Nani kauliwa na kauliwa kwa sababu gani? Je wewe dini yako haijawahi kuuwa?Kaka badala ya kuongea hisia, ongea unachokijua. Kama mnaua watu na kuwanyima kuchagua viongozi wao lazima tusema. Na pia naomba nikujulishe hayo mambo ya urithi tunafanya kulingana na taratibu au katiba za ukoo tulizojiwekea. Pia demokrasia tunaidai kulingana na katiba ya nchi tuliyojiwekea. Hakuna mtu anayedai nje ya katiba. Kama mtoto wako ana haki ya kuishi na wangu pia ana haki ya kuishi.
Na je unauhakika gani kama hao watu wanaotekwa wametekwa na serikali? Je Dr Slaa alivyosema hata chadema huwa wanatekana je chama kilishawahi kukana hadharani?