Mungu alitupa uhuru wa kutenda, kuamini, kunena (FREEWILL), kwanini ukiingia katika uislam hakuna uhuru wa kutoka ?

Uncle bright

JF-Expert Member
Feb 9, 2023
1,040
4,080
Kuna kipindi kinafika mtu unaamua kuhamia dini nyingine hasa kwa sababu dini uliyonayo ulichaguliwa na wazazi / walezi / mazingira tangu ukiwa mtoto usiejitambua wala kupevuka kiakili.

Kwa wakristo wala hakuna taabu, utahamia dhehebu lengine la kikristo ama uislam, wala hakuna adhabu yoyote na unaweza kurudi bila maswali.

Lakini sasa shida inakuja katika imani ya kiislam, Ukitaka kuihama ni taabu sana

1. Nchi nyingi za kiislam ikiwemo Nigeria wanaohama dini wanauliwa

2. Nchi nyingi za kiislam kama Malaysia ukitaka uhame dini inabidi uandike barua kwa mahakama ya kiislam, usubirie tamko lao wakuamulie wao kadri watavyoona yafaa

3. katika nchi ambazo hazina waislam wengi walau kuna uhuru wa kuhama dini sababu serikali inafata zaidi sheria za nchi sio za kiislam lakini bado shida ipo, ukiamia dini nyingine utatengwa ama kubaguliwa na waislam

je hii hadithi ndio hupelekea haya ?

YEYOTE ATAEBADILI DINI YAPASWA AULIWE : Al-Bukhaari, 2794
 
Kuna kipindi kinafika mtu unaamua kuhamia dini nyingine hasa kwa sababu dini uliyonayo ulichaguliwa na wazazi / walezi / mazingira tangu ukiwa mtoto usiejitambua wala kupevuka kiakili.

Kwa wakristo wala hakuna taabu, utahamia dhehebu lengine la kikristo ama uislam, wala hakuna adhabu yoyote na unaweza kurudi bila maswali.

Lakini sasa shida inakuja katika imani ya kiislam, Ukitaka kuihama ni taabu sana

1. Nchi nyingi za kiislam ikiwemo Nigeria wanaohama dini wanauliwa

2. Nchi nyingi za kiislam kama Malaysia ukitaka uhame dini inabidi uandike barua kwa mahakama ya kiislam, usubirie tamko lao wakuamulie wao kadri watavyoona yafaa

3. katika nchi ambazo hazina waislam wengi walau kuna uhuru wa kuhama dini sababu serikali inafata zaidi sheria za nchi sio za kiislam lakini bado shida ipo, ukiamia dini nyingine utatengwa ama kubaguliwa na waislam

je hii hadithi ndio hupelekea haya ?

YEYOTE ATAEBADILI DINI YAPASWA AULIWE : Al-Bukhaari, 2794
Kwanza kabisa kama una discuss dhana ya Mungu kama uhalisia uko kwenye makosa.

Hakuna Mungu.

Hakuna kitu kama free will,

Huwezi ukawa na Mungu mjuzi wa yote hata yajayo then ukawa na ulimwengu wenye free will.

Ni either Mungu asiyemjuzi wa yote awepo lakini ulimwengu uwe na free will

Or

Mungu mwenye ujuzi wa yote awepo lakini tuwe na ulimwengu usio na free will

Those two events are mutually exclusive.

"Moja ya taarifa za kusikitisha kwa mwaka huu ni habari ya mtoto yule wa kipalestina mwenye miaka 6 aliyeuawa kwa kushambuliwa na risasi baada ya gari alilokuwa amejificha kwa siku kadhaa kuzingirwa na majeshi ya Israeli.

Pamoja na kuomba msaada Hamas, hakuweza kupata msaada kwa haraka.

Je Mungu huyu mwenye uwezo wote ujuzi wote na upendo wote alikuwa wapi muda huo kuingilia kati?

Je alijificha kukimbia majeshi ya Israel au ilikuwa ni siku ya saba!?"
 
Unaleta hadith wakati wa vita wale walioretard na kuanza kuupiga vita uislamu.
.Kama ungekaa na kusoma uislamu basi usingeandika pia uislamu ungeshakufa miaka kibao
Nchi kama korea ya kiduka kufuata tu mila za mahasimu wako wa kusini n ni adhabu ya kifo.


Cultural interference ndio haipo ,hakuna muislamu aliyeuliwa kisa kubadili labda uanze kuupiga vita uislamu.
 
Back
Top Bottom