tanganyika law society

Tanganyika Law Society is the organisation which is part of the bar association of Tanzania Mainland which was founded in 1954 by an act of parliament-the Tanganyika Law Society Ordinance 1954.

View More On Wikipedia.org
  1. R

    Where are our Judiciary and the Tanganyika Law Society (TLS)?

    The Judiciary stands as one of the critical and indispensable arms of the government, entrusted with the solemn duty of ensuring justice for all Tanzanians. Similarly, the Tanganyika Law Society represents a stronghold of legal defence, where citizens anticipate support in their pursuit of...
  2. Jaji Mfawidhi

    Tanganyika Law Society new Song in Judiciary Tanzania

    On 17-12-2023 will have their extraordinary meeting to discuss their welfare in respect of their member who have been admonished by the judiciary unreasonably. One point TLS is failing without knowing is that, amongst other reason is that, State Attorneys and public advocates are also members...
  3. GUSSIE

    TLS ni chama cha wanasheria kweli? TLS Wanajua maana ya siasa za biashara

    Uchambuzi wao kuhusu makubaliano ya serikali ya Tanzania na Emiratrs of Dubai unaleta shaka sana Vipengele vingi TLs wamechambua kama watu wa sekondari na sio professionals wa business law,Nitaongelea makosa kwenye kila article walizochambua Article 21 ya IGA na uchambuzi wao TLs naunukuu kwa...
  4. Pascal Mayalla

    Kwa la Bandari, Pongezi TLS. Katiba yetu imenajisiwa. Bunge limetunga Sheria batili. Haki za Watanzania zimeporwa. Kwanini TLS wamenyamaza kimya?

    Wanabodi, Nikiwa ni mwanachama wa TLS, nimeisoma taarifa ya TLS kuhusu issue ya Bandari na DPW, kiukweli kabisa TLS inastahili pongezi za dhati!, imefunga huu mjadala, ingekuwa mimi ni Mnyamwezi, Kinyamwezi hii inaitwa "funga kalomo", yaani funga mdomo!. Taarifa hii ya TLS ni funga kazi, na...
  5. sifi leo

    Vyama vya kitaaluma viko wapi? Tanganyika Law Society tuongozeni tupinge hili

    Vi Wapi vyama vya kitaaluma? Kuna sheria mbovu na ya ajabu inazunguka kwenye mitandao yetu hapa Tanzania Yaani HII ya mabadiliko ya sheria ya Usalama wa Taifa mi wapi wanasheria? Yaani mswada unapendekeza Usalama wa Taifa wapewe Kinga Kwa makosa ya kijinai kweli?kweli kabisa Usalama wa Taifa...
Back
Top Bottom