Kwanini RC wa Manyara, Makongoro Nyerere alimpigia saluti ya kijeshi Rais wakati wa kiapo?

angalia picha
Yuko sahihi, kwa mujibu wa maelezo, yeye alipitia JKT, na kule unapewa force number, ukishapewa force number wee ni askari, ukiwa askari unapigia salute viongozi, jeneza lenye marehemu, gari la jeshi lenye nyota, na salute yenyewe inaweza kuwa ya kubana mikono na kuinua visigino (kama huna sare na kofia) au unapiga salute kwa kuinua mkono kuweka mbele ya kichwa (kama una sare na kofia za jeshi) au kwa kutumia silaha
Hivi Mkuu umeona hata clip yenyewe kweli au umeleta ujuaji?, nakushauri kaangalie clip husika alafu urudi kuona ulivyokurupuka kiboya.
Nilijibu post kabla mleta maada hajapost clip na nimejibu pia baada ya clipjifunze kujiridhisha kabla hujamshambulia mtu
 
Hakupiga saluti, alitoa heshima ambayo mwanajeshi yoyote ambae hajavaa uniform anapaswa kuitoa.
Umejibu vizuri sana. Huyo jamaa nimemshangaa kuona haelewi kwamba hiyo salute ya kubana mikono na kunyanyuka kidogo ni salute sahihi kwa askari ambaye hayuko kwenye uniforms za kijeshi au mtu yeyote yule hata kama si askari. Ni kama heshima tu.
 
Alikuwa sahihi, zamani ilikuwa lazima kwenda National Service, na huko walifundisha kwamba ukishakuwa na force number wewe ni askari tayari, unatakiwa kusalimu viongozi kwa salute, nadhani amerejea hilo
Hata wewe hiyo salute ya aina hiyo unaweza kuitoa.
 
IMG_20210520_185100.jpg
 
Back
Top Bottom