwa wafe watu 25,000 kwa siku mbili situngeona maturubai ya misiba kila kona ghafla?.Unajua Tanzania Kuna polisi wangapi ukimjumlisha mafwele na wambura?
Unajua kwamba wanajeshi wa Tanzania walivalishwa sale za polisi Ili wakauwe raiya wasio na silaha?
Unaona kinachoendelea hapa dar kinatofauti na kile Cha October?
Polisi wenye silaha Kila Kona? Ndo nchi ya amani hiyoo??
Mavi ya mama
Aaaa bwana kaka yangu Kijana wa Ifosa be serious and professional hata kidogo tu. Yaana chadema ikinyimwa haki yake anachoma mwendokasi, Madaktari wakinyimwa haki yao wanakwenda kuangusha nguzo za taa za barabarani, manesi wakicheleweshewa madai yao wanang'oa milango ya hospitali kuonyesha hasira zao, madereva wakicheleweshewa haki zao wanang'oa alama za barabarani., Mbona hujadili kama msomi? Walipchoma mali zetu walikosea sana.Kavulata, 🤡🎪
Muda wa kupoteza kujibu porojo za 'machawa' wa serikali haupo. Tumekupatia maoni yote ya kisheria, huna hoja!
Umebaki kujigeuza clown (mchekeshaji wa sarakasi / kikaragosi) 🤡 wa hapa JF, ukiruka ruka kufunika ukweli. Show yako ya u-clown imefeli, kila mtu ameshasoma 'script' yenu ya bei rahisi. 👋
Amri ya mwisho: Kazi yako imeisha.
Nenda haraka kwa waliokutuma ukachukue hiyo bahasha ya malipo 💰✉️, maana umejitahidi sana kukariri miongozo yao. Hoja za kisheria hazijibiwi kwa njaa za kisiasa.
Kachukue chako usepe, hoja zimeshafungwa! 🎬🤡
Oya Kavulata, punguza mapovu na hiyo mihemko ya kishabiki, unazidi kujiaibisha na sarakasi zako za kitoto hapa JF! Nilishakuambia kazi uliyotumwa kama 'mouthpiece' na chawa wa buku saba wa CCM ilishashtukiwa siku nyingi. Acha kujifanya unauliza maswali ya 'kisomi' wakati unaweweseka baada ya script yenu ya bei rahisi kufeli mchana kweupe.Aaaa bwana kaka yangu Kijana wa Ifosa be serious and professional hata kidogo tu. Yaana chadema ikinyimwa haki yake anachoma mwendokasi, Madaktari wakinyimwa haki yao wanakwenda kuangusha nguzo za taa za barabarani, manesi wakicheleweshewa madai yao wanang'oa milango ya hospitali kuonyesha hasira zao, madereva wakicheleweshewa haki zao wanang'oa alama za barabarani., Mbona hujadili kama msomi? Walipchoma mali zetu walikosea sana.
Sawa kaka wacha tugawane uchawa; wewe chawa wa Lissu, chadema na wazungu, na mimi chawa wa Katiba, CCM, mali za watanzania na amani. Wewe na kundi lako mmevaa joho la watanzania; ...eti watanzania wanataka..., hawataki..., wamechoshwa.....Hao watanzania mlikutana nao wapi wakawaambia wanataka, hawataki, wamechoka.....Oya Kavulata, punguza mapovu na hiyo mihemko ya kishabiki, unazidi kujiaibisha na sarakasi zako za kitoto hapa JF! Nilishakuambia kazi uliyotumwa kama 'mouthpiece' na chawa wa buku saba wa CCM ilishashtukiwa siku nyingi. Acha kujifanya unauliza maswali ya 'kisomi' wakati unaweweseka baada ya script yenu ya bei rahisi kufeli mchana kweupe.
Unaleta porojo na mifano ya kufikirika ya uharibifu wa miundombinu ili kuhamisha magoli na kuwasingizia madaktari, manesi, na CHADEMA, baada ya kukwama na kuzidiwa nguvu kwenye hoja za kisheria. Hoja za kisheria hazijibiwi kwa njaa za kisiasa wala kwa kujivua nguo kuitetea serikali kwa sababu tu ya njaa yako ya tumbo.
Kazi yako ya u-clown imeshafika mwisho na kila mtu hapa amekusoma kuwa wewe ni mtupu kichwani. Weka breki kwenye akili yako hiyo kabla haijatema vyuma, nenda haraka kwa waliokutuma ukachukue hiyo bahasha yako ya malipo ya usaliti kabla haijachelewa, maana show yako imeisha na huna jipya. Kachukue chako usepe ukajaze tumbo lako, hoja zimeshafungwa na umeshapigwa mwereka wa pua! 🎬🤡👋
Kwiyo mimi chawa wa Samia na wewe wa Lissu, mimi wa tz wewe EU. poa tu!!Oya Kavulata, punguza mapovu na hiyo mihemko ya kishabiki, unazidi kujiaibisha na sarakasi zako za kitoto hapa JF! Nilishakuambia kazi uliyotumwa kama 'mouthpiece' na chawa wa buku saba wa CCM ilishashtukiwa siku nyingi. Acha kujifanya unauliza maswali ya 'kisomi' wakati unaweweseka baada ya script yenu ya bei rahisi kufeli mchana kweupe.
Unaleta porojo na mifano ya kufikirika ya uharibifu wa miundombinu ili kuhamisha magoli na kuwasingizia madaktari, manesi, na CHADEMA, baada ya kukwama na kuzidiwa nguvu kwenye hoja za kisheria. Hoja za kisheria hazijibiwi kwa njaa za kisiasa wala kwa kujivua nguo kuitetea serikali kwa sababu tu ya njaa yako ya tumbo.
Kazi yako ya u-clown imeshafika mwisho na kila mtu hapa amekusoma kuwa wewe ni mtupu kichwani. Weka breki kwenye akili yako hiyo kabla haijatema vyuma, nenda haraka kwa waliokutuma ukachukue hiyo bahasha yako ya malipo ya usaliti kabla haijachelewa, maana show yako imeisha na huna jipya. Kachukue chako usepe ukajaze tumbo lako, hoja zimeshafungwa na umeshapigwa mwereka wa pua! 🎬🤡👋
Kama wewe sio mungiki unahofia nini askari wakionekana kila kona ya jiji?Unajua Tanzania Kuna polisi wangapi ukimjumlisha mafwele na wambura?
Unajua kwamba wanajeshi wa Tanzania walivalishwa sale za polisi Ili wakauwe raiya wasio na silaha?
Unaona kinachoendelea hapa dar kinatofauti na kile Cha October?
Polisi wenye silaha Kila Kona? Ndo nchi ya amani hiyoo??
Mavi ya mama
Uhai wa watu kwanza!
Wananchi hawapendi vyama vya upinzani, moja ya sababu kuu za kuvikataa ni tabia yao ya kurudi CCM kuunga juhudi hata baada ya kushinda uchaguzi, kuvizia watu kutoka CCM kuwa wagombea wao na tabia ya kutukana kinyume na utamaduni na mila zetu na ukuruba wao na wazungu.Sasa ndo mnaua watu hadi kwenye makazi na shughuli zao binafsi?
Haya mshawaua kwa mamia na maelfu, miili iko wapi?
Msiwachukulie poa hawa WaTanganyika... Soon mtaanza kuwindwa!
Sijui unatumia theory gani kujenga hoja zao za hovyo kabisa. Wewe kwa ujinga wako unadhani bunduki na risasi zimetengenezwa kwaajili gapi? Unadhani watu wananunua bunduki kwa kazi gani? unadhani polisi wanabeba bunduki kwa sababu gani? Kama askari anaelinda sheli hatampiga risasi anaechoma moto sheli anayoilinda unataka bunduki yake akaitumie wapi?Wewe uliyeandika huu uzi ni Bure kabisa!
Kwa hiyo wewe mali ndio zinakuuma kuliko Uhai wa binadamu wenzio?Yaani unaona ni sawa kabisa polisi kuchukua bunduki kufyatulia binadamu wenzie kichwani?unavyojilalamisha eti kodi za wananchi ukute hata TIN number tu huna!
Halafu hiyo ya kupangiana tone ya kuongea imekaaje.?eti Mwabukusi anaongea tone kama ya Viongozi wa Chadema sasa ulitaka aongeaje?acha UZWAZWA hiyo kazi ya kutetea wauaji ni ngumu sana na kama ulishiriki matokea yake ndio hayo unaweweseka sasa!
Siwezi bishana na mpuuzi unayalamba makalio wanaume wenzio ndio ule...DismissSijui unatumia theory gani kujenga hoja zao za hovyo kabisa. Wewe kwa ujinga wako unadhani bunduki na risasi zimetengenezwa kwaajili gapi? Unadhani watu wananunua bunduki kwa kazi gani? unadhani polisi wanabeba bunduki kwa sababu gani? Kama askari anaelinda sheli hatampiga risasi anaechoma moto sheli anayoilinda unataka bunduki yake akaitumie wapi?
Kama vile jamaa wamewapulizia mavi kwenye akili zenu hadi mnashindwa kufikiri sawasawa. Dai haki yako bila kuingilia haki za wengine. Huwezi kudai haki yako kwa kuchoma lori ambalo limenipa ajira ya kulisha watoto wangu na familia. Lazima upigwe risasi ya kichwa ili kulinda haki za wenye haki. Ulikuwa na haki ya kuvuta bangi lakini hukuwa na haki ya kuchoma mwendokasi unaotumiwa na watu wengine. Ndiyo maana hata wale waliowatuma kuchoma moto wanawakana kuwa hawakuhusika na chochote kwenye vurugu, "kwanza tulikuwa gerezani" wakati wa vurugu. Hiyo maana yake walikuwa wanajua ni kosa kuchoma moto mali ya umma; kila mtu anamjua baba yake, hivyo walijua lazima wafanyavurugu watapigwa risasi tu, lakini walikuwa wanasubiri idadi ya vifo ili waendelee na mpango wao wa the Huge. Walitarajia idadi ingekuwa kubwa sana na maiti zingezagaa mitaani ili ICC ihamie tz. Wamegonga mwamba, haikuwa hivyo. Na kule gerezani hesabu zimegoma pia, kwakuwa ilikuwa wafanyavurugu waende wakayafungue makomeo ya mahabusu ili watoke kama mashujaa, lakini haikuwa hivyo kaaabisa. Hii ya free Lissu ni plan C kwao.