Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wananchi wa Bonga, Wilaya ya Babati, Mkoani Manyara leo Novemba 22, 2022.
Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo na Mbunge wa Jimbo la Babati Mjini, Mhe. Pauline Gekul amehudhuria katika Mapokezi hayo na kutoa salamu za Jimbo.
Viongozi wengine waliohudhuria ni Waziri Mkuu Mstaafu wa Tanzania Mhe. Fredrick Sumaye, Mkuu wa Mkoa wa Manyara Mhe. Makongoro Nyerere na Baadhi ya Mawaziri.
Wasanii mbalimbali akiwemo Sholo Mwamba na wengine wametoa burudani kwa Wananchi waliojitokeza kumpokea Mhe. Samia Suluhu Hassan.
Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo na Mbunge wa Jimbo la Babati Mjini, Mhe. Pauline Gekul amehudhuria katika Mapokezi hayo na kutoa salamu za Jimbo.
Viongozi wengine waliohudhuria ni Waziri Mkuu Mstaafu wa Tanzania Mhe. Fredrick Sumaye, Mkuu wa Mkoa wa Manyara Mhe. Makongoro Nyerere na Baadhi ya Mawaziri.
Wasanii mbalimbali akiwemo Sholo Mwamba na wengine wametoa burudani kwa Wananchi waliojitokeza kumpokea Mhe. Samia Suluhu Hassan.