Kwanini Nchi nyingi zenye asili ya Uislam zinakumbwa na Vita sana?

Bible hainaga tabia ya kujitetea wala kujieleza sana,wewe soma ukiamua uiamini sawa,ukiichukulia poa ni juu yako.

Leo hii hakuna muislam asiyependa au asiyetaka kufunua ajue kilichopo ndani yake,ila ni ngumu kukuta mkristo anapekua Quran,iman yetu juu ya bible haina mashaka kabisa,na kama tukiipoteza hakuna kitabu kitakuwa na mantiki tena kuhusu Mungu.
Unaongelea biblia ipi ambayo haisemi Yale yaliyoandikwa ndani yake ?
 
Uislamu wenyewe ulianzishwa na Wakatolilki karne ya 6 ili kupambana na Dola ya Kirumi. Wakaandika kitabu wampa Muhamad halafu nyie mnadanganya kuwa aliteremshiwa kwa miaka 23. Wajinga ndiyo waliwao
Yaani wakristo waanzishe uislamu unaosema Yesu si Mungu , Yesu hakusulubiwa, Hakuna utatu Mtakatifu, Maria si mama wa Mungu ? Nani kakulisha matango pori yenye sumu ?
 
Wewe mbona hufanyi hivyo??

Nilikuuliza awali,unaiamini Bible ama vitabu vyake kama ni kutoka kwa Mungu??

Embu jibu kwanza hapa.


Miswada sahihi

Wanazuoni wengi wa madhehebu na vikundi mbalimbali vya Kikristo wamethibitisha kuwa sehemu kubwa ya maandiko ya Biblia ina mashaka makubwa juu ya uhalisia wake.

Katika utangulizi wa Ngano za Mungu mwenye Mwili, Mtunzi ameandika yafuatayo:
"Katika karne ya kumi na tisa, Wakristo wa Kimagharibi walifanya marekebisho makubwa mawili ili kuitikia wito wa kupanuka kwa elimu ya wanadamu: imekubalika kuwa mwanadamu ni sehemu ya maumbile na ameibuka kuwa ni miongoni mwa wanamageuzi wa mfumo wa maisha duniani; imekubalika kuwa vitabu vya Biblia vimeandikwa na watu tofauti tofauti katika matukio tofauti tofauti na haviwezi kukubaliwa kuwa ni utunzi wa Mungu wa neno kwa neno.

Katika gazeti la kimataifa la, Newsweek2F3, lililobeba makala yenye kichwa 'Oo Bwana, Nani Aliyeandika Dua hii?'

kikosi cha wanatiolojia kutoka katika dhehebu kuu la kiporestanti, pamoja na Wasomi muhimu wa Biblia wa Kikatoliki nchini Marekani, baada ya ukaguzi wa kina wa miswada ya mwanzo kabisa ya Agano Jipya, wamehitimisha kuwa maneno pekee ya "Dua ya Bwana" ambayo yanaweza kunasibishwa barabara na Yesu Kristo ni "baba".

Na hilo, ni kwa mujibu wa wasomi hao wa kanisa, maneno yote yaliyokuja baada ya ibara ya kwanza, "Baba yetu", ambayo ni dua muhimu sana ya Kikristo, yaliongezwa karne nyingi na waandishi wa kanisa walionukuu miswada ya mwanzoni ya Injili.

Shirika la U.S News & World Report, linanukuu zaidi kuwa, kikundi cha wasomi kilisema kuwa zaidi ya asilimia 80 ya maneno yaliyoandikwa katika Injili kumhusu Yesu huenda ni ya kubuniwa.

Miongoni mwa hayo likiwemo neno la Ekaristi ya Yesu ,katika Karamu ya Mwisho ("Chukua, kula. Huu ni mwili wangu…") na kila neno aliloambiwa kuwa amelitamka toka msalabani.
 
Miswada sahihi

Wanazuoni wengi wa madhehebu na vikundi mbalimbali vya Kikristo wamethibitisha kuwa sehemu kubwa ya maandiko ya Biblia ina mashaka makubwa juu ya uhalisia wake.
Wala hamna tatizo,ukisema utumie akili dkk 1 tu,hakuna kitu utakipokea ktk bible pale ni iman ndio inafanya kazi.
Katika utangulizi wa Ngano za Mungu mwenye Mwili, Mtunzi ameandika yafuatayo:
"Katika karne ya kumi na tisa, Wakristo wa Kimagharibi walifanya marekebisho makubwa mawili ili kuitikia wito wa kupanuka kwa elimu ya wanadamu: imekubalika kuwa mwanadamu ni sehemu ya maumbile na ameibuka kuwa ni miongoni mwa wanamageuzi wa mfumo wa maisha duniani; imekubalika kuwa vitabu vya Biblia vimeandikwa na watu tofauti tofauti katika matukio tofauti tofauti na haviwezi kukubaliwa kuwa ni utunzi wa Mungu wa neno kwa neno.
Kwanza tukubaliane kitu,bible ina maandiko yenye wasifu wa aina mbali mbali,kuna historia za watu,manabii na mitume,hakuna sehem yeyote panapodai bible imeandikwa na Mungu.huu upuuzi unapatikana ktk Quran tu.
Katika gazeti la kimataifa la, Newsweek2F3, lililobeba makala yenye kichwa 'Oo Bwana, Nani Aliyeandika Dua hii?'

kikosi cha wanatiolojia kutoka katika dhehebu kuu la kiporestanti, pamoja na Wasomi muhimu wa Biblia wa Kikatoliki nchini Marekani, baada ya ukaguzi wa kina wa miswada ya mwanzo kabisa ya Agano Jipya, wamehitimisha kuwa maneno pekee ya "Dua ya Bwana" ambayo yanaweza kunasibishwa barabara na Yesu Kristo ni "baba".

Na hilo, ni kwa mujibu wa wasomi hao wa kanisa, maneno yote yaliyokuja baada ya ibara ya kwanza, "Baba yetu", ambayo ni dua muhimu sana ya Kikristo, yaliongezwa karne nyingi na waandishi wa kanisa walionukuu miswada ya mwanzoni ya Injili.

Shirika la U.S News & World Report, linanukuu zaidi kuwa, kikundi cha wasomi kilisema kuwa zaidi ya asilimia 80 ya maneno yaliyoandikwa katika Injili kumhusu Yesu huenda ni ya kubuniwa.

Miongoni mwa hayo likiwemo neno la Ekaristi ya Yesu ,katika Karamu ya Mwisho ("Chukua, kula. Huu ni mwili wangu…") na kila neno aliloambiwa kuwa amelitamka toka msalabani.
Haya naomba msimamo wako sasa.rejea swali.
 
Katika Uislamu, inaaminika kuwa maisha haya ni mtihani kutoka kwa Mwenyezi Mungu. Ikiwa wakipita mtihani huo, wanaweza kwenda mbinguni katika maisha ya baadaye. Hata hivyo, wanawake wanatakiwa kuvaa hijab ili kuzuia tamaa kutoka kwa wanaume, ambayo inaweza kuvuruga mtihani wao.

Mantiki ni kwamba, mtihani ni jambo linalopaswa kukabiliwa badala ya kuepukwa. Ikiwa wanawake wanapaswa kufunika miili yao, basi hiyo inamaanisha kuwa inafanya mtihani kuwa rahisi kwa wanaume.

Kwa nini kufanya mtihani rahisi?
Huo sio udanganyifu?
Kwa nini mtihani wa kuwafanya watu kwenda mbinguni uwe rahisi?
Haina maana. mkorinto kuna maana yoyote unaiona hapo?
 
Wakati sinema ya Innocence of Muslims ilipoonyeshwa nchini Marekani, Waislamu wengi walichoma moto bendera ya Marekani. Kwa hiyo wanalaumu nchi nzima kwa sababu tu ya filamu ambayo ilitengenezwa na watu kadhaa badala ya watu wengi wa Marekani (Infact, director, producer, and screenwriter are the same person.). Kimsingi walikuwa wakijumlisha Wamarekani kwa ujumla wake.

Waislamu wanachukia kuwa generalized kama magaidi. Ikiwa wanachukia hilo, basi kwa nini wali wa generalize wamarekani wote kwa kosa la wachache? Does it make sense?
 
Wala hamna tatizo,ukisema utumie akili dkk 1 tu,hakuna kitu utakipokea ktk bible pale ni iman ndio inafanya kazi.

Kwanza tukubaliane kitu,bible ina maandiko yenye wasifu wa aina mbali mbali,kuna historia za watu,manabii na mitume,hakuna sehem yeyote panapodai bible imeandikwa na Mungu.huu upuuzi unapatikana ktk Quran tu.

Haya naomba msimamo wako sasa.rejea swali.


Dr. J.K. Elliott, wa kitengo cha Thiolojia na Tafiti za Kidini wa Chuo Kikuu cha Leeds, ameandika makala iliyochapishwa katika jarida la The Times, London (10 Septemba, 1987) yenye kichwa "Kutazama mizizi ya Biblia".

Ndani ya makala yake, ameeleza kuwa:

"Zaidi ya miswada 5,000 inayojumuisha Agano Jipya lote au sehemu yake iliyo katika lugha ya asili. Miswada hii imepangika katika madaraja ya kuanzia karne ya pili hadi kuvumbuliwa kwa uchapaji.

Imekisiwa kuwa hakuna hata watu wawili wanaoafikiana kwa kila kitu.

Bila shaka, maandishi yote ya mkono yanastahili kuwa na makosa ya bahati mbaya wakati wa kunukuu.

Hata hivyo, katika kazi za kitiolojia si jambo la kushangaza kuwa mabadiliko ya kufikirika sana yaliingizwa ili kuondosha au kubadili maelezo ambayo waandishi wanayaona kuwa hayapendezi.

Pia kulikuwa na mwelekeo wa wanukuzi wa kuongeza ufafanuzi au fasiri.

Mabadiliko ya hadhari yanadhaniwa kuwa yameingizwa katika zama za mwanzo kabla ya kuanzishwa hali ya kanisa ya Agano Jipya.

Mwandishi aliendelea kufafanua kuwa "hakuna hata mswada mmoja wenye matini isiyobadilishwa kutoka katika uasilia wa ukamilifu wake, na kwa hiyo, "hakuna awezae kuchagua mswada wowote miongoni mwa miswada hiyo na kuuamini kwa imani ya pekee eti mswada huo ndio wenye ukiritimba wa kuwa ndio maneno asilia ya watunzi."

Aliendelea kusema zaidi:

"Kama mtu ataendelea kupinga na kudai kuwa maandiko asilia yamenusurika pahala fulani kwenye maelfu ya miswada iliyopo, basi mtu huyo atalazimika asome miswada yote hiyo, hatua kwa hatua, ili kukusanya tofauti miongoni mwa miswada hiyo, kisha atathimini, lahaja kwa lahaja, ili ajue ni mswada upi wenye [matini] asilia na upi ndio wa matini ya nafasi ya pili.

Matarajio kama hayo yaliwakatisha tamaa10F11 wasomi wengi wa Biblia walioaminia yaliyomo katika matini zilizochapwa za zama za mwanzo, wasomi hao walichukua ushahidi wa miswada waliyoiona kuwa ni bora.

Hata matoleo ya Agano Jipya kwa Kigiriki yaliyochapwa kisasa, vilevile mafafanuzi ya kisasa yametegemea chapa hizo za zama za mwanzo; kwa kawaida hufuata utaratibu huu wa kujenga matini zao kwa kutumia msingi finyu ambao hauonekani kuwa ni wa asili kikamilifu."
 
Wala hamna tatizo,ukisema utumie akili dkk 1 tu,hakuna kitu utakipokea ktk bible pale ni iman ndio inafanya kazi.

Kwanza tukubaliane kitu,bible ina maandiko yenye wasifu wa aina mbali mbali,kuna historia za watu,manabii na mitume,hakuna sehem yeyote panapodai bible imeandikwa na Mungu.huu upuuzi unapatikana ktk Quran tu.

Haya naomba msimamo wako sasa.rejea swali.


Matoleo ya Biblia ya Kingereza

Katika utangulizi wa toleo la Biblia linalotumika sana, la Revised Standard Version, mtunzi ameandika yafuatayo:

"Biblia ya Revised Standard Version, ni marekebisho yaliyoidhinishwa ya toleo la American Standard Version, lilochapwa

1901, na ambalo nalo pia lilikuwa ni marekebisho ya toleo la King James Version, lilochapwa 1611…

Toleo la King James Version lililazimika kushindana na Biblia ya Geneva Bible (1560) juu ya kutumiwa na watu wengi; lakini hatimaye lilienea, na kwa zaidi ya karne mbili na nusu hakuna tafsiri ya Biblia kwa Kingereza iliyoandikwa na kuidhinishwa.

Toleo la King James Version likawa ndilo "toleo lililoidhinishwa" kwa wanaoongea Kingereza… Ndio, Toleo la King James Version lina dosari kubwa mno.

Kufikia katikati ya karne ya kumi na tisa, maendeleo ya tafiti za Kibiblia vilevile kugunduliwa kwa miswada mingi ambayo ni ya kale zaidi kuliko ile iliyotegemewa na Toleo la King James Version, yamefanya toleo hilo kuwa ni wazi kuwa lina dosari nyingi na mbaya mno na kusababisha kuitishwa kufanyika marekebisho ya tafsiri ya kingereza.

Kazi ikafanywa, kwa idhini ya Kanisa la Uingereza, mwaka 1870.

Toleo la Biblia la English Revised Version lilichapwa mwaka 1881 – 1885; na Toleo la American Standard Version, lahaja zake zimejiingiza katika upendeleo wa wanazuoni wa Kimarekani walioshiriki katika kazi hiyo, nalo lilichapishwa mwaka 1901."

Toleo la King James Version la Agano Jipya liliegemea matini za kigiriki zilizovurugwa kimakosa, ikiwemo kujilimbikizia makosa ya karne ya kumi na nne ya kunukuu miswada.

Nalo kimsingi, lilikuwa ni matini ya Kigiriki ya Agano Jipya kama lilivyoandikwa na Beza, 1589, ambaye kwa ukaribu zaidi alifuata chapa hiyo ya Erasmus, 1516 – 1535, iliyoegemea juu ya miswada ya zama za kati.

Mswada wa kwanza na ulio bora zaidi miongoni mwa miswada minane aliyoishirikisha ulikuwa ni wa karne ya kumi, naye akautumia kidogo mno mswada huo kwa sababu unatofautiana sana na matini za kawaida zilizopokelewa;

Beza alipata miswada miwili ya thamani kubwa mno, ikiwa ni ya karne ya tano na ya sita, lakini aliitumia kidogo mno kwa sababu inatofautiana na matini iliyochapwa ya Erasmus."
 
Katika Uislamu, inaaminika kuwa maisha haya ni mtihani kutoka kwa Mwenyezi Mungu. Ikiwa wakipita mtihani huo, wanaweza kwenda mbinguni katika maisha ya baadaye. Hata hivyo, wanawake wanatakiwa kuvaa hijab ili kuzuia tamaa kutoka kwa wanaume, ambayo inaweza kuvuruga mtihani wao.

Mantiki ni kwamba, mtihani ni jambo linalopaswa kukabiliwa badala ya kuepukwa. Ikiwa wanawake wanapaswa kufunika miili yao, basi hiyo inamaanisha kuwa inafanya mtihani kuwa rahisi kwa wanaume.

Kwa nini kufanya mtihani rahisi?
Huo sio udanganyifu?
Kwa nini mtihani wa kuwafanya watu kwenda mbinguni uwe rahisi?
Haina maana. mkorinto kuna maana yoyote unaiona hapo?
Infact hakuna jambo lenye maana ktk uislam japo huwa wanapenda kudai hivyo.
Mtu anakwambia huruhusiwi kula nguruwe isipokuwa hakuna namna yoyote ya chakula na ndicho kilichobaki.
Mungu wa hivi anaweza kukuruhusu ulale na mwanao kama upwiru umekuzidi.

Huku kwingine tunaona akina meshack na abednego waligom kabisa kusuhudia sanamu,kwa sababu Mungu hataki.yusufu aligoma kabis kulala na yule mwanamke sababu tu Mungu hapendi,hakuna option zaidi ya kumridhisha Mungu.
 
Matoleo ya Biblia ya Kingereza

Katika utangulizi wa toleo la Biblia linalotumika sana, la Revised Standard Version, mtunzi ameandika yafuatayo:

"Biblia ya Revised Standard Version, ni marekebisho yaliyoidhinishwa ya toleo la American Standard Version, lilochapwa

1901, na ambalo nalo pia lilikuwa ni marekebisho ya toleo la King James Version, lilochapwa 1611…

Toleo la King James Version lililazimika kushindana na Biblia ya Geneva Bible (1560) juu ya kutumiwa na watu wengi; lakini hatimaye lilienea, na kwa zaidi ya karne mbili na nusu hakuna tafsiri ya Biblia kwa Kingereza iliyoandikwa na kuidhinishwa.

Toleo la King James Version likawa ndilo "toleo lililoidhinishwa" kwa wanaoongea Kingereza… Ndio, Toleo la King James Version lina dosari kubwa mno.

Kufikia katikati ya karne ya kumi na tisa, maendeleo ya tafiti za Kibiblia vilevile kugunduliwa kwa miswada mingi ambayo ni ya kale zaidi kuliko ile iliyotegemewa na Toleo la King James Version, yamefanya toleo hilo kuwa ni wazi kuwa lina dosari nyingi na mbaya mno na kusababisha kuitishwa kufanyika marekebisho ya tafsiri ya kingereza.

Kazi ikafanywa, kwa idhini ya Kanisa la Uingereza, mwaka 1870.

Toleo la Biblia la English Revised Version lilichapwa mwaka 1881 – 1885; na Toleo la American Standard Version, lahaja zake zimejiingiza katika upendeleo wa wanazuoni wa Kimarekani walioshiriki katika kazi hiyo, nalo lilichapishwa mwaka 1901."

Toleo la King James Version la Agano Jipya liliegemea matini za kigiriki zilizovurugwa kimakosa, ikiwemo kujilimbikizia makosa ya karne ya kumi na nne ya kunukuu miswada.

Nalo kimsingi, lilikuwa ni matini ya Kigiriki ya Agano Jipya kama lilivyoandikwa na Beza, 1589, ambaye kwa ukaribu zaidi alifuata chapa hiyo ya Erasmus, 1516 – 1535, iliyoegemea juu ya miswada ya zama za kati.

Mswada wa kwanza na ulio bora zaidi miongoni mwa miswada minane aliyoishirikisha ulikuwa ni wa karne ya kumi, naye akautumia kidogo mno mswada huo kwa sababu unatofautiana sana na matini za kawaida zilizopokelewa;

Beza alipata miswada miwili ya thamani kubwa mno, ikiwa ni ya karne ya tano na ya sita, lakini aliitumia kidogo mno kwa sababu inatofautiana na matini iliyochapwa ya Erasmus."
Mkuu nataka msimamo wako,achana na maelezo ya watu wengine.
 
Infact hakuna jambo lenye maana ktk uislam japo huwa wanapenda kudai hivyo.
Mtu anakwambia huruhusiwi kula nguruwe isipokuwa hakuna namna yoyote ya chakula na ndicho kilichobaki.
Mungu wa hivi anaweza kukuruhusu ulale na mwanao kama upwiru umekuzidi.

Huku kwingine tunaona akina meshack na abednego waligom kabisa kusuhudia sanamu,kwa sababu Mungu hataki.yusufu aligoma kabis kulala na yule mwanamke sababu tu Mungu hapendi,hakuna option zaidi ya kumridhisha Mungu.
Katika tovuti yake, Muislamu wa zamani Ali Sina anamtuhumu Muhammad kuwa: Narcissist, pedophile, mass murderer, terrorist, misogynist, libertine, cult leader, madman, rapist, torturer and looter.

Ali Sina ameahidi kutoa $50,000 kwa mtu yeyote ambaye anaweza kuthibitisha kuwa amekosea kwa kutumia vyanzo vya Kiislamu vilivyothibitishwa pekee.

Mahitaji ni:
Bila kukanusha ukweli wa vyanzo vya Kiislamu.
Kutotumia uwiano wa kimaadili au maadili ya hali, kwa mfano, kutosema "siku zile, pedophilia, mauaji, ubakaji, shambulio, uporaji, mauaji na uongo yalikuwa mazoea ya kawaida, kwa hiyo, Muhammad hana hatia kwa sababu alifanya kile ambacho kila mtu alikuwa akifanya." Kufikia sasa, na baada ya mijadala kadhaa, hakuna aliyedai tuzo hiyo wala kuthibitisha kuwa Ali Sina ni muongo.
 
Mkuu nataka msimamo wako,achana na maelezo ya watu wengine.

Msimamo wangu ni huu

Biblia ni mkusanyo mkubwa wa maandishi ya “binadamu,” vitabu 38 (+9 vinavyobishaniwa) vinavyojumuisha Agano la Kale na vitabu 20 (+7 vinavyobishaniwa) vya Agano Jipya. Utofauti wa Agano la Kale unajumuisha vitabu vya historia, methali, hekaya, sheria, n.k., zinazowakilisha fasihi maarufu za Waisraeli.

Zilitungwa na waandishi wengi, karne kadhaa baada ya Nabii Musa, amani iwe juu yake.

Vile vile, Agano Jipya linajumuisha Injili, wasifu nne tofauti za Nabii Yesu, amani iwe juu yake, zilizoandikwa na Mathayo, Marko, Luka na Yohana, ambao utambulisho wao unabishaniwa sana.

Aidha, Agano Jipya lina nyaraka za Paulo, Petro na Yohana. Hii ni pamoja na Matendo - pia kutokana na Paulo au Luka - na Maono ya Yohana.

Kwa hiyo, hakuna kitabu chochote cha Biblia kinachoweza kudaiwa kuwa neno la Mungu.

Ilikuwa ni Baraza la Nicea katika karne ya nne baada ya Kristo, ambaye kwa kuchagua alivitakasa vitabu hivi kuwa "vitakatifu", kutoka kwa mamia ya maandishi mengine ya Wakristo wa mapema.

Ingawa yanakubali uandishi wa kibinadamu wa vitabu hivi, makanisa yanadai na kufundisha - bila uthibitisho - kwamba maandishi haya ya wanadamu "yaliongozwa" na Mungu.

Hata hivyo, hakuna hata mmoja wa waandishi wa Biblia wenyewe waliodai, au pengine hata kufikiria kwamba vitabu vyao vingekuwa "vitakatifu".

Soma kwa mfano:

“Kwa kuwa wengi wameshika mkono kutayarisha tangazo la mambo hayo …, Hata kama walivyotukabidhi …; Ilinipendeza mimi nami, kwa kuwa nimeyafahamu mambo yote tangu mwanzo, kukuandikia kwa utaratibu, wewe Theofilo uliyebarikiwa sana…” (Luka 1:1-4).

"Kitabu cha ukoo wa Yesu Kristo, mwana wa Daudi, mwana wa Ibrahimu." ( Mathayo 1:1 )

“Maandiko ya kwanza, Ee Theofilo, nimeandika juu ya mambo yote ambayo Yesu alianza kufanya na kufundisha pia.” (Matendo 1:1)

“Haya ndiyo maneno ambayo Musa aliwaambia Israeli wote ng’ambo ya Yordani jangwani…” (Kumbukumbu la Torati 1:1).

“Ikawa baada ya kufa kwake Musa, mtumishi wa Bwana, Bwana akanena na Yoshua, mwana wa Nuni,…” (Yoshua 1:1).

“Ikawa baada ya kufa kwake Yoshua, wana wa Israeli…” (1 Waamuzi 1:1).
 
Mkuu nataka msimamo wako,achana na maelezo ya watu wengine.
Huyo unajisumbua hii ni thread kama ya 5 hivi nakutana nae. Nilimwambia twende kwa mtindo wa nauliza swali anajibu, halafu nae ananiuliza najibu, hawezi kufanya hivyo maana anategemea matango pori ya mtandaoni. Ana copy tu na kuja kupost hapa.

Mtu mwenye uelewa wa alichojifunza anakielezea vile yeye alivyoelewa sio kukopi madai ya mwenzake.
 
Mkuu nataka msimamo wako,achana na maelezo ya watu wengine.

Aya nyengine hizi hapa

“Ikawa siku zile waamuzi walipotawala…” (Ruthu 1:1).

“Ikawa baada ya kufa kwake Sauli, Daudi…” (2 Samweli 1:1)

“Basi mfalme Daudi alikuwa mzee, mwenye miaka mingi…” (1 Wafalme 1:1)

“Basi, katika mwaka wa kwanza wa Koreshi, mfalme wa Uajemi…” (Ezra 1:1)

“Ikawa katika siku za Ahasuero…” (Esta 1:1)

“Ikawa katika mwaka wa thelathini…” (Ezekieli 1:1)

Je, kitabu chochote kati ya hivi kinaweza kuwa maneno ya Mungu, au tuseme hadithi za kawaida za kibinadamu na akaunti za kihistoria?

Kuna mambo mengi ya kupingana na makosa yaliyo wazi katika maandishi ya Biblia.

Kama mifano michache, linganisha jozi zifuatazo:

“Hasira ya BWANA ikawaka tena juu ya Israeli, akamshawishi Daudi juu yao kusema, Enenda, ukawahesabu Israeli na Yuda. ( 2 Samweli: 24: 1V)

Tafadhali linganisha na:

“Shetani akasimama juu ya Israeli, akamshawishi Daudi kuwahesabu Israeli. ( 1 Nyakati 21:1 )

Soma pia:

“Kwa hiyo Mikali binti Sauli hakuwa na mtoto hata siku ya kufa kwake.” ( 2 Samweli 6:23 )

Tafadhali linganisha na:

“Lakini mfalme akatwaa …; na wana watano wa Mikali, binti Sauli, aliowalea…” (2 Samweli 21:8).

Kisha soma:

“Haya ndiyo majina ya mashujaa aliokuwa nao Daudi; akainua mkuki wake juu ya watu mia nane, aliowaua kwa wakati mmoja. ( 2 Samweli 23:8 )

Linganisha na:

“Na hii ndiyo hesabu ya mashujaa aliokuwa nao Daudi; akainua mkuki wake juu ya watu mia tatu waliouawa naye kwa wakati mmoja. ( 1 Mambo ya Nyakati 11:11 )

Soma pia:

“Lakini Washami wakakimbia mbele ya Israeli; naye Daudi akawaua katika Washami watu elfu saba waliopanda magari, na askari waendao kwa miguu arobaini elfu, na kumwua na Shofaki jemadari wa jeshi. ( 1 Mambo ya Nyakati 19:18 )

Linganisha na:

“Washami wakakimbia mbele ya Israeli; naye Daudi akawaua watu wa magari mia saba ya Washami, na wapanda farasi arobaini elfu, na Samweli Shobaki, mkuu wa jeshi lao, aliyefia huko. ( 2 Samweli 10:18 )
 
Huyo unajisumbua hii ni thread kama ya 5 hivi nakutana nae. Nilimwambia twende kwa mtindo wa nauliza swali anajibu, halafu nae ananiuliza najibu, hawezi kufanya hivyo maana anategemea matango pori ya mtandaoni. Ana copy tu na kuja kupost hapa.

Mtu mwenye uelewa wa alichojifunza anakielezea vile yeye alivyoelewa sio kukopi madai ya mwenzake.

Kama Roho Mtakatifu wako anavyokuongoza kukopi VIBONZO VYA MATUSI ???
 
Aya nyengine hizi hapa

“Ikawa siku zile waamuzi walipotawala…” (Ruthu 1:1).

“Ikawa baada ya kufa kwake Sauli, Daudi…” (2 Samweli 1:1)

“Basi mfalme Daudi alikuwa mzee, mwenye miaka mingi…” (1 Wafalme 1:1)

“Basi, katika mwaka wa kwanza wa Koreshi, mfalme wa Uajemi…” (Ezra 1:1)

“Ikawa katika siku za Ahasuero…” (Esta 1:1)

“Ikawa katika mwaka wa thelathini…” (Ezekieli 1:1)

Je, kitabu chochote kati ya hivi kinaweza kuwa maneno ya Mungu, au tuseme hadithi za kawaida za kibinadamu na akaunti za kihistoria?

Kuna mambo mengi ya kupingana na makosa yaliyo wazi katika maandishi ya Biblia.

Kama mifano michache, linganisha jozi zifuatazo:

“Hasira ya BWANA ikawaka tena juu ya Israeli, akamshawishi Daudi juu yao kusema, Enenda, ukawahesabu Israeli na Yuda. ( 2 Samweli: 24: 1V)

Tafadhali linganisha na:

“Shetani akasimama juu ya Israeli, akamshawishi Daudi kuwahesabu Israeli. ( 1 Nyakati 21:1 )

Soma pia:

“Kwa hiyo Mikali binti Sauli hakuwa na mtoto hata siku ya kufa kwake.” ( 2 Samweli 6:23 )

Tafadhali linganisha na:

“Lakini mfalme akatwaa …; na wana watano wa Mikali, binti Sauli, aliowalea…” (2 Samweli 21:8).

Kisha soma:

“Haya ndiyo majina ya mashujaa aliokuwa nao Daudi; akainua mkuki wake juu ya watu mia nane, aliowaua kwa wakati mmoja. ( 2 Samweli 23:8 )

Linganisha na:

“Na hii ndiyo hesabu ya mashujaa aliokuwa nao Daudi; akainua mkuki wake juu ya watu mia tatu waliouawa naye kwa wakati mmoja. ( 1 Mambo ya Nyakati 11:11 )

Soma pia:

“Lakini Washami wakakimbia mbele ya Israeli; naye Daudi akawaua katika Washami watu elfu saba waliopanda magari, na askari waendao kwa miguu arobaini elfu, na kumwua na Shofaki jemadari wa jeshi. ( 1 Mambo ya Nyakati 19:18 )

Linganisha na:

“Washami wakakimbia mbele ya Israeli; naye Daudi akawaua watu wa magari mia saba ya Washami, na wapanda farasi arobaini elfu, na Samweli Shobaki, mkuu wa jeshi lao, aliyefia huko. ( 2 Samweli 10:18 )
Maanina,una heri sana umejua nataka nikufokoe wapi😁😁😁.

Ukiwa na jibu clear nistue tuendelee.
20240326_120744.png
 
Back
Top Bottom