Evelyn Salt
Platinum Member
- Jan 5, 2012
- 77,672
- 167,738
baba wa kambo hawakaagi na watoto wa wanawake ndo maanaSijui wanawake wana roho gani aiseee, mbona hatusikii issue za baba wa kambo?
baba wa kambo hawakaagi na watoto wa wanawake ndo maanaSijui wanawake wana roho gani aiseee, mbona hatusikii issue za baba wa kambo?
baba wa kambo hawakaagi na watoto wa wanawake ndo maana
Nimelelewa na baba wa kambo, na pia nimeishi na mama wa kambo at some point... nna experience zote zote.
Kila nikiomba kwa imani yangu huwa namshukuru Mungu alivyonitoa shimoni kwa kumfumbua macho mzee wangu!
Yule Mama hakuwa binadamu wa kawaida! Niliponea tundu la sindano! Mtu unapigwa huwezi kutembea wala kutambaa na hakuna kupewa chakula umefungiwa stoo kisa ni kukutwa na picha ya marehemu mama yangu, picha pekee iliyokuwa na sura yake! Kipimo chake cha kuacha kupiga ilikuwa ni pale unapokuwa huwezi kuMove kabisa au umeFaint!
Mungu ni Mwema, hakuniacha pamoja na mateso yale!
thnx yaani namsomeshea wanawe but i know they dont love me
Yan shangaz anajua kutesa utadhan si mtoto wa kaka ake
munisijo kiukweli yule mama ana roho yake kanikuta nasoma primary za st.kayumba ila sekondari kanitafutia shule nzuri sana na alikuwa anahakikisha naenda vizuri shule japo alikuwa anapinga nisipewe hela nyingi na mshua.Mie mshua wangu alikuwa mpole sana na nilikuwa kipenzi chake sasa nilikuwa nikienda shule anachukua either sabuni za kuogea au dawa ya mswaki ananiwekea hela maana yeye ndio alikuwa ananifanyia shopping utasikia ananisisitizia kuwa hakikisha hiyo dawa unaitunza watu wanadhani mshua mbahili kumbe kuna pesa ndani yake
Yaani machozi yamenitoka pasipo kutarajia. Pole sana aisee. Na hii ilikua ukiwa na umri gani? Dah!
Dah
Kweli wewe mkatoliki aisee. ....pamoja na mambo yote bado unamsomeshea wanae..
Tafadhali sikufundishi hii roho mbaya....
Wanawake wengi wana roho za Izrael mtoa roho za watu! Mimi sijaishi na mama wa kambo, nimewahi ishi na MAMA MKUBWA, MAMA MDOGO kwa nyakati tofauti! Kwa walichonfanya, bora hata wangenila ......!
yani nafanya yote kwa sababu ya baba maana tunashare
na mpaka ndugu wanasema km usemavyo
mi hua sina kinyongo